sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji SGR; sekta binafsi washirikishwe

    Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa ametembelea banda la Shirika la Reli Tanzania (TRC) katika maadhimisho ya Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini yanayoendelea kufanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja vilivyopo jijini Dar es Salaam. Mhe. Prof. Mbarawa amesisitiza suala la ushirikishwaji...
  2. Agent-47

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Treni za SGR za Dar kwenda Dodoma zapata hitilafu. Safari zakatishwa kwa muda

    ‎Treni za SGR zilizokuwa zikisafiri jioni ya leo kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma na Dodoma kwenda Dar es Salaam zimepata hitilafu na kulazimika kusimama njiani, hali iliyosababisha sintofahamu kubwa kwa abiria. ‎ ‎Kwa mujibu wa taarifa za moja kwa moja kutoka kwa abiria walioko njiani, treni...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nina shauku/curiosity ya Kiintelejensia kuhusu Kuanguka kwa SGR

    Baada ya kuchambua video ya leo ya Samia nimeona kwa macho yangu kuwa alipo tangaziwa na kupewa cheti sio Jengo/Ofisi za Tume Dodoma, kwa maana nyingine Juhudi zetu za watu kwenda maeneo ya tume zilionesha matumaini na kujaza hofu za hawa madhalimu. Kingine baada ya kuangalia Ramani vizuri...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli ajali ya Treni ya SGR ni hujuma ya mradi?

    Inadaiwa kwamba Ajali ya Treni ya SGR ni hujuma ya ya Mradi. Wamiliki wengi wa mabasi ni wabunge na mawaziri, wanasema huu mradi wa SGR unakwamisha sana biashara zao. Ndo maana hata mradi unaenda kwa kususasua sababu vizingiti vya wafanyabishara wanaoidhamini CCM ni vingi. Je, kwanini...
  5. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tumakinike tuchukue hatua: Ya UDART yasijirudie SGR

    Leo haikuwa siku njema sana kwa treni ya umeme ya SGR ilipopata ajali maeneo ya Ruvu ikielekea Dodoma.. Mungu ni mwema hakukuwa na vifo bali uharibifu mkubwa wa miundombinu Kwa muonekano wa ajali treni iling'oka matairi na kutoka nje ya reli.. Kama sio hujuma basi kuna uzembe mkubwa kwenye...
  6. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Treni ya SGR yapata ajali asubuhi leo Oktoba 23, 2025 ikitokea Dar kuelekea Dodoma

    Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kuacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo ikiwa inatokea Jijini Dar es salaam kuelekea Dodoma ambapo Abiria wawili walioongea na AyoTV wamesema hawajamuona yeyote aliyejeruhiwa isipokuwa ni hofu tu iliyowapata wachache...
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Treni ya SGR yapata ajali. Serikali ya Samia iko kimya, yazuia vyombo vya habari kuripoti

    Msigwaaa Kiko wapi 🤣🤣 Msigwa Hilo Bichwa lako tunajua Lina Elimu ya hapa na pale tu kama mashahidi wako wa kesi ya LISSU . Mnatanguliza Ufisadi mbele na Matumizi mabaya ya Fedha za Umma . .
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Serikali yamwaga bilioni 1.6 kwa wananchi wa Uvinza walioachia eneo la SGR kama fidia

    CCM wanambinu zao za dakika zajioni katika kuzitafuta kura. Lakini kama uchaguzi usikuwepo mwaka huu basi bila shaka wananchi wakeendela kuteseka katika kudai fidia zao ==================== Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) imelipa zaidi ya shilingi bilioni 1.6 kwa wananchi 213 wa...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Toka kwa muuza mihogo mpaka SGR

    Naamka asubuhi na mapema nikiwa na njaa. Nachemsha chai nakumbuka kitafunwa sina. Natoka barabarani namwona mama muuza mihogo. "Niuzie ya mia tano!" "Subiri kidogo, ndiyo kwanza nimeiweka motoni." Naamua kuketi juu ya jiwe kuisubiria. Moshi mseto wa vifuu na kuni za kuokoteza, unasambaa...
  10. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania TRC, TCB Wazindua kadi ya malipo ya tiketi usafiri wa SGR

    Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara kutoka TRC Bw. Fredrick Masawe (kushoto) pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TCB Bw. Jema Msuya wakionesha kadi ya malipo ya kabla ya tiketi ya SGR iitwayo TRC Prepaid Card wakati wa uzinduzi wa kadi hiyo yenye lengo la kuongeza ufanisi katika uuzaji...
  11. Heparin

    JamiiForums Tanzania Responded Behewa namba 14 la SGR lilikokuwa bovu limetengenezwa, mambo yamenyooka

    Mtu wangu kutoka eneo la tukio kapiga simu kunishukuru, anasema muda mchache baada ya mimi kupandisha uzi huu, zoezi lilikokwama kwa siku nzima lilianza kufanyika huku treni inasafiri. Chanzo cha stori: KERO - TRC rekebisheni behewa namba 14 kwenye treni ya SGR. Hakuna hewa, mtaua watu...
  12. Heparin

    JamiiForums Tanzania KERO TRC rekebisheni behewa namba 14 kwenye treni ya SGR. Hakuna hewa, mtaua watu

    Behewa namba 14 kwenye treni ya Mwendokasi halina hewa. Kwa mujibu wa mhudumu, tangu asubuhi, leo Oktoba 3, 2025 behewa hili limepata hitilafu na halijatengenezwa hadi sasa na hawajui litatengenezwa lini. Hii imeleta adha kubwa kwa wasafiri wanaotumia jioni hii maana behewa limejaa, hakuna...
  13. B

    JamiiForums Tanzania TISEZA kutoa ardhi bure kwa wawekezaji. Je eneo lipo jirani na reli ya SGR itumike?

    TISEZA KUTOA ARDHI BURE KWA WAWEKEZAJI, Je eneo lipo jirani na reli ya SGR itumike. Eneo la NALA DODOMA lipo kilometa 10 kutoka reli mpya ya SGR ilipojengwa. Je TISEZA inasomana na reli mpya ya SGR ili wawekezaji waweze lutumia reli hiyo ya matrilioni ya shilingi Ni muhimu maeneo ya pembezoni...
  14. curie

    JamiiForums Tanzania Kifo cha SGR hakiko mbali

    Mimi sio mtabili ila kwa yanayoendelea Tanganyika kwenye miradi kama Brt , Airtz ,n.k na kiona kifo cha Mradi huu muda si mrefu . Muda ni jaji
  15. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kwanini hawakufikiria SGR kupita SINGIDA wakaipitisha ITIGI

    Kwanini wakafuata reli ya zamani toka ITIGI mpaka Tabora si wangeileta SINGIDA mjini ambapo wangepata wateja wengi na ikaendelea mpk tabora.
  16. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Shuttle bus to/from SGR Stations

    Japo ni Jambo zuri ila bodaboda/bajaj/bolt watahujumu kwa Fitna za wazi na Sirini. Tujipe muda
  17. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hivi hii miradi kama SGR pamoja na Mv Mwanza ni mali ya CCM?

    Nimeshangaa sana huyu mwanaCCM kuongea namna hii. Kwamba wasiompigia kura Rais Samia wasipande SGR au kutumia barabara zilizojengwa kwa kodi za Watanzania. Hajui kuwa kila mtanzania awe CCM au sio CCM analipa kodi? Soma >> GE2025 - Kasesela: Kama unataka kumnyima kura Rais Samia, usiende...
  18. and 998 others

    JamiiForums Tanzania SGR anzisheni kodi kwa abiria na Wasindikizaji

    Katika kuongeza mapato nchini na ukizingatia SGR inajaza siku 5 kabla ya safari. Inafaa sasa SGR kwa kushirikiana na TRA waaanzishe Kodi kwa abiria na Wasindikizaji wote angalau 20,000/= kila trip.
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Ajali ya Behewa la Machuma imesababisha Foleni kubwa hapa Kituo cha SGR

    Wakuu! Kuna behewa lililokuwa limebeba machuma limeanguka hapa Kituo cha SGR, Dar es Salaam na kusababisha foleni kubwa ya magari eneo hilo.
  20. D

    JamiiForums Tanzania KERO SGR watu wamechezea network Uwezi Lipia online

    I will be short Iko Hivi ume login , then ukiselect seat . System aikupeleki next . This means kuna watu wamegeuza business wanauza ticket ukiwapigia . In short Uwezi lipia seat . Maana ufiki Kwenye control number . Mama Anaupiga mwingi sana . Useless county . Barabara Mbovu . System...
Back
Top Bottom