Nikiwa Mtanzania mwenye mwingiliano mkubwa na watu wa visiwa vya Zanzibar, sina budi kusimama kidete kwa masilahi mapana ya Nchi hii bila kupepesa Macho.
Nitazungumza kuhusu suala la umiliki wa ardhi kwa wageni.
Kwa mujibu wa sheria, ardhi ni ya serikali lakini pia serikali ikaweka utararibu...