Unadhani ni kwanini kufuzu kwa Yanga SC kumewaumiza sana SIMBA SC kiasi kwamba wanaropoka kila mara kupitia vyombo vya habari

PD_Magumba

JF-Expert Member
Apr 2, 2021
687
2,173
Ndugu zangu hivi nini kimepelekea viongozi wa SIMBA kuchanganyikiwa baada tu ya Dar Young Africans SC kuingia quarter final ya CAFCL 2024.

Musemaji wao anaropoka.

Page zao zinaropoka tu.

Siamini kama SIMBA haina watu professional wa mpira.

Au SIMBA anaogopa kwamba hata kama atafuzu basi atakutana na YANGA na atapigwa 5G tena?

Kwanza wapo kwenye haya mashindano kwa huruma tu za kanuni za CAF, hii ni kwa sababu wanashiriki michuano ya mabingwa Africa wakati wao sio mabingwa wa msimu uliopita.

Mwenye kujua tatizo lao aseme jamani
 
Kufanya vizuri kwa Yanga kwenye kombe la shirikisho halikuwapa somo bali wao waliamini kuwa Yanga ni timu ya kawaida ila timu zilizo shirikisho ni mbovu ndio maana Yanga katamba.

Hivyo faraja yao ilikuwa huku klabu bingwa, walitegemea kuwa Yanga asingefika popote pale. Ile Yanga kufungwa goli tatu wakafurahi sana na maneno ya kejeli kuwa huku ni kwa wababe hakuna Marumo huku.

Sasa Yanga amefuzu kabla hata ya wao midomo fc na mbaya zaidi timu zote zilikuwa kwenye kombe la shirikisho ndio zimetangulia kufuzu ila yeye midomo fc wanasubiri kujua hatma yao jumamosi
 
Robo fainal ya Caf Champions League ndiko kichaka pekee kilichokuwa kimebaki kama silaha yao ya mwisho ya kuwatambia utopolo.

Sasa ni kama wamejawa na hofu kuwa huwenda Yanga anaweza kwenda step zaidi ya iyo robo fainal ambayo wamekuwa wakitamba nayo.

Nadhani hii ndio sababu ya kupagawa kwao
 
Aliyefuzu robo fainali zaidi ya mara 4 ataumiaje kwa sababu mwingine amefuzu kwa mara ya 1?kweli huko wenye akili ni wawili tu

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Mkuu heshima yako. Sasa kwa nini wakati huu SIMBA wanaropoka tu.

Unachukuriaje kauli ya Ahmed kwamba wamefuzu washambashamba? Kumbuka hii ni general kwa waliokwisha fuzu (Ahly, Mamelodi, Mazembe, YANGA na ASEC) je hii ni sawa?
 
Mshamshukuru Mo lakini..?

Kabla ya Yote hapo mlipofika kwanza kbs Muanze na Shukurani Kwa Mo..!

Afu ndo mpige hicho kiswali chetu cha nani Kaumia nyie kufika hapo
Hapa tulimshukuru nani?
 

Attachments

  • FB_IMG_17089618746562490.jpg
    FB_IMG_17089618746562490.jpg
    391.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom