Baada ya pilika za siku, tunapoa baa tukichoma maini tuliyopewa bure, meza inawatu hawa
1.Mwenye baa
2.Wafanyakazi wake
3.Wateja
4.Wapumzikaji (Wapita njia)
Njoo tusemezane wenye akili
Je ni haki kula kwa mkono kushoto kitimoto?
Mbona kwenye guidelines hapo kakataza?
Hayo si maamuzi...