Sifa is a type of deadman's control system used on German-influenced European railways. Although deadman's pedals are commonly used on railways worldwide, Sifa systems are specifically those codified by German Industrial Norms VDE 0119-207-5.
In Switzerland the equivalent system is called 'safety control' (Sicherheitssteuerung).
Sifa za mwanaume rijali
Lazima ajue kushawishi (kumshawishi wanamke na akuamini)
Lazima atembee kiume; sio kwenda upande upande
Lazima ajue kubeba majukumu
Lazima awe na sauti kwa mkewe/ mpenzi wake
Lazima awe na msimamo
Havai vitu wanavyovaa wanawake
Hafanyi vitu wanavyofanya wanawake
Hakai...
Hofu Imetoweka
Wakati huu hata nikisikia kelele nje ya nyumba/geti najua kabisa hawa ni vibaka au wanga wapo kwenye mbishe zao, na ninao uwezo wa kufungua mlango na kutoka nje kuangaza macho kulikoni.
Enzi za Bwana yule, kwa sababu ya watu ninaohusiana nao kijamii na kikazi nilikuwa na hofu...
Young Africans watashuka dimbani kuwakaribisha TP Mazembe ktk mchezo wa kombe la shirikisho afrika.
Yanga ina historia ya kufungwa na Mazembe mara nyingi. Leo wataweza kupindua meza? Yanga wanapaswa washinde ili kulinda heshima ya nchi.
Mazembe wanapewa nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi ktk...
Siasa za CCM zianze kuangalia vitu vya Msingi tu kila wakija kwenye soka always ni nuksi tu.
Kwanza watu wanawekeza mabilion Alafu mwanasiasa anataka apate sifa kwa m 5 isiyotosha ata mshahara wa mwezi wa mchezaji.
Kawaida Simba hununua away game kwa m 200. Sasa Hawa wanaomshauri mama...
Hivi karibuni Benki ya Dunia imetoa ripoti ambayo imekuwa na sura kuu mbili ikiibebesha sifa Tanzania kiuchumi
Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani alikuta hali ya uchumi ikiwa katika misukosuko mingi ikiwamo janga la ugonjwa wa Covid-19, mahsusi ripoti ikieleza angalizo kwa nchi za kusini...
1; Waliochezea nafasi za ndoa na sasa wakati umepita nawamekata tamaa.
2: Wanaotumia muda mwingi kusoma na kufuatilia mambo hasi kuhusu ndoa. Kwa hiyo wanadistorted view kuhusu ndoa. Akili zao ndio zina matatizo sio ndoa.
3: Walioathiliwa na vuguvugu la upinde wa mvua duniani. Vuguvugu hili...
Huu ni uzi maalum wa kutaja wachezaji wa zamani ambao hukuwahi kuwaona wakicheza. Ukishawataja subiria wakongwe waliomuona akicheza waje wakuoe sifa zake.
Mimi sijawahi kumuona George Magere Masatu akicheza, naombeni mnitajie uwezo wake maana yupi hyped sana
Sifa pekee aliyonayo chawa yenye nafuu NI uwezo wake wakijificha nakukaa kimya anapotekeleza mikakati yake ya KUJITAFTIA riziki au mkate WA siku.
Sifa zilizobaki zote zimekaa vibaya kisiasa nakiutu , labda Kwa kifupi TUZIFAHAMU baadhi ya sifa za chawa;
1. Chawa siku zote NI mnyonyaji; uishi...
Kila upande unasema unapambana wenyewe bila usaidizi.
Russia's defence ministry says its forces are taking part in the battle for Soledar, a town north of Bakhmut in east Ukraine which has been the focus of recent fighting.
It comes after the head of Russia's notoriously brutal Wagner...
1.Anajitambua kuwa yeye ni mwanaume, hivyo anakuwa hana sifa za:
a. Ushoga
b. Vijembe
c. Umbea
d. Kususa
e. Kusuta
f. Kupoteza muda kwa visivyomhusu
g. Umario
h. Kusimanga mwanamke ingali alizaliwa na mwanamke
I. Kumdharau single mother ingali anajua nae kakataa mimba ya mtoto wa MTU, kakataa...
Nyerere aliwahi kutamka wazi, Kwamba maadui watatu wa taifa letu ni maradhi,ujinga na umasikini.Hivi vinapaswa kuwa kipimo kwa kiongozi yeyote aliyepo madarakani.
Ni ukweli kwamba siasa zina umuhimu na nafasi ya kipekee katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli, Lakini porojo zisizo na...
GENTAMYCINE (Shabiki Tukuka wa Simba SC) nilishawahi kuandika Mada (Thread) hapa hapa JamiiForums ya Kuwaonya akina Inonga na Sakho juu ya Uchezaji Wao wa anao anao mwingi na kutafuta Sifa kwa Majukwaa huku Nikionya kuwa ipo Siku yatawakuta makubwa.
Sikueleweka na baadhi ila nina baada ya...
"UMALAYA , UMALAYA , UMALAYA" - "
MALAYA AKIKAMATWA ANAVALISHWA BANGO, KUNA SEHEMU YENYE KABILA LAKE HALAFU UNAPIGWA PICHA " HII SIO SAWA!!
Mfano hawa ni wale walikamatwa kwenye maanguro
hawa walikamwatwa wakijiuzza mitandaoni
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?
Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?
Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende...
Waziri wa Fedha na mipango Dr. Mwigulu Nchemba akizungumza na Clouds 360 asubuhi hii kuhusu Deni la Taifa amesema Tanzania ni nchi iliyo na sifa nzuri kimataifa, ikiwemo kuwa na uwezo wa kukopesheka pasipo vikwazo.
Akijibu swali la Mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini anajisifu kuwa na...
Ukisikia sifa zinaua ndio huku, Hapa kwa mporomoko huu wa jeneza sijui kama waliodondokewa na jeneza walipona?
Humo kwenye jeneza mwili wa marehemu ushavunjika vunjika kwajili ya hizi sifa.
Utasikia kisingizio ni jeuri ya pesa lakini ukifatilia unakuta pesa zenyewe ni mshahara wa kuajiriwa...
Walioa bhana yaani kelele na kutikisa vitambi tu, hawatembei na vivuli vya wake zao. Wakiwa bar wao, mgahawani wao, lodge au gesti wao, ktmota wao, kuku wao, kwenye sebene wao.
Jazeni vitu vya maana kwenye mafrifge zero, pigeni shoo za maana zero, kwenye sebene mnaenda na migebuka, mkirudi...
Huu mchezo nilikuwa naukemea tangu enzi za Magufuli.
Hii leo ni zaidi ya mara 4 sherehe za kitaifa kughairishwa na viongozi kisha fedha kuamuru zipelekwe kwingineko. Rais hupatiwa kitabu chote cha bajeti kabla haijasomwa naye hutoa mapendekezo au amri zake. Kisha hurudi kwa wahusika.
Sasa huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.