CCM na utii wa sheria

CCM na utii wa sheria

PeterwaPerer

Senior Member
Joined
Sep 12, 2024
Posts
194
Reaction score
195
Siku za hivi karibuni nimemsikia msajili msaidizi wa vyama vya siasa ndugu Sisty Nyahoza akikiri hadharani kuwa pamoja na ukubwa wa CCM lakini wamekuwa wanatii na kuwajibika kwa makosa mbalimbali yanayofanywa na wanachama wake

Si mara moja au mbili wamekuwa wakiwaandikia barua za onyo na kujieleza na CCM wamekuwa wakijibu na kushughulikia changamoto zinazojitokeza kama alivyotoa mfano wa kijana mmoja aliyelewa kule Bukoba

Tofauti na vyama vingine vimekuwa vikikimbilia kwenye mitandao ya kijamii kutafuta kitu kinachoitwa "public sympathy" kwa lugha ya kujing'ata ulimi na sio kushughulika na changamoto hizo ambazo ni kweli wanazo na zinazidi kuwaweka pabaya

Mfano Chadema kwenye moja ya majibu yake (yamo humu) kwa msajili kujibu barua waliyoandikiwa wanadai kuna sheria kwenye vyama vya Siasa eti "Imewekwa kimakosa"

Yes naweza kukubaliana nao kwa namna moja au nyingine lakini ndio mtunishane mabavu nayo wakati ipo valid na inafanya kazi?

Viongozi wa namna gani hawa?


Kwa mtazamo wangu labda kitokee chama kingine cha siasa chenye dhamira ya kweli ya kushika nchi hawa wengine wanapiga maktaimu tu sababu uwezo wao wa kuchambua na kunusa hatari ni kisoda mno!
 
Siku za hivi karibuni nimemsikia msajili msaidizi wa vyama vya siasa ndugu Sisty Nyahoza akikiri hadharani kuwa pamoja na ukubwa wa CCM lakini wamekuwa wanatii na kuwajibika kwa makosa mbalimbali yanayofanywa na wanachama wake

Si mara moja au mbili wamekuwa wakiwaandikia barua za onyo na kujieleza na CCM wamekuwa wakijibu na kushughulikia changamoto zinazojitokeza kama alivyotoa mfano wa kijana mmoja aliyelewa kule Bukoba

Tofauti na vyama vingine vimekuwa vikikimbilia kwenye mitandao ya kijamii kutafuta kitu kinachoitwa "public sympathy" kwa lugha ya kujing'ata ulimi na sio kushughulika na changamoto hizo ambazo ni kweli wanazo na zinazidi kuwaweka pabaya

Mfano Chadema kwenye moja ya majibu yake (yamo humu) kwa msajili kujibu barua waliyoandikiwa wanadai kuna sheria kwenye vyama vya Siasa eti "Imewekwa kimakosa"

Yes naweza kukubaliana nao kwa namna moja au nyingine lakini ndio mtunishane mabavu nayo wakati ipo valid na inafanya kazi?

Viongozi wa namna gani hawa?


Kwa mtazamo wangu labda kitokee chama kingine cha siasa chenye dhamira ya kweli ya kushika nchi hawa wengine wanapiga maktaimu tu sababu uwezo wao wa kuchambua na kunusa hatari ni kisoda mno!
Utter nonsense!
 
Siku za hivi karibuni nimemsikia msajili msaidizi wa vyama vya siasa ndugu Sisty Nyahoza akikiri hadharani kuwa pamoja na ukubwa wa CCM lakini wamekuwa wanatii na kuwajibika kwa makosa mbalimbali yanayofanywa na wanachama wake

Si mara moja au mbili wamekuwa wakiwaandikia barua za onyo na kujieleza na CCM wamekuwa wakijibu na kushughulikia changamoto zinazojitokeza kama alivyotoa mfano wa kijana mmoja aliyelewa kule Bukoba

Tofauti na vyama vingine vimekuwa vikikimbilia kwenye mitandao ya kijamii kutafuta kitu kinachoitwa "public sympathy" kwa lugha ya kujing'ata ulimi na sio kushughulika na changamoto hizo ambazo ni kweli wanazo na zinazidi kuwaweka pabaya

Mfano Chadema kwenye moja ya majibu yake (yamo humu) kwa msajili kujibu barua waliyoandikiwa wanadai kuna sheria kwenye vyama vya Siasa eti "Imewekwa kimakosa"

Yes naweza kukubaliana nao kwa namna moja au nyingine lakini ndio mtunishane mabavu nayo wakati ipo valid na inafanya kazi?

Viongozi wa namna gani hawa?


Kwa mtazamo wangu labda kitokee chama kingine cha siasa chenye dhamira ya kweli ya kushika nchi hawa wengine wanapiga maktaimu tu sababu uwezo wao wa kuchambua na kunusa hatari ni
Hicho chama cha upinzani unachokiwaza kutokea halafu kichukue nchi kitapita njia zipi ambazo ccm na polisi wake watakiangalia mpaka kuwa maarufu hadi kuchukua nchi!
Huyo msajili ni mteuliwa wa mwenyekiti wa ccm. Hayo mambo ya kuwandikia barua ccm ni kuzuga tu. Njia wanayotumia chadema kwenda mitandaoni ndio njia sahihi ya kusikika kuliko kutegemea huruma za msajili.
 
Hicho chama cha upinzani unachokiwaza kutokea halafu kichukue nchi kitapita njia zipi ambazo ccm na polisi wake watakiangalia mpaka kuwa maarufu hadi kuchukua nchi!
Huyo msajili ni mteuliwa wa mwenyekiti wa ccm. Hayo mambo ya kuwandikia barua ccm ni kuzuga tu. Njia wanayotumia chadema kwenda mitandaoni ndio njia sahihi ya kusikika kuliko kutegemea huruma za msajili.
Namaanisha chama chenye consistence na ajeda zao tangu wasajiliwe hata ipite miaka 20

Sio wa matukio wanaochezeshwa sindimba na chama tawala

Watu wenye akili timamu pekee tutakiunga mkono
 
Back
Top Bottom