K. Bazil aliwahi kuimba wimbo wa riziki, nadhani alimlenga Mbwana Samatta na yule Majaliwa wa Precission Air Bukoba. Hawa watu wamepata sifa na utukufu wa bure.
Samatta hajui mpira, kiwango chake ni cha kawaida mno, ni maajabu Samatta kupata dili kucheza Ulaya.
Samata anazidiwa na Mayele kwa...