simba

  1. BRN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Mechi ya kujipima nguvu Simba 1-1 Zira

    Timu ya Simba ambayo iko kwenye Kambi ya maandalizi nchini Uturuki leo tarehe 24 Julai inacheza mechi yake ya kwanza ya majaribio. Mechi hiyo itaanza saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki na kati na inapambana na timu ya Zira ya Azebaiajan..timu ya Zira iliyoko pia kwenye daraja la kwanza...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uongozi wa Simba SC acheni kucheza na Akili zetu, kwa huyu Kipa Mbrazili Jefferson Luis mmetutukana Tusi Kubwa Sisi Mashabiki wenu

    Siyo kwamba kila Siku GENTAMYCINE nikiwa Nawachokoza, Nawananga na Nawatania mno Watani zetu Yanga SC basi Kwetu huku ( Simba SC ) mkikosea nitawanyamazia. Huwa sina Unafiki na Upumbavu na ndivyo hata nilivyo Kiuhalisia wangu. Kama Kipa Ally Salim ( japo ana Mapungufu kadhaa ) ameweza Kudaka...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sakho wa Simba SC tumeshajua Sakho Kauzwa wapi, mbona Mtikisa Manyonyo, Mvaa Bukta Kata 'K na Mjichubuaji' hatuambiwi wameenda wapi?

    Simba SC bado wanaendelea Kuonyesha jinsi gani wanaelekea pazuri kuwa Klabu yenye Uweledi. Tayari Mchezaji Sakho wa Simba SC tumeshajua Kauzwa wapi ila kwanini Mtikisa Manyonyo, Mvaa Bukta Kata K na Mjichubuaji si tu hawaonekani bali hata hatutangaziwi Hatima zao wakati Wafuatiliaji wa Masuala...
  4. Dr Matola PhD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri wa maboresho kwa Tamasha lijalo la Wananchi, hata Simba mnaweza kuchukuwa ushauri huu

    Kwanza niweke wazi Mimi si mpenzi wa kuhudhuria mikusanyiko mikubwa ya aina yeyote ile, iwe ya vyama au kwenda uwanjani kuangalia mpira, huwa naenjoy kuangalia haya matukio Nyumbani au nikiwa Pub, tukio kubwa la mkusanyiko mkubwa wa watu nilihudhuria alipokuja Mandela tu. Tukirejea katika mada...
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Kuanzia Round ya pili Ligi ya Mabingwa Africa

    Timu kumi [10] zitakazoanzia 2nd Round yani hatua ya mwisho kwenda Makundi CAFCL 2023/24. 1. Al Ahly SC 🇪🇬 2. Wydad AC 🇲🇦 3. Esperance 🇹🇳 4. Mamelodi Sundowns 🇿🇦 5. Simba SC🇹🇿 6. Petro 🇦🇴 7. Tp Mazembe🇨🇩 8. Enyimba 🇳🇬 9. CR Belouizdad 🇩🇿 10. Pyramid FC 🇪🇬
  6. Its Pancho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naihurumia sana Simba kwa msimu mbaya itakaoupata

    wakuu Hii team naionea huruma sana kwa yanayoenda kuipata msimu huu. Usajiri wao ni mbovu asilimia mia walipopatia angalau ni kwa yule winga kramo . Kituko zaidi ni huyu kipa muuza matango kule kwao Brazil, hivi mpo serious kweli viongozi kutuletea huyu mtu? Mbona musonda atakuwa anaondoka...
  7. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini Simba wezindulia jezi zao kwenye like cha Mlima Kilimanjaro

    Kwa wale wasio jua, Mlima Kilimanjaro ndio Mlima mrefu kupita yote duniani. Kwa wale walio karirishwa la saba b watasema " Mlima Himalaya/Everest ndio Mlima mrefu kupita yote duniani" Ni hivi Mount Kilimanjaro is the most FREE STANDING tallest mountain in the world Mount Everest is a mountain...
  8. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Sc hatujamalizaa. Saa 7 Mchana kinashuka chuma

    Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kipa wa kimataifa wa Brazil 🇧🇷 JEFFERSON LUIS kwa Mkataba wa miaka miwili. . Jefferson (29) maarufu kama Mikono ya Sumaku anatua Simba kushindania namba na Aishi Manula aliye majeruhi.
  9. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Suala la Simba kuzindua jezi katika kilele cha Mlima Kilimanjaro sio suala la kimichezo ila ni la kiroho litakaloathiri sana siasa za Taifa letu

