Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,285
Japo Kibu hana akili ya mpira lakini anakupatia kitu kinaitwa work rate. Yaani akiwepo uwanjani anakuwa na pilikapilika nyingi ambazo zinaweza kuleta matokeo chanya.
Huyu Samatta ameshapitwa na wakati.. hana chochote anachoiongezea timu awapo uwanjani.. Kibu anaweza kufanya link ya viungo wakabaji na washambuliaji.. kitu ambacho kinakosekana kabisa pale stars.
Huyu Samatta ameshapitwa na wakati.. hana chochote anachoiongezea timu awapo uwanjani.. Kibu anaweza kufanya link ya viungo wakabaji na washambuliaji.. kitu ambacho kinakosekana kabisa pale stars.