Takriban Wiki 11 baada ya Rais Kais Saied kumfukuza kazi Waziri Mkuu na kusitisha shughuli za Bunge, kitendo kilichofanya ashikilie Madaraka yote, Taifa hilo limetangaza Serikali mpya
Waziri Mkuu wa Tunisia Najla Bouden amesema kipaumbele kikubwa cha Serikali hiyo kitakuwa kupambana na ufisadi...