Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,391
- 1,258
WanaJf,
SALAAM!
Ukiona CDM, ACT, NCCR, NLD nk hawaandiki maneno ya kukosoa mwenezi Taifa ina maana aliyepo anawapa usingizi.
Kama ilivyokuwa kwa Nape, na Polepole enzi zao nafasi ya Itikadi na Uenezi ilikifanya CCM tujisikie raha sana. Kwa hiyo ktk kipindi hiki ambacho vyama vya upinzani vimeamka toka usingizini - nashauri tumpate kijana machachari anayeweza kuendana na upepo wa sasa.
Aidha, sisi tunatoa ushauri huu kwa mapenzi ya dhati tuliyonayo kwa CCM. Lkn pia ifahamike kuwa aliyepo si mtu mbaya ila speed zake haziendani na CDM, CUF, ACT nk. Lkn pia Rais wetu ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa aweza kuteua kijana yeyote amwonaye anafaa.
===================
Nyongeza:-
Mbali na
(a). Kheri James wengine ni
(b). Jesca Musambachavangu
(c). Christopher - Mwenezi (W) Kakonko
(d). Hamphrey Polepole.
Note
Kazi ya uenezi huhitaji MTU ambaye mishipa ya aibu ilishakatika. Asiyeweza waonea haya CDM, ACT, CUF, NCCR nk
Msakila Kabende
Mchumi Mbobezi
Bukoba / Kakonko.
SALAAM!
Ukiona CDM, ACT, NCCR, NLD nk hawaandiki maneno ya kukosoa mwenezi Taifa ina maana aliyepo anawapa usingizi.
Kama ilivyokuwa kwa Nape, na Polepole enzi zao nafasi ya Itikadi na Uenezi ilikifanya CCM tujisikie raha sana. Kwa hiyo ktk kipindi hiki ambacho vyama vya upinzani vimeamka toka usingizini - nashauri tumpate kijana machachari anayeweza kuendana na upepo wa sasa.
Aidha, sisi tunatoa ushauri huu kwa mapenzi ya dhati tuliyonayo kwa CCM. Lkn pia ifahamike kuwa aliyepo si mtu mbaya ila speed zake haziendani na CDM, CUF, ACT nk. Lkn pia Rais wetu ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa aweza kuteua kijana yeyote amwonaye anafaa.
===================
Nyongeza