RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,315
- 134,769
Wadau wa magari mnaendeleaje na ujenzi wa taifa? Kuna wataalam wa magari huko Instagram wameamua kushindana na SGR train. Wao watatumia BMW X3 F25 sijui ina engine gani N20 N47 au N55.
Wamechagua gari nzuri kwa mwendo na usalama kwanza. Ila niliwaona ni vichaa. Maanake SGR train inatumia 4hrs ili ushindane nayo inabidi utumie less than 4hrs kutoka Dar hadi Dodoma ambazo ni 450km. Hapo inabidi upate wastani wa 112kph tunaoendesha tunajua unatakiwa uendeshe mwendo gani ili uweze kupata wastani huu.
Lakini nimewasikia wakisema watatangulia masaa mawili kanla ya train yaani wao wataomdoka Dar saa 0400 wakati train inaondoka saa 0600
Baada ya kusikia hivi nikajua sasa akili imewarudia na kwa maoni yangu hapa hakuna ushindani maanake hata mimi kama naamua kushindana na SGR train nikatangulia masaa mawilk kwenda Dodoma nitawahi kufika kabla ya treni tena na gari ya kawaida kama Toyota Crown 4GR.
Je una maoni gani kuhusu huu mtanange?
Nb: Hii ni ordinary SGR train sio ile mchongoko inayotumia 3hrs.
Wamechagua gari nzuri kwa mwendo na usalama kwanza. Ila niliwaona ni vichaa. Maanake SGR train inatumia 4hrs ili ushindane nayo inabidi utumie less than 4hrs kutoka Dar hadi Dodoma ambazo ni 450km. Hapo inabidi upate wastani wa 112kph tunaoendesha tunajua unatakiwa uendeshe mwendo gani ili uweze kupata wastani huu.
Lakini nimewasikia wakisema watatangulia masaa mawili kanla ya train yaani wao wataomdoka Dar saa 0400 wakati train inaondoka saa 0600
Baada ya kusikia hivi nikajua sasa akili imewarudia na kwa maoni yangu hapa hakuna ushindani maanake hata mimi kama naamua kushindana na SGR train nikatangulia masaa mawilk kwenda Dodoma nitawahi kufika kabla ya treni tena na gari ya kawaida kama Toyota Crown 4GR.
Je una maoni gani kuhusu huu mtanange?
Nb: Hii ni ordinary SGR train sio ile mchongoko inayotumia 3hrs.