The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".
Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa ametembelea banda la Shirika la Reli Tanzania (TRC) katika maadhimisho ya Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini yanayoendelea kufanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja vilivyopo jijini Dar es Salaam.
Mhe. Prof. Mbarawa amesisitiza suala la ushirikishwaji...
Treni za SGR zilizokuwa zikisafiri jioni ya leo kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma na Dodoma kwenda Dar es Salaam zimepata hitilafu na kulazimika kusimama njiani, hali iliyosababisha sintofahamu kubwa kwa abiria.
Kwa mujibu wa taarifa za moja kwa moja kutoka kwa abiria walioko njiani, treni...
Baada ya kuchambua video ya leo ya Samia nimeona kwa macho yangu kuwa alipo tangaziwa na kupewa cheti sio Jengo/Ofisi za Tume Dodoma, kwa maana nyingine Juhudi zetu za watu kwenda maeneo ya tume zilionesha matumaini na kujaza hofu za hawa madhalimu.
Kingine baada ya kuangalia Ramani vizuri...
Inadaiwa kwamba Ajali ya Treni ya SGR ni hujuma ya ya Mradi. Wamiliki wengi wa mabasi ni wabunge na mawaziri, wanasema huu mradi wa SGR unakwamisha sana biashara zao.
Ndo maana hata mradi unaenda kwa kususasua sababu vizingiti vya wafanyabishara wanaoidhamini CCM ni vingi.
Je, kwanini...
Leo haikuwa siku njema sana kwa treni ya umeme ya SGR ilipopata ajali maeneo ya Ruvu ikielekea Dodoma.. Mungu ni mwema hakukuwa na vifo bali uharibifu mkubwa wa miundombinu
Kwa muonekano wa ajali treni iling'oka matairi na kutoka nje ya reli.. Kama sio hujuma basi kuna uzembe mkubwa kwenye...
Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kuacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo ikiwa inatokea Jijini Dar es salaam kuelekea Dodoma ambapo Abiria wawili walioongea na AyoTV wamesema hawajamuona yeyote aliyejeruhiwa isipokuwa ni hofu tu iliyowapata wachache...
Msigwaaa Kiko wapi 🤣🤣
Msigwa Hilo Bichwa lako tunajua Lina Elimu ya hapa na pale tu kama mashahidi wako wa kesi ya LISSU .
Mnatanguliza Ufisadi mbele na Matumizi mabaya ya Fedha za Umma .
.
CCM wanambinu zao za dakika zajioni katika kuzitafuta kura. Lakini kama uchaguzi usikuwepo mwaka huu basi bila shaka wananchi wakeendela kuteseka katika kudai fidia zao
====================
Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imelipa zaidi ya shilingi bilioni 1.6 kwa wananchi 213 wa...
Naamka asubuhi na mapema nikiwa na njaa. Nachemsha chai nakumbuka kitafunwa sina. Natoka barabarani namwona mama muuza mihogo.
"Niuzie ya mia tano!"
"Subiri kidogo, ndiyo kwanza nimeiweka motoni."
Naamua kuketi juu ya jiwe kuisubiria.
Moshi mseto wa vifuu na kuni za kuokoteza, unasambaa...
Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara kutoka TRC Bw. Fredrick Masawe (kushoto) pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TCB Bw. Jema Msuya wakionesha kadi ya malipo ya kabla ya tiketi ya SGR iitwayo TRC Prepaid Card wakati wa uzinduzi wa kadi hiyo yenye lengo la kuongeza ufanisi katika uuzaji...
Mtu wangu kutoka eneo la tukio kapiga simu kunishukuru, anasema muda mchache baada ya mimi kupandisha uzi huu, zoezi lilikokwama kwa siku nzima lilianza kufanyika huku treni inasafiri.
Chanzo cha stori: KERO - TRC rekebisheni behewa namba 14 kwenye treni ya SGR. Hakuna hewa, mtaua watu...
Behewa namba 14 kwenye treni ya Mwendokasi halina hewa.
Kwa mujibu wa mhudumu, tangu asubuhi, leo Oktoba 3, 2025 behewa hili limepata hitilafu na halijatengenezwa hadi sasa na hawajui litatengenezwa lini.
Hii imeleta adha kubwa kwa wasafiri wanaotumia jioni hii maana behewa limejaa, hakuna...
TISEZA KUTOA ARDHI BURE KWA WAWEKEZAJI, Je eneo lipo jirani na reli ya SGR itumike.
Eneo la NALA DODOMA lipo kilometa 10 kutoka reli mpya ya SGR ilipojengwa.
Je TISEZA inasomana na reli mpya ya SGR ili wawekezaji waweze lutumia reli hiyo ya matrilioni ya shilingi
Ni muhimu maeneo ya pembezoni...
Nimeshangaa sana huyu mwanaCCM kuongea namna hii.
Kwamba wasiompigia kura Rais Samia wasipande SGR au kutumia barabara zilizojengwa kwa kodi za Watanzania.
Hajui kuwa kila mtanzania awe CCM au sio CCM analipa kodi?
Soma >> GE2025 - Kasesela: Kama unataka kumnyima kura Rais Samia, usiende...
Katika kuongeza mapato nchini na ukizingatia SGR inajaza siku 5 kabla ya safari. Inafaa sasa SGR kwa kushirikiana na TRA waaanzishe Kodi kwa abiria na Wasindikizaji wote angalau 20,000/= kila trip.
I will be short
Iko Hivi ume login , then ukiselect seat . System aikupeleki next .
This means kuna watu wamegeuza business wanauza ticket ukiwapigia . In short Uwezi lipia seat . Maana ufiki Kwenye control number .
Mama Anaupiga mwingi sana . Useless county . Barabara Mbovu . System...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.