simba

  1. uran

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

    Match Day! Mchezo wa 13 kwa Simba akiwa na Alama 29 nafasi 3. Azam wao wako nafasi ya 2 wakiwa na Alama 31. Simba alipoteza mara mbili Mfululizo kwa Azam Fc. Hii ni Mechi ya kisasi. All the Best Mnyama. Kikosi cha Simba Kinachoanza. Kikosi cha Azam Kinachoanza Updates... Timu...
  2. Life2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TFF wanazidi kujipambanua kwamba Simba ni Kijana wao mpendwa

    Natoa kama Rai mashabiki wa Yanga hamna budi kuomba sana kwa ajili ya timu yenu maadui ni wengi mnoo mje na ndani ya uwanja na wanafanya kazi kwa kushirikiana kuhakikisha malengo yenu hayatimii. Adui kwa kwanza mkubwa wa Yanga ni TFF, TFF ipo kwa lengo la kuhakikisha yanga inaharibu lakini kwa...
  3. Execute

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba imsajili yule Lookman wa Nigeria na Gilberto wa Angola

    Simba tumtoe pale Atalanta huyu Lookman aje na pia yule Gilberto apewe mkataba. Hivyo tutabeba Caf CL mwakani.
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa 'Ndiki / Fabo' ya Leo huko 'Kwa Mwinyi' Mkoani Tabora nawaomba wana Simba SC tuelewane mapema kabisa kwa hili

    Ushindi kwa Simba SC leo nauona ni wa 20% tu (japo Wakishinda nitashukuru kwani Mechi hii ya leo ni Ngumu hasa kwa nje ya Uwanja), 25% ni Kufungwa na 55% naona ni Sare / Suluhu kwa Simba SC. Huyo huyo Kiongozi katumiiza kwa Mchezaji Shekhan wa Zanzibar, huyo huyo tena akaja Kutuumiza Mechi ya...
  5. uran

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

    Match Day. Leo Simba anatupa karata yake kwenye mchezo wa 12 wakiwa na Points 26. Nafasi ya 3. Anayeongoza Ligi ana points 34. Mpaka sasa Simba amepoteza Mchezo 1 Draw 2 na Ameshinda 8. Wapinzani Wao Tabora wako nafasi ya 12 kwenye msimamo wakiwa na points 15. Mchezo utafanyika Saa 10jioni...
  6. Gordian Anduru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tayari Simba wameshaanza kupata Vikombe vya mkutano mkuu ujao mwakani

    Klabu yeti pendwa imepata mafanikio makubwa ukiacha Yale ya WhatsApp channel MCHEZAJI wetu Inonga amefika nusu fainali afcon. Pia fifa wametutaja Kwenye klabu 12 ambazo zitawania club world cup ambapo Sisi makolo wizard ni WA 7 Africa wakati zinatakiwa timu nne tu. Hayo ni mafanikio yetu
  7. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Queens wapewa alama na TFF, sasa wanaongoza ligi

  8. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba wasaka wachezaji kwenye mashindano ya Afcon

    Klabu ya Simba ya jijini Dar imeamua kutafuta wachezaji watakaoisaidia timu hiyo katika kusaka mataji katika msimu wa 2024/25. Simba imeweka watu maalum ili kutafuta wachezaji wanaofanya vizuri katika mashindano ya Afcon yanayoendelea nchini Cote D'Ivoire. ==== Simba ina mikakati mizito ya...
  9. uran

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

    All the Best Mnyama mkali. Tukutane saa 10jioni kwa saa za Afrika Mashariki (EAT) Simba ya Dar es Salaam itashuka Dimbani, Uwanja wa Ziwa Tanganyika kuwavaa wenyeji wao Mashujaa FC. Simba kwenye msimamo wa Ligi yuko nafasi ya 3. Amecheza michezo 10. Akiwa na Alama 23. Anayeongoza ligi Azam FC...
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Inonga ana viwango vya Laliga na EPL. Tatizo tupo timu mbovu sana ya Simba

    Nimemfuatilia kwenye hii michuano ya Afcon. Hakika jamaa ni bonge la beki. Sema aliyemshauri kuja Simba kamuharibia sana.
  11. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Rwandair anatua DOH, DXB,JHB, CPT, LOS, ACC, EBB Vs ATC?

    Rwandair wanatua destinations za mashiko kibiashara 1. London Heathrow, 2. Brussels, 3. Paris, 4. Dubai, 5. Doha, 6. Mumbai, 7. Lagos, 8. Douala, 9. Libreville, 10. Accra, 11. Dar, 12. Entebbe, 13. Nairobi, 14. Kilimanjaro, 15. Johannesburg, 16. Cape Town, 17. Lusaka, 18. Harare...
  12. John Gregory

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga yatinga 20 bora ya vilabu vilivyotumia gharama kubwa zaidi kufanya usajili Mwaka 2023

    Kwa mujibu wa report za FIFA za hivi karibuni kuhusu gharama za usajili na uhamisho wa wachezaji, imeonyesha vilabu vikubwa kama Al Ahly, Mamelodi, Pyramids vikiendelea kuonyesha sababu ya wao kuwa bora huku zikiendelea kuwekeza katika kununua wachezaji wenye ubora ili kuendelea kusalia katika...
  13. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimewaona wapya wetu Wawili katika Ushambuliaji Simba SC na naomba niseme tu Bingwa tena Msimu huu ni Yanga au Azam

    Nikiwaambia nitafuteni GENTAMYCINE niwatafutieni Wachezaji mahiri na wa Kazi Kazi kweli hamtaki na mnawapa Jukumu hilo Wanafiki na Wapigaji. Nimeucheza Mpira, Naujua Mpira na Nauchambua Mpira hivyo nikisema hujui jua hujui na nikisema unajua jua unajua. Aliyeamuru kuwa Mshambuliaji Moses Phiri...
  14. THE FIRST BORN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anayeangalia mechi ya Simba vs Tembo(FA) inaonyesha mpira wa back pass upo kwenye damu ya wachezaji wa Kitanzania kabisa

    Wasalam wanajukwaaa. Nipo naangalia hii Match ya Simba na Tembo ya FA Aisee inakera badooo sana, Yani zile beki zinachokifanya ndio kile tumetoka kukiona kwenye Team ya Taifa. Japo sio wote walikua Team ya Taifa ila hiki ni kielelezo kua Kumbe wachezaji wa Kitanzania swala la kuchezea Mpira...
  15. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba Bado inacheza mpira mbovu

    Bado sijaelewa kama hawa wachezaji wa Simba wana kazi nyingine zaidi ya mpira au namna gani? Bado wachezaji wetu wanafanya makosa madogomadogo na wanakosa seriousness. Bado wachezaji wetu wanaendelea kuwa na tatizo la ball control, possession ya mpira kwa wachezaji bado shida. Pass accuracy...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC tumechoka sasa dharau za Clatous Chama tafadhali aachwe upesi

    Tokea juzi kataarifiwa arejee Kambini kuungana na Wenzake Yeye kwa dharau hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi hajaenda na yuko Kisiwani Zanzibar amekula tu Bata (Starehe) na Mademu wa Kitalii ambao huwa anawapenda hakuna mfano. Chama tumekuvumilia vya kutosha tafadhali achana na Simba SC...
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nasikitika sana wengi wenu hamjamuelewa Kiumakini Msemaji wa Simba SC juu ya Uwanja watakaoutumia

    "Kwa sasa Simba SC tutautumia Uwanja wa Azam Complex kwa Mchezo wetu dhidi ya Tembo katika Mechi ya ASFC Keshokutwa na Taarifa ya Simba SC itatumia Uwanja upi kwa Mechi zake za Ligi Kuu ya NBC na CAFCL itatolewa baadae" amesema Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally alipokuwa akiongea na Mtangazaji wa...
  18. Mjanja M1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chama asamehewa na Uongozi wa Simba Sc

    Kiungo Clatous Chama amesamehewa na Uongozi wa Simba SC na Februari 01 atajiunga na wenzie kambini kwa ajili ya michezo ya mzunguuko wa pili wa ligi pamoja na maandalizi ya mchezo wa CAFCL dhidi ya Asec Mimosas, mchezo utakaochezwa nchini Ivory Coast. Clatous Chama atakuwepo michezo miwili ya...
  19. Majok majok

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pale simba hakuna viongozi bali kuna genge la wahuni tu

    Ni ajabu sana na inasikitisha sana kwa timu inayojiita inao viongozi na viongozi hao hao wanashindwa kujua kanuni walizoshirikishwa kuzitengeneza juu ya viwanja vya kuchezea ligi kuu na FA? Kiongozi bila aibu eti anaomba timu ikachezee Zanzibar kwani huku bara hakuna viwanja? Wamekimbia CHAMAZI...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC tafuteni Uwanja kwa Mechi zenu za Ligi na FA, New Amani Complex kiwe tu kwa Mechi zenu za CAFCL

    GENTAMYCINE nawaambieni hili mapema na Asubuhi hii kwakuwa tayari nimearifiwa na Chanzo Muhimu kuwa Ombi lenu la kwenda Zanzibar kuutumia Uwanja wa New Amani Complex kwa Mechi zenu za Ligi Kuu (NBC) na FA (ASFC) halitokubaliwa ila kwa Kuutumia kwa Mechi zenu za CAFCL mtaruhusiwa nyie na Yanga SC...
Back
Top Bottom