GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Nianze Kwanza kwa Kumshukuru Mchambuzi 'mahiri' wa Mpira kutoka Clouds FM Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra Farahani (Farhan) Kihamu kwa Ufafanuzi wake ulioenda Shule (Kidato)
Na nikiri kuwa 100% ya kile nitakachokiandika hapa nimekitoa Kwake Mchambuzi huyu Farahani Kihamu na siyo Kwangu GENTAMYCINE ila nami pia naileta hii Elimu wengine pia (hasa Mashabiki Washamba na Mbumbumbu ) wa Yanga SC nanyi muipate na mbadilike.
TUKIO LA LEO SIYO JIPYA NA LIMESHATOKEA
Kilichofanywa leo na Mchezaji Mwerevu na Wakili wa Kujitegemea Bernard Morrison akiwa na Simba SC ikicheza na Azam FC siyo kipya duniani bali kilishatokea pia katika Mechi za Tottenham Hotspurs dhidi ya Aston Villa na Liverpool FC dhidi ya Barcelona ambapo Wachezaji Harry Keane na Trent Alexander Anorld walizifungia Timu zao husika.
KWANINI KISHERIA GOLI LA LUIS MIQUSSOINE NI HALALI KABISA?
Katika moja ya Kanuni (Sheria) ya Faulo kama iliyotokea kuna Kipengele kinaitwa 'Quick Play' ambacho kinampa uhalali Mchezaji aliye karibu na Mpira eneo lililotengwa na Mwamuzi Kuuanzisha haraka hata bila ya ruhusa ya Mwamuzi.
Kwa Tanzania ni Kitu kipya ila kwa Wachezaji Werevu (Geniuses) kama Bernard Morrison ambaye pia ameshacheza Ligi Bora, Kubwa na iliyoendelea sana ya PSL huko nchini Afrika Kusini alikuwa anaijua na ndiyo leo kaitumia na Kuisaidia Simba SC yake Kuibuka na Ushindi muhimu na wa halali.
WALICHOKOSEA WACHEZAJI WA AZAM FC KWA MWAMUZI NI HIKI
Mara baada tu ya Faulo ( Rafu ) ile kutokea walichopaswa kwa uharaka ule Kukifanya Wachezaji wa Azam FC ni Kwanza Mmoja wao Kumzonga Mpigaji wa Faulo ( hasa kwa mbele) ili asipige huku Wachezaji wengine wakiendelea Kujipanga na siyo Kushangaa na Kubung'aa hovyo kama Wachezaji wa Azam FC kisha Goli halali (la Miquissone) likifungwa wanaanza Kulialia huku wakitafuta Huruma kutoka kwa 'Washamba' Wenzao Mashabiki wa Yanga SC.
KWANINI MWAMUZI (REFEREE) YUKO SALAMA KIMAAMUZI HASTAHILI LAWAMA?
Ni kwamba hata Yeye ( Mwamuzi ) anaijua vyema tu hii Sheria ya 'Quick Play' na ndiyo maana alipoona Simba SC wameshapata Goli huku Yeye akiwa bado anazozana na Wachezaji wa Azam FC wakati akitaka Kuwapanga waweke Ukuta huku akijua kuwa Kanuni Kuu ya FIFA ni acha Mpira uchezwe hakukona sababu ya Kunikataa Goli ukizingatia limeanzia kwa 'Genius' Morisson na aliyefunga pia nae ni 'Genius' Mwenzake Simba SC Fundi Luis Jose Miquissone.
Msipoelewa hapa hamtoelewa tena...!!
Na nikiri kuwa 100% ya kile nitakachokiandika hapa nimekitoa Kwake Mchambuzi huyu Farahani Kihamu na siyo Kwangu GENTAMYCINE ila nami pia naileta hii Elimu wengine pia (hasa Mashabiki Washamba na Mbumbumbu ) wa Yanga SC nanyi muipate na mbadilike.
TUKIO LA LEO SIYO JIPYA NA LIMESHATOKEA
Kilichofanywa leo na Mchezaji Mwerevu na Wakili wa Kujitegemea Bernard Morrison akiwa na Simba SC ikicheza na Azam FC siyo kipya duniani bali kilishatokea pia katika Mechi za Tottenham Hotspurs dhidi ya Aston Villa na Liverpool FC dhidi ya Barcelona ambapo Wachezaji Harry Keane na Trent Alexander Anorld walizifungia Timu zao husika.
KWANINI KISHERIA GOLI LA LUIS MIQUSSOINE NI HALALI KABISA?
Katika moja ya Kanuni (Sheria) ya Faulo kama iliyotokea kuna Kipengele kinaitwa 'Quick Play' ambacho kinampa uhalali Mchezaji aliye karibu na Mpira eneo lililotengwa na Mwamuzi Kuuanzisha haraka hata bila ya ruhusa ya Mwamuzi.
Kwa Tanzania ni Kitu kipya ila kwa Wachezaji Werevu (Geniuses) kama Bernard Morrison ambaye pia ameshacheza Ligi Bora, Kubwa na iliyoendelea sana ya PSL huko nchini Afrika Kusini alikuwa anaijua na ndiyo leo kaitumia na Kuisaidia Simba SC yake Kuibuka na Ushindi muhimu na wa halali.
WALICHOKOSEA WACHEZAJI WA AZAM FC KWA MWAMUZI NI HIKI
Mara baada tu ya Faulo ( Rafu ) ile kutokea walichopaswa kwa uharaka ule Kukifanya Wachezaji wa Azam FC ni Kwanza Mmoja wao Kumzonga Mpigaji wa Faulo ( hasa kwa mbele) ili asipige huku Wachezaji wengine wakiendelea Kujipanga na siyo Kushangaa na Kubung'aa hovyo kama Wachezaji wa Azam FC kisha Goli halali (la Miquissone) likifungwa wanaanza Kulialia huku wakitafuta Huruma kutoka kwa 'Washamba' Wenzao Mashabiki wa Yanga SC.
KWANINI MWAMUZI (REFEREE) YUKO SALAMA KIMAAMUZI HASTAHILI LAWAMA?
Ni kwamba hata Yeye ( Mwamuzi ) anaijua vyema tu hii Sheria ya 'Quick Play' na ndiyo maana alipoona Simba SC wameshapata Goli huku Yeye akiwa bado anazozana na Wachezaji wa Azam FC wakati akitaka Kuwapanga waweke Ukuta huku akijua kuwa Kanuni Kuu ya FIFA ni acha Mpira uchezwe hakukona sababu ya Kunikataa Goli ukizingatia limeanzia kwa 'Genius' Morisson na aliyefunga pia nae ni 'Genius' Mwenzake Simba SC Fundi Luis Jose Miquissone.
Msipoelewa hapa hamtoelewa tena...!!