A salute is a gesture or other action used to display respect. When saluting a person, as distinct from a flag or a National Anthem or other symbolic melody, the gaze must be towards that person, also when returning a salute. Thus, the respectable salute includes a greeting. Not looking at the person, as with most gestured greetings, is likely to be interpreted as disrespectful or an eye deficiency. Salutes are primarily associated with armed forces and law enforcement, but other organizations, such as girl guides, and boy scouts and other civilians also use salutes.
WanaJf,
SALAAM!
Ukiona CDM, ACT, NCCR, NLD nk hawaandiki maneno ya kukosoa mwenezi Taifa ina maana aliyepo anawapa usingizi.
Kama ilivyokuwa kwa Nape, na Polepole enzi zao nafasi ya Itikadi na Uenezi ilikifanya CCM tujisikie raha sana. Kwa hiyo ktk kipindi hiki ambacho vyama vya upinzani...
Nakumbuka nilipoiandika ile Mada ( nilipouanzisha ule Uzi ) kama kawaida GENTAMYCINE nilishambuliwa ila kama Kawaida yangu niliendelea Kujiamini huku nikiwa na uhakika tena wa 100% kuwa Mchezaji Ceaser Lobi Manzoki haji ng'o Simba SC na kwamba Uongozi wa Simba SC unawafanyeni Mazuzu na...
01' Kipute kinapulizwa uwanja wa Benjamin Mkapa.
01' Simba wanakuwa wakwanza kulifikia lango la Yanga, pasi ya mwisho inakosa tija.
03' Simba wanapata faida ya faul ya kwanza baada ya Okrah kuangushwa.
04' Onyango anashindwa kuufikia mkwaju wa adhabu ndogo kutoka kwa Chama.
06' Simba...
baadhi yetu tulikuwa na matumaini makubwa juu ya video hii kuleta tikisiko na tetemeko huko youtube ila naona masaa 6 yamepita sasa videi haipi hata kumi bora huko youtube.
upande wa simba yule anaembiwa atulize mzuka ili na wengine wapate ahueni mbugani naona simba amekataa ushauri, video tatu...
Hawa wasanii naona hawapo serious.
Diamond ametoa wombo wake wa dakika 2 haraka haraka ova alikua hajajiandaa wakati alikua kimya kwa zaidi ya miezi 6.
Huyu Alikiba nae Salute atleast audio inasikilizika na ndefu kidogo dakika 4 ila video haileti maana kabisa. Very bad acting. Iko cheap...
Habari, Juzi Mh. Rais, Mh. Samia Suluhu Hassan ameteua wakuu wa mikoa wa mikoa yote ya Tanzania bara na miongoni ya walioteuliwa ni aliyekuwa mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja General Charles Mbuge kuwa mkuu wa Mkoa wa Kagera akichukua nafasi ya Brigedia Generali Marco Kaguti ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.