Naomba kujua sheria zinasemaje,
Kuna uchunguzi wa polisi ulifanyika, baada ya malalamiko. Jalada likaenda kwa DPP ofisi ya Wilaya husika ambaye akaagiza, mtuhumiwa ambaye ni Mbunge ahojiwe na Polisi, na kuchunguza nyaraka zake.
Huyu Mheshimiwa anakwepa kwepa kwa kuandika barua sehemu...