Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha umahili wake kwA kumteua Balozi Liberata Mulamula kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Bulesi

Platinum Member
May 14, 2008
14,208
13,718
Namsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kunteua Balozi Libarata Mulamula si kwasababu ni mwanamke la hasha , namsifia kwasababu ya kutambua umuhimu wa uzoefu katika kutenda kazi.

Huko nyuma hili halikuwa linatiliwa maanani kwani watu waliostaafu tulikuwa tunaona hawana mchango tena wa kulitumikia Taifa na ndio maana hazina ya watu wabobezi katika nyanja mbalimbali hatuwatumii ipasavyo kwasababu tu wamestaafu.

Wako wengi, lakini hazina moja ambayo nadhani inaweza kuwa msaada sana kwenye awamu hii ni mchumi mmoja mahiri ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu Mipango, Katibu Mkuu Mawasiliano na uchukuzi, Naibu GAVANA wa benki kuu, Deputy Secretary General wa East African Community.

Mtu mwenye CV nzito kama hii hatuwezi kumuacha aende kufuga kuku wakati uzoefu wake ungetusaidia katika maendeleo yetu.

Alitumikia enzi ya Rais Kikwete na dio wakati huo uchumi wetu ulishamili.

Nchi za wenzetu walioendelea wanawatumia sana watu waliostaafu kwenye nafasi nyingi nyeti hasa kwenye taasisi za fedha kwani kule hakuhitaji ubabaishaji!
 
Chunguza vizuri hiki ulichosema, huenda kinyume chair ndioo ukweli

Nimeandika baada ya uchambuzi yakinifu sio kwa kufuata majungu yenu!! Kama ana tuhuma si mngemshitaki akapelekwa mahakamani! Dr. Mataragio na Kidata tungewakosa hivyo hivyo kama mgefanikiwa na majungu yenu!!
 
Ila ana umri mkubwa, huenda hatuna succession plan nzuri, huyu alipaswa kupumzika awaachie kazi aliowaandaa

Kuna kazi nyingine zinahitaji uzoefu sana na sio kubahatisha kwani makosa yakifanyika gharama yake ni kubwa!!
 
Nimeandika baada ya uchambuzi yakinifu sio kwa kufuata majungu yenu!! Kama ana tuhuma si mngemshitaki akapelekwa mahakamani! Dr. Mataragio na Kidata tungewakosa hivyo hivyo kama mgefanikiwa na majungu yenu!!
Jibu hoja yangu pekee
 
Jibu hoja yangu pekee
Majungu sio hoja! Kama una la kusema sema hapa una uhuru wa kuandika usiogope!! Sina muda na wapika majungu kama wewe; nyinyi ndio mnaopinga kila kitu Rais anachotaka kufanya because it is not in your own interest!!
 
Tatizo hapo ni ukosefu wa mpangilio wako wa mawazo,umerundika tu maneno ka kifusi ! Try to portray the gist ili msomaji asitoke amevurugwa
Hujui kusoma, sababu ya shule zenu za kayumba!!! Nawewe andika kama unaweza siku za Jiwe zimepita hakuna kuogopa!!
 
Kwahiyo ndo 64 yrs⁉️‼️
Age is just a number!! Kuna wazee wenye miaka mingi [ Warren Baffet] ni mfano wenye akili timamu kuliko vijana wenye umri mdogo!! Hata bungeni huoni kuwa michango ya Wabunge wenye makamo ni bora kuliko hao unaowaita vijana. How you live your life determines whether you will age gracefully or not!
 
Tatizo hapo ni ukosefu wa mpangilio wako wa mawazo,umerundika tu maneno ka kifusi ! Try to portray the gist ili msomaji asitoke amevurugwa
Kama akili yako ni ya Shule ya kayumba lazıma utachanganyikiwa na kuona maneno yamerundikwa kama kifusi. Wenye akili mbona wameelewa na kucomment! Sina msaada juu yako.
 
Namsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kunteua Balozi Libarata Mulamula si kwasababu ni mwanamke la hasha , namsifia kwasababu ya kutambua umuhimu wa uzoefu katika kutenda kazi.

Huko nyuma hili halikuwa linatiliwa maanani kwani watu waliostaafu tulikuwa tunaona hawana mchango tena wa kulitumikia Taifa na ndio maana hazina ya watu wabobezi katika nyanja mbalimbali hatuwatumii ipasavyo kwasababu tu wamestaafu.

Wako wengi, lakini hazina moja ambayo nadhani inaweza kuwa msaada sana kwenye awamu hii ni mchumi mmoja mahiri ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu Mipango, Katibu Mkuu Mawasiliano na uchukuzi, Naibu GAVANA wa benki kuu, Deputy Secretary General wa East African Community.

Mtu mwenye CV nzito kama hii hatuwezi kumuacha aende kufuga kuku wakati uzoefu wake ungetusaidia katika maendeleo yetu.

Alitumikia enzi ya Rais Kikwete na dio wakati huo uchumi wetu ulishamili.

Nchi za wenzetu walioendelea wanawatumia sana watu waliostaafu kwenye nafasi nyingi nyeti hasa kwenye taasisi za fedha kwani kule hakuhitaji ubabaishaji!
But JPM alimuondoa Kama Katibu mkuu foreign, sasa amerudi Kama waziri, I really don’t get it. She wasn’t even living in Tanzania. Was she not teaching in America?
 
But JPM alimuondoa Kama Katibu mkuu foreign, sasa amerudi Kama waziri, I really don’t get it. She wasn’t even living in Tanzania. Was she not teaching in America?
SO WHAT? Kufanya kazi nje hakumuondolei UTANZANIA WAKE!!! She was in line to get a very senior appointment with the African Union when this appointment was announced!! Huyo mama sio mwenzenu nyie MATAGA!! Tatizo lenu kubwa ni kuishi kwa fitina na majungu.!!!
 
Vipi kuhusu succession plan

Nchi gani ulisikia kuna succession plan ya GAVANA wa central bank? A governor of the central bank is picked from a pool of existing qualified professionals!!! Unakuwa na succession plan ya nani atakuwa WAZIRI WA MAMBO YA NJE? Tamaa yenu ya vyeo itawafikisha pabaya!
 
Back
Top Bottom