WARAKA WA KWANZA KWA RAIS, MHE. SAMIA SULUHU
Kwa Mkono wa, Robert Heriel
Mwana wa Nyota ya Tibeli, nalikuandikia haya nikiwa Njombe, Kwa amri ya Mungu wetu aishiye sirini, mola wetu mlezi.
Kwa Mhe, Samia Suluhu, Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Neema na iwe juu yako, na rehema na amani...