MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
"Wizara ya kilimo kuna shida, Mkulima anazalisha mazao yake hana kwa kuuza, Nendeni watafutieni masoko Nje na mkipata masoko ya mazao msiwapangie WAKULIMA waacheni wakauze wenyewe"
Hakuna mfumuko wa bei mkuu Huyo Majaliwa aliwai kutangaza soko la mhogo china ambalo hatuliwezi, matokeo yake kilichotokea unajua mwenyeweNice move, ila tujiandae kwa mfumuko wa bei kwenye mazo mbalimbali kwa sisi walaji wa ndani.
Mkuu....una uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja with data...Sijasahau ID yako toka kwenye uzi wa Mugalu...Big up kiongozi...Mi shabiki wa coments zako sana.Safi Sana,
wakulima wa mbaazi, korosho, ufuta na mahindi wanaumia Sana kwa kukosa masoko.
Magu aliwaambia mkalime na nyieNice move, ila tujiandae kwa mfumuko wa bei kwenye mazo mbalimbali kwa sisi walaji wa ndani.