rr3
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,036
- 3,724
Na nimeelewa sasa kuwa
1. Umeme kwa 27,000 ilikuwa plan ya muda mrefu kwanza vijijini halafu Sasa mjini ili wapate vichwa vingi vya tozo.
2. Watu flani walioishika serikali wanataka wafanye biashara zao za solar na magenerator hivyo wakachampion tozo ili watu wachukie wahamie kwenye Sola Kama kwenye muamala walivyohamia benki na kutuma hela cash.
Every picture you see have a story behind it.
All in all Mama yetu tunampenda na tunaendelea kumuombea na tunamuomba atufikirie kwenye hizi tozo.
1. Umeme kwa 27,000 ilikuwa plan ya muda mrefu kwanza vijijini halafu Sasa mjini ili wapate vichwa vingi vya tozo.
2. Watu flani walioishika serikali wanataka wafanye biashara zao za solar na magenerator hivyo wakachampion tozo ili watu wachukie wahamie kwenye Sola Kama kwenye muamala walivyohamia benki na kutuma hela cash.
Every picture you see have a story behind it.
All in all Mama yetu tunampenda na tunaendelea kumuombea na tunamuomba atufikirie kwenye hizi tozo.