Shule za siku hizi hatuendi kutoa ujinga kama zamani

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,536
4,513
Ni kwamba ile dhana tuliyoaminishwa kuwa nenda shule ukatoe ujinga.

Imepitwa na wakati.

Sasa hivi anayeenda shule anaenda kujaza ujinga na kuongeza ujinga kutoka kwa wajinga(walimu)...Na akihitimu...Anarudi mtaani anakuwa mjinga.

Na hahitajiki popote...Kwa sababu bado ni mjinga tena uliosokomezana.

Hii elimu ni ujinga...Ukitaka kuamini angalia wingi wa wajinga waliojaa mtaani kwa kukosa ajira.

Elimu ya zamani ndio iliyokuwa inatoa ujinga...Sasa hivi yajaza ujinga tu.
 
Ni kwamba ile dhana tuliyoaminishwa kuwa NENDA SHULE UKATOE UJINGA...

IMEPITWA NA WAKATI...

Sasa hivi anayeenda shule ANAENDA KUJAZA UJINGA NA KUONGEZA UJINGA KUTOKA KWA WAJINGA(Walimu)...NA AKIHITIMU...ANARUDI MTAANI ANAKUWA MJINGA...

NA HAHITAJIKI POPOTE...KWA SABABU BADO NI MJINGA TENA ULIOSOKOMEZANA...

Hii elimu ni ujinga...ukitaka kuamini angalia wingi wa wajinga waliojaa mtaani kwa kukosa ajira...

Elimu ya zamani ndio iliyokuwa inatoa ujinga...sasa hivi yajaza ujinga tu...
Wanafunzi wengi wa sasa hivi mibichwa yao imejaaa ngono kuliko akili za kusoma na maisha.

Hawajui kutofautisha muda na matukio tena kwa wasichana hali ni mbaya na huku kuvunja ungo mapema ndo hatari kabisa.

Huwezi kuendelea ngono ukafanikiwa katika elimu hata kidogo
 
Wanafunzi wengi wa sasa hivi mibichwa yao imejaaa ngono kuliko akili za kusoma na maisha.Hawajui kutofautisha muda na matukio tena kwa wasichana hali ni mbaya na huku kuvunja ungo mapema ndo hatari kabisa.Huwezi kuendelea ngono ukafanikiwa katika elimu hata kidogo
HIi elimu ya sasa inawafanya hao mabint waamini makalio yao ndio mtaji...
 
Mmmh
20220313_111139.jpg
 
Ata hio zaman elimu ilikuwa kama ya sasa tu sema kulikuwa hakuna competition kubwa kwenye ajira kama hiv sasa tena wenda zaman ndio watu walikuwa wajinga kuliko hiv sasa.

Sema mitahala ya elimu ya sasa zinataka kubadilishwa ili ziendane na wakati huu.
 
Mimi bado najiuliza niende shule au sio...lol... kwa sasa kila linalofundishwa shuleni lipo mkononi mwa mtu ,, so why go to school???
 
Ni kwamba ile dhana tuliyoaminishwa kuwa NENDA SHULE UKATOE UJINGA...

IMEPITWA NA WAKATI...

Sasa hivi anayeenda shule ANAENDA KUJAZA UJINGA NA KUONGEZA UJINGA KUTOKA KWA WAJINGA(Walimu)...NA AKIHITIMU...ANARUDI MTAANI ANAKUWA MJINGA...

NA HAHITAJIKI POPOTE...KWA SABABU BADO NI MJINGA TENA ULIOSOKOMEZANA...

Hii elimu ni ujinga...ukitaka kuamini angalia wingi wa wajinga waliojaa mtaani kwa kukosa ajira...

Elimu ya zamani ndio iliyokuwa inatoa ujinga...sasa hivi yajaza ujinga tu...
Elimu haijabadilika Kijana, Contents ni zilezile, Waalimu wasasa wamefundishwa na Waalimu walewale

Laumu serikali yako iliyoshindwa kutengeneza mazingira ya ajira kwa graduates.

Kama Mwanao au mdogo wako amefeli na yuko mtaani kumbuka kuna watoto wa wenzio wana Div 1:7 na sio wajinga.
 
HIi elimu ya sasa inawafanya hao mabint waamini makalio yao ndio mtaji...
Thanks, naomba unijibu maswali mawili tu.

1)Elimu ya sasa ina tofauti gani na ya zamani mfano miaka ya 90 na 2000?

2) Elimu yasasa imewafanyaje wanafunzi kuamini katika makalio yao?
 
Ata hio zaman elimu ilikuwa kama ya sasa tu sema kulikuwa hakuna competition kubwa kwenye ajira kama hiv sasa tena wenda zaman ndio watu walikuwa wajinga kuliko hiv sasa.

Sema mitahala ya elimu ya sasa zinataka kubadilishwa ili ziendane na wakati huu.
Upo sahihi
 
Kinachoshangaza tu Sasa hivi ukienda shuleni ni ngumu kukuta watoto wanacheza au wanapiga kelele darasani kisa mwalimu hayupo wa SoMo husika yani vipindi Sasa hivi havipotei ajabu watoto ndio wajinga wajinga kupita maelezo, wanaferi kupita maelezo
 
Yan wazee wa zamani kujiona vyao ndio bora hamjambo

Elimu ya sasa imeboreka na watu wanapata maarifa sema tatizo ni ushindani uliopo kwenye ajira ndo unatesa vijana

Zamani hamkuwa na elimu bora ila mliajiriwa kwa sababu mlikuwa wachache na ndo mana mlikuwa hamuombi ajira,

Halafu kuhusu kujiajiri mitaji bado changamoto kwa tulio wengi, najua utakuja na u motivation speaker kuwa tuanze tulipo + bla bla ila bila mtaji wa pesa hatutaboa na ninyi wazee hamkutuwekea hata akiba ya 5M tuanzie maisha tunabaki kuwa saidia fundi
 
Ni kwamba ile dhana tuliyoaminishwa kuwa NENDA SHULE UKATOE UJINGA...

IMEPITWA NA WAKATI...

Sasa hivi anayeenda shule ANAENDA KUJAZA UJINGA NA KUONGEZA UJINGA KUTOKA KWA WAJINGA(Walimu)...NA AKIHITIMU...ANARUDI MTAANI ANAKUWA MJINGA...

NA HAHITAJIKI POPOTE...KWA SABABU BADO NI MJINGA TENA ULIOSOKOMEZANA...

Hii elimu ni ujinga...ukitaka kuamini angalia wingi wa wajinga waliojaa mtaani kwa kukosa ajira...

Elimu ya zamani ndio iliyokuwa inatoa ujinga...sasa hivi yajaza ujinga tu...
Watu wanakosa ajira kwasababu wasomi ni wengi wanahitimu kila mwaka na ajira ni chache. Wanasema unatakiwa kujiajiri ili nawe uajiri wengine.

Elimu bora(yenye afadhali kidogo ipo). Inategemea na shule unayosoma na akili yako ya kuzaliwa
 
Mimi bado najiuliza niende shule au sio...lol... kwa sasa kila linalofundishwa shuleni lipo mkononi mwa mtu ,, so why go to school???
Usidanganye.Acha watoto waende shule.Ila tulie na waalimu.Ninajua bila mwalimu huwezi kwenda popote kwani mwalimu ndiye wa kwanza kutoa kutu kwenye akili zetu.

Nilikuwa mara nyingi sana nilikataa katu nilipoambiwa kuna wanafunzi wamejiunga kidato cha kwanza bila kujua kusoma na kuandika.Hili nimelithibitisha kwa mwanafunzi wa darasa la sita bila kujua kusoma na kuhesabu.

Mwanafunzi wa darasa la sita hata kukopi kilichoandikwa na mwalimu ubaoni hawezi, kuhesabu mpaka 100 ni tatizo.Mwandiko ndio basi tena.

Lakini nilisikitika nilipofuatilia zaidi nikagundua kuwa.
1, Hakuna mwalimu anayesaidia mwanafunzi aweze kuandika mwandiko unaoweza kusomeka au namna ya kuumba herufi.

2. Watoto wanafanya hesabu, wanaweka majibu yasiyosahihi, mwalimu anamwekea alama ya vema kuwa kapata kumbe kakosa.(Inawezekana sio waalimu wote ila hawa wanadhalilisha fani ya ualimu.)

3.Mwanafunzi wa darasa la sita hajui orodha kabisa, hata ile rahisi ya 1x1 hajui.Lakini kafika darasa la sita.Hebu nisaidieni,huyu kafikaje darasa la sita.Mtihani wa darasa la nne vipi.

Maoni yangu.
Wazazi chunguzeni madaftari ya watoto wenu kwa kina ili kuwasaidia.Hasa hawa wa madarasa ya awali ya shule zetu za kawaida kabla hawajafika mbali wakiwa hawajitambui.La pigana kufa na kupona mtoto aende kwenye shule za Yes na No.

Waalimu,tunajua wakati mwingine darasa lina watoto zaidi ya 100.ni shughuli kuwamanage. Jiweke kwenye nafasi ya mtoto wako kuwa miongoni mwa hao 100 ili uweze kuwasaidia.

Wakaguzi wa shule wako wapi?????????

Nitaendelea.........
 
Back
Top Bottom