UTAPELI ULIOFUMBIWA MACHO NA SERIKALI.
Anaandika Robert Heriel
Kuhani katika Hekalu jeusi.
Angalizo; Andiko hili laweza kuwa na Lugha Kali hasa Kwa waumini wa madhehebu ya utandawazi. Hivyo Kama ni mwepesi WA hasira, mwoga wa ukweli, na unayeongozwa na mihemko, tafadhali achia hapahapa kusoma...