siku

Siku (Quechua: antara, Aymara: siku, also "sicu," "sicus," "zampolla" or Spanish zampoña) is a traditional Andean panpipe. This instrument is the main instrument used in a musical genre known as sikuri. It is traditionally found all across the Andes but is more typically associated with music from the Kollasuyo, or Aymara speaking regions around Lake Titicaca. Historically because of the complicated mountain geography of the region, and due to other factors, in some regions each community would develop its own type of siku, with its own special tuning, shape and size. Additionally each community developed its own style of playing. Today the siku has been standardized to fit in with modern western forms of music and has been transported from its traditional roots.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Haji Manara naye siku hizi hamnazo! Kumbe hakukosea!

    Kumbe Haji Manarà alikuwa sahihi aĺiposema mtu ukiwa yanga unajikuta kichwani hamnazo. Yeye mwenyewe yamemkuta hayo hayo! Zilikoenda akili hata yeye mwenyewe hawezi kujua!! Utopolo sijui wanalogana namna gani!
  2. C

    Wakati Rais Samia akimsifia Waziri wa Maji, huku mtaani hatuna maji siku ya 3 leo

    Raia Samia huenda ni kweli Waziri wa Maji anafanya kazi vizuri, na ninaungana na Watanzania wengine kumpongeza. Lakini bado wananchi tunapata kero za maji za mara kwa mara. Kwa wiki mbili zilizopita huku mtaani ninapoishi maji yalikuwa yanatoka kwa presha kama ya mkojo, huwezi hata kupandisha...
  3. marco polo jr

    Picha ya siku

  4. Kamanda Asiyechoka

    Uvccm mnajifanya hamjaona yaliyomkuta Sabaya? Ipo siku na ninyi mtakiona cha moto.

    Mnataka kusema hamjui kuwa ametumika kama mpira wa kutunzia uchafu na kisha kutupwa jalalani? Ninyi mnaotumika kama green guard kupiga watu, kuiba kura ipo siku na ninyi mtakiona cha moto. Ccm ni genge la wanyag'anyi.
  5. beth

    Oktoba 16: Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani (World Food Day)

    Siku ya Chakula Duniani huadhimishwa kila Oktoba 16 ikiwa na dhumuni la kutoa uelewa na kujadili hatua zinazoweza kuchukuliwa kukabiliana na suala la Njaa na milo bora kwa wote Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) linasema athari za kiuchumi kutokana na COVID19 zinaweza kuongeza Watu...
  6. Pascal Mayalla

    Leo ni Siku ya Chakula Duniani. Je Tanzania, Tumeipa Siku Hii Umuhimu Stahiki? Kilele, Kesho, Tujitokeze kwa Wingi kwenye Kilele, Pia Kuchanja Bure

    Wanabodi Leo ni Siku ya Kimataifa ya Chakula Duniani, huu ni uzi wa swali na wito, jee sisi Tanzania, tumeipa siku hii umuhimu stahiki?. Japo siku yenyewe kimataifa ni leo, ila kilele, kwa Tanzania, kimepangwa kesho, kutokana na ratiba kugongana na tukio jingine muhimu zaidi ya Siku ya Chakula...
  7. S

    Baada ya Sabaya, waliompiga risasi Lissu wajue na wao iko siku wataenda jela

    Moja ya funzo kubwa tunalopata kutokana na hukumu ya Sabaya ni kuwa, hata ukitumika na wakubwa ,ipo siku hawatakuwapo na hata wakiwepo, wanaweza wasiwe na msaada kwako hivyo yatakukuta tu kama yalivyomkuta Sabaya leo hii. Mliomshambulia Lissu kwa risasi mkoani Dodoma,, mjue siku yenu ipo na...
  8. BAKIIF Islamic

    Tumebakisha siku 4 kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.a.w): Niulize chochote kuhusu Mtume Muhammad (S.A.W.) Nitakujibu

    Yeye (Muhammad Ibn Abdullah) alizaliwa katika nyumba ya ami yake, Abu Talib, katika “mtaa wa Bani Hashim” huko Makka, tarehe 12 Rabil-awal ya ule Mwaka wa Tembo, tarehe ambayo inaoana na tarehe 8 Juni 570. Mama yake na mtume Muhammad (s.a.w), Bi Amina, alituma habari za uzazi huu wa kheri kwa...
  9. GENTAMYCINE

    Watoto wetu wa Siku hizi 'mnapotupiga' Wazazi wenu Pesa kwa 'Kutudanganya' msidhani huwa hatujui ila tunakausha kwakuwa nasi 'tuliwapiga' Babu zenu

    Na kama tukiamua 'Kuwakazia' tutaishia Kuwachapeni sana 'Bakora' na huenda hata hizi Pesa zenyewe tusiwe tunawapeni vile vile na hakuna cha Kutufanya. Haiingii Akilini Mtoto umeenda Kumtembelea Wiki Mbili tu zimepita Leo hii anakupigia Simu na Kukuambia sijui kaishiwa Vitabu mara sijui kaibiwa...
  10. Red Giant

    Umuhimu wa mawakili wa shetani kwenye makongamano ya siku ya Nyerere.

    Zamani kanisa katoliki kama linataka kumfanya mtu kuwa mtakatifu lilikuwa linaajiri mtu fulani wa kuitwa Advocate Dei(wakili wa shetani). Kazi yake ilikuwa ni kuchambua mabaya ya mtu huyo na kujenga hoja kuwa hafai kuwa mtakatifu. Kwahiyo, huyu mtu anayepewa utakatifu alikuwa ni bora sana...
  11. Determinantor

    Leo ni Siku ya "Kutokuvaa Bra" Duniani

    Siku ya Leo ulimwengu unasherehekea kutokuvaa Bra/Sidiria. Lengo ni kuhamasisha Kujikinga na Cancer ya Maziwa/Matiti. Mkumbushe Mkeo/Demu/Mchepuko wako kusherehekea siku hii kwa kutokuvaa Bra/Sidiria. October 13 is National No Bra Day, also known as: “the moment we get home from work“ day...
  12. EL ELYON

    Kejeli nilizoambiwa siku naachana naye

    Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu wa Mbinguni hakuna laana. Leo naendelea na muha taeleza siku naondoka rasmi na kuachana Naye. Nakumbuka nyakati hizo Yule mwanamke alizidi kunipanda kichwani alianza tabia za kurudi usiku Sana nyumbani yaani Mimi nilikuwa nafanya kazi maeneo ya ubalozi WA kenya...
  13. J

    Lile Jambo kutoka kwa Rais Samia ni Leo, tega masikio yote mawili

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa. Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu. Tega sikio hapa hapa bwashee. Nawatakia Dominica yenye baraka!
  14. CHARLES MGANDA JOHN

    Kuelekea siku ya Afya ya Akili Duniani

    KUELEKEA SIKU YA AFYA YA AKILI DUNIANI POMBE NA AFYA YA AKILI Kila ifikapo tarehe 10 ya mwezi wa 10 kila mwaka, dunia huadhimisha siku ya afya ya akili duniani. Nikiwa kama mdau wa Afya ya akili, naomba nichangie kwenye eneo moja kwanza la Pombe na Afya ya akili kwa sasa! Kwa kifupi sana...
  15. fundi bishoo

    Mafataki yanayopigwa kila siku na Ubalozi wa Marekani ni kero

    Wagwaniiii Ebhana serikali mbona inafumbia macho hawa jamaa wa ubalozi wa Marekani leo ni siku ya 4 mfululizo wanapiga mabomu sjui mafataki mda mwingne milio kama ya bunduki. Hii ni kero kwa wananchi bhana kuna wagonjwa bhana mitaani huku mnazingua aisee.
  16. P

    Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

    Naam, kumekucha tena siku ya ijumaa mchana tarehe 08 Oktoba, 2021 katika uwanja wa ndege wa Abeid Aman Karume kutapokelewa ndege mbili za Airbus aina ya 220 - 300. Ndege hizo zitapokelewa na Dr. Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Itoshe kusema ATCL inaendelea kupata...
  17. MSAGA SUMU

    Baada ya mauaji ya ajabu kutokea Kangaye Mwanza, sasa wananchi kufunga siku tatu mfululizo

    Baada ya watu watatu kufariki wakati wa mazishi na hivyo kusababisha misiba kufika minne, wakazi wa Kangaye Mwanza wameamua kufunga kwa siku tatu mfululizo kuomboleza misiba hiyo pamoja na kuombea amani katika eneo lao. Itakumbukwa siku sio nyingi wakati mazishi yakiendeleaa, mtu mmoja alitoa...
  18. Roving Journalist

    HESLB imetoa siku nne kwa Wanafunzi 2,982 walioomba mikopo kwa mwaka 2021/2022, kukamilisha taratibu za maombi yao

    HESLB YATOA SIKU NNE WAOMBAJI KUFANYA MAREKEBISHO BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa muda wa siku nne kuanzia Oktoba 4-7, mwaka huu kwa wanafunzi 2,982 walioomba mikopo kwa mwaka 2021/2022 kufanya marekebisho ili kukamilisha taratibu za maombi yao. Ili kupata taarifa za...
  19. ladyfurahia

    Siku ya Waalimu duniani: Ni jambo gani unalikumbuka ambalo Mwalimu alifanya juu yako

    Habarini Wadau Leo ni siku ya WALIMU DUNIANI. Je ni jambo gani unalikumbuka ambalo Mwalimu alifanya juu yako iwe kukupatia elimu nzuri na bora, ama iwe chochote alichokifanya juu yako mpk uko hivyo ulivyo. Wadau tiririkeni mambo mnayokumbuka pindi mlipokuwa shuleni/vyuoni au pindi mlipo sasa...
  20. MsemajiUkweli

    Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

    Ninachosikitika ni kuwa hizi chanjo ambazo baadhi ya watu watazipa nchi zitaenda kuua herd immunity ambayo watanzania wengi kama sio wote nchini tulikuwa tumeipata kwa muda wa takribani miaka miwili. Kwa wasiojua, herd immunity kwa lugha ya kawaida huitwa Kinga Kundi, hii ni aina ya kinga...
Back
Top Bottom