Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,510
Naombeni msaada maana naona kama hapa kuna shida. Jamaa kajichorea watu na kaandika jina la mtu mmoja kuwa ni Kiwete.
Polisi wanasema kakosea huyo siyo Kiwete ni Kikwete. Na huyu anayechezea maji kwenye beseni wanasema ni Rais Samia.
But mchoraji yeye anasemaje? Kwanini wao waone hivyo na hii ni michoro ambayo huwezi thibitisha? Na huo uchambuzi wameutoa wapi? Kwanini wasiseme Baba anaongea na wananchi huku amemwacha mtoto wake wa kike achezee maji badala ya kumpeleka shule.
Kwanini wajenge dhana kuwa maana yake kuwa Rais Samia anaongozwa na Kikwete. Hii wameijenga kwa misingi gani? Au ndivyo wanavyoamini wao kiasi kwamba wanaamini kila mtu anaamini kama wao?
Anaongoza nchi vizuri? Nchi gani? Ya kusadikika? Ya Liberia au Sudan? Ya Mongolibo au ya Chechewani katika Bara la Gubang?
Polisi wanasema kakosea huyo siyo Kiwete ni Kikwete. Na huyu anayechezea maji kwenye beseni wanasema ni Rais Samia.
But mchoraji yeye anasemaje? Kwanini wao waone hivyo na hii ni michoro ambayo huwezi thibitisha? Na huo uchambuzi wameutoa wapi? Kwanini wasiseme Baba anaongea na wananchi huku amemwacha mtoto wake wa kike achezee maji badala ya kumpeleka shule.
Kwanini wajenge dhana kuwa maana yake kuwa Rais Samia anaongozwa na Kikwete. Hii wameijenga kwa misingi gani? Au ndivyo wanavyoamini wao kiasi kwamba wanaamini kila mtu anaamini kama wao?
Anaongoza nchi vizuri? Nchi gani? Ya kusadikika? Ya Liberia au Sudan? Ya Mongolibo au ya Chechewani katika Bara la Gubang?