sana

The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا)‎, al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.

View More On Wikipedia.org
  1. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Karbu sana mabula sisi ndo yanga

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Karbu sana mabula Karbu sana bro LONDON BOY
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Upo hapa kwa muda mfupi sana

    wanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko mengi, na hakuna jipya chini ya jua. Hapo utaona mambo matatu Mwanadamu, Maisha, na Mahangaiko. Tumesema hapo juu kuwa maisha ni mafupi sana, kwa uzoefu mdogo utaona kuwa umepitia utoto, baadaye ujana, na huenda kwa sasa wewe ni mzee. Kesho huenda ukawa...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Madeleka matata sana, lakini ile defection ya kwenda ACT ilishushà morale yake kwangu. Msikilize na sheria hapa

    Vijana walishitakiwa kwa kigushi nyaraka na kijipatia mokopoya HESLB waachiwa huru! Msikilize anavyio jinadi
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mfanyakazi wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy yupo department ya Examination ana dharau sana kwa watu

    Habari kuna mfanyakazi mmoja wa Mwalimu Nyerere Memorial Academy yupo department ya Examination ana majibu ya dharau sana hasa kwa watu wanaoenda hapo wakiwa na uhitaji mbalimbali. Tulienda kufuata vyeti vyetu lakini alikuwa busy na kuchezea simu tukijaribu kumuuliza anakuwa mkali na hii si...
  5. idiomer

    JamiiForums Tanzania Kwa nini watumishi wa wanahama sana wakipangiwa baadhi ya maeneo?

    1. Kutaka kuwa karibu na familia hasa mwenza na watoto. 2. Kukosekana kwa nyumba bora za watumishi au za kupanga. 3. Gharama kubwa za kupanga hasa katika majiji. 4. Upungufu wa huduma za kijamii kama maji, umeme, shule, hospitali 5. Changamoto ya mawasiliano ya simu na Miundombinu kama...
  6. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Nafurahishwa sana na mlipuko wa ujenzi wa maghorofa Kariakoo, wenye nyumba za chini mliobaki pisheni, acheni ubishi

    Najua kwamba kuna uwezekano mkubwa pesa zinazotumika kununua viwanja na kujenga maghorofa Kariakoo ni pesa za upigaji (pesa zenye kona kona) , lakini nimetafakari na kuona kwamba ni bora anaeiba Tz na kujenga Tz , kuliko wanasiasa na wahindi wanaopiga pesa nchi na kwenda kuzificha uingereza na...
  7. Jobless_Billionaire

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Media za Bongo zinatoa sana airtime kwa mambo yasiyo na tija kwa jamii kuliko yale ya msingi? Nimeamini kupitia sakata la Doto Magari

    Habarini wakuu.. Siku za hapa karibuni kumekuwa na mambo ya ajabu ajabu yanayotembea sana mitandaoni kuhusiana na hawa machawa. Kuna sakata la yule wa kuitwa Doto Magari kusambaa kwa taarifa zake kuwa ni muathirika na kumekuwepo na kurushiana maneno kati yake na waanzilishi wa hizo tuhuma jui...
  8. MIHAYO1710

    JamiiForums Tanzania MAISHA YANGU YA SOCCER VS NEEMA YA MUNGU

    Wakuu ningependa kuelezea kwa kifupi zaidi maana ya neema ya Mungu, kupitia maisha yangu halisi ya soccer. 👉Mimi niliupenda sana mpira wa miguu, lakini mpira wenyewe haukuwahi kunipenda! Ukoo wangu (Upande wa baba na mama) hakuna historia inayoonesha kwamba aliwahi kuwepo mcheza soccer...
  9. Mufti kuku The Infinity

    JamiiForums Tanzania Kuna clip moja niliiona ya Mzee wa Ufafanuzi na Ukanusho. Nikaishia kucheka sana

    Maake hapo kwanza ncheke 😁😁
  10. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Mdada akiwa anakuangalia sana huku anajichekesha anamaanisha nini?

    Leo nimekaa sehemu karibu na genge la matunda akaja mdada mmoja anataka kununua tango akapewa akasema hapana mi napenda matango manene,baada ya kauli hiyo akaniangalia huku anacheka namimi ikabidi nitabasam kidogo akaendelea tena nipe na lile kubwa, akageuka tena akaniangalia huku anacheka...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Pole Sana Dotto Magari: Nikupe Moyo haya majaribu unayopitia utayavuka salama Mdogo wangu

    Ujumbe wangu kwangu Dotto Magari, haya majaribu unayopitia ya kuhusishwa Kwamba umeathirika na Virusi vya UKIMWI ni mpango wa MUNGU ambao amekuandalia katika Maisha yako Kwamba ipo siku haya yatatokea. Mimi nikushauri Mdogo wangu usikate tamaa ugali wako na familia yako hakuna atakayelisha...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Bila Rais Samia hii nchi ingejifia kitambo sana,Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili

    Rais samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili na nina uhakika bila yeye hii nchi ingejifia kitambo sana Rais samia kipenzi cha wanyonge na kiboko ya wapizani na nina uhakika wapinzani wanampenda na kumkubali sana Muda mfupi Rais samia amejenga miundombinu mingi sana...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Leo nimekutana na mkasa mgumu sana kwenye maisha yangu

    . Naomba niwasimulie tuu, Leo nimepatwa na jaribu gumu sana kwa mara yangu ya kwanza katika maisha yangu. Nimekuwa nikisoma thread nyingi tu humu JF kuhusu vijana kuacha masuala mazima ya tamaa, pamoja na mikasa ya watu iliyowapata kama story ya yule jamaa aliyekuwa wakimwita Apostle...
  14. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanausalama wa Barabarani Mkata hizi tuhuma za rushwa mnazisawazishaje? Mnaonea sana madereva wa Lori

    Kituo cha Police Mkata Kitengo cha Usalama Barabarani kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa maadili ya kazi yaani rushwa pale ni halali yao kabisa ndio sehemu wameona pakupatia hela ukio-overtake pale wanakuweka mahabusu wanakutoa wanakupeleka kwenye chumba chao kuna askari. Katika hicho kituo...
  15. Heci

    JamiiForums Tanzania Watanzania mnasahau haraka sana. Hebu tuangalie maneno ya Kitila Mkumbo, miaka michache tu nyuma

  16. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Kongole sana Gen Z, kwenye burudani hampoi na hamboi kabisa! 😂👏

    Kuanzia Leonardo, yule jamaa wa "Tutakufuatilia", Eliud na mkewe, Koy Mzungu, Mama Mawigi, Mwenyekiti, Big na wenzie, Mlima Viazi Nziku kule Njombe, Wanyalu Tulizo na wenzie kitefu cha makani, Mwalimu wa Songea, rais wa mawinga na demu wake (huyu namcrush), Nyanda Kabundi (the lake zoner na...
  17. polokwane

    JamiiForums Tanzania Kwakweli CCM kwa miaka ya hivi karibuni mnatuletea viongozi wa hovyo na wa ajabu ajabu sana sana! Chama kimekumbwa na nini?

    Swali linajitosheleza kwenye sredi
  18. GenuineMan

    JamiiForums Tanzania Hayo Maisha Unayoishi Humo Ndani na Mkeo Ni Ukiamua Korekodi Utauza Sana

    Vile vimigogoro, fulana na huzuni mnazopitia humo ndani ni biashara tosha. Ila usisahau kazi ya editor, ndoa isije ota mbawa.
  19. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kwa mazingira ya kisiasa kwa sasa hatuwezi kujipatia katiba mpya halali na yenye kutetea na kulinda haki za raia. Viongozi wote ni Null and void

    Kwanza kabisa niseme mifumo wa mahakama na bunge ni mifumo iliyoparalise na haina nguvu za kusimamia mchakato wa katiba mpya. Majukumu ya Bunge na Mahakama katika nchi yenye utawala wa sheria ni pamoja na Bunge (Legislature) 1. Kutunga sheria – kutengeneza na kupitisha sheria zinazotawala...
  20. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Angalau sasa nimejipata naweza tena kuwa na Demu. Nimeishi kwa mateso sana Mwananyamala

    Kwa mda mrefu nimeishi katika maisha ya kuunga unga sana chumba kimoja zile nyumba za kupanga za mabehewa ya train yaani mnakuta milango yote imejipanga ivi kama mabehewa. Ilikuwa ngum kuleta demu maana palijaa wa mama wa kiswahili wanapikia nje muda wote kelele uwezi letq demu usiwape mada ya...
Back
Top Bottom