Utabiri wa Droo Robo Fainali: Yanga vs Mamelodi; Simba vs Al Ahyl

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,022
144,380
Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.

Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.

Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
 
Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.

Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali.

Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Simba this tyme ataenda nusu fainali.
 
Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.

Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali.

Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Simba akipangiwa Al Ahly kuna uwezekano wakavuka. Al Ahly sio wazuri kivile. Simba kumtoa Al Ahly sio ajabu.
 
Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.

Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali.

Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Mechi ya Simba vs Al Ahly umewaza kama mimi ila Yanga atapangwa kati ya Asec au atakayeongoza kundi la kina Petro Luanda.
 
Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.

Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali.

Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Haina shida ikiwa hivi. Kwa mzuka wa timu za Tanzania naimani kuna moja itafika nusu fainali. Ushabiki pembeni, tuitakie Tanzania mafanikio mema
 
Back
Top Bottom