Walgi na wafaidika wa hizi mbinu chafu huwa hamjifichiComment za Watanzania wapumbavu ukizosoma unaweza kuchefukwa.
Taarifa ya ajabu na maudhi kama hii jitu linakuja kuandika comment ya ajabu kana kwamba hicho kilichofanywa ni halali! Mtaendelea kutangishwa hadi kamasi ziwatoke utosini.
Umeelewa ulichoandika? Binafsi sijui nani umemlenga hapa, andika upya nikuelewa.Walgi na wafaidika wa hizi mbinu chafu huwa hamjifichi
wekeni public auction kama Balozi na mashirika mengine ya kimataifa yanavyofanya
Na huo ni ufisadi tuUmeelewa ulichoandika? Binafsi sijui nani umemlenga hapa, andika upya nikuelewa.
Bila picha taarifa haijakamilika.Dodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya
Unashangaa nini? Lipa kodi acha kulalamikaDodoma!
Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dodoma ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Godwin Mkanwa imebaini uuzwaji wa gari la Halmashauri ya Wilaya ya Mpwawa lenye thamani ya milioni 140 kwa million 4.9 kinyume na sheria ya mali za Umma!
Chanzo: Darmpya