KIHENZILE SEKONDARI YA KATA YAZINDULIWA, MUFINDI - IRINGA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amezindua Shule ya Kata ya Sekondari Kihenzile iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa.
Waziri Ulega amezindua shule hiyo Septemba 30, 2024 huku akisema kuwa ujenzi...