    Wasalaam. Wanasema kila jambo fulani liwe zuri au liwe baya basi hutanguliza alama, dalili, viasharia na taarifa fulani za kimafumbo ambazo ni lazima watu wazima wakae chini, wapasue vichwa vyao kuweza kuzi uncode hizo secret codes. Mwaka 1961 Nyirenda alipandisha bendera ya Tanganyika na...
  10. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ngao ya Jamii 2023/2024 itakwenda Simba Sc, NBC 2023/2024 Bingwa atakuwa Simba Sc

    Baada ya kuchambua kwa kina hizi timu za kibongo na sasa nimejiridhisha kuwa Bingwa wa NBC Premier League msimu wa 2023/2024 atakuwa timu ya Simba Sc, mpaka ligi NBC inafika ukingoni Simba Sc atamwacha Yanga Sc kwa zaidi ya point tano. ukumbuke huu uzi ligi ikishaanza na pale ligi itakapokwisha...
  11. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Sc kuanzia Round ya Kwanza Ligi ya Mabingwa

    Tumepokea taarifa kwamba Simba Sc na vigogo wengine wa Super League, wataanzia round ya kwanza katika Ligi ya Mabingwa. Draw ya round ya awali inategemewa kufanyika tarehe 25 Julai.
  12. Gulio Tanzania

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijapendezwa na uzinduzi wa jezi za Simba kuwekwa majina ya viongozi

    Ni jambo la kushangaza kwa kile kilichofanyika na club ya simba kuchanganya mpira na siasa Nilipendezwa na wazo la club ya simba kutambulisha jezi yao kwenye mlima mkubwa zaidi Afrika hivyo kufanya kuwa kivutio kikubwa kinachotambulika dunia nzima niliona ni jambo jema Leo mida ya asubuhi...
  13. Best Daddy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ONYO: Simba mpumzishe Yanga akiwa kwenye siku yake

    Leo ni Mwananchi Day kila mtu anatambua hilo "Happy Mwananchi Day, Young Africans🎊 Pamoja na kutambulika kama ni Mwananchi Day, ila "haioneshi" kama ni siku yake mwananchi. Kuna sababu nyingi zinazofanya hili tamasha kudoda siku ya leo, ikiwemo mikakati na mipango yao katika ngazi za uongozi...
  14. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Sc hatujamaliza, Saa 7 tunasambaratisha kila kitu

    Wakati kibegi kikiendelea kurindima na nyuzi kali, fahamu kwamba hatujamalizaa. Leo saa 7 mchana tunamtangaza mkali wao na kusambaratisha kila kitu.
  15. mtwa mkulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanyakyusa na uzi wa simba kimeumana hukuuu

  16. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapokeo ya jezi mpya ya Simba tayari ni makubwa sana kuzidi yale ya jezi ya Yanga

    Mpaka sasa ndani ya masaa 3 tu toka picha ya kwanza kupostiwa Instagram ya jezi za Simba, imepata likes 111,077 na comments 10,401. Video ya jezi ya Yanga wakiwa Ikulu ya Malawi iliyopostiwa toka July 5, zaidi ya wiki mbili zilizopita mpaka dakika hii imepata likes 60,085 na comments 1,918 tu...
  17. R-K-O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tatizo sio uwezo, Hawa wachezaji wapya wa Simba wameshajiweka kinga kwa msimu mpya?

    Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI". Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
  18. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumalize utata: Simba Vs Yanga nani ana uzi mkali?

    Piga kura yako kwa kuandika jina la timu yenye jezi kali kati ya Simba Vs Yanga.
  19. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba wakopi jezi za Azam Fc

  20. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimezichungulia jezi za simba sports sijaridhika nazo

    Watu wa msafara wa kusambaza jezi za simba mikoani hasa maduka ya vunjabei wamepitia hapa nilipo. Jamaa yangu aliyepo kwenye msafara akanionesha jezi za simba zitakazozinduliwa baadae jioni. Sandaland ameleta jezi ambazo sijazielewa kwakifupi ni chini ya kiwango. Wana simba punguzeni matarajio
Back
Top Bottom