Wakuu na wanabodi habari zenu!. Za masiku mengi?
Ni muda mrefu sana toka nimeondoka rasmi jijini Dar es salam, na japo huwa nakuja kuja one time huwa inakua ni kwa specific task so naonana na specific people at specific one area.
Huwa sipati muda wa kuzunguka sana ,then naondoka.
But this time...