Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Wote ni washambuliaji wa mwisho, Samatta alikuwa mmaliziaji zaidi wakati Mayelle anatengeneza nafasi pia anamalizia, lakini pia ana spidi na anaweza kufunga goli katika angle ngumu, akienda Ulaya atafanya vizuri zaidi.
Naona kama Mayelle ni zaidi, ni mtazamo tu lakini sio vita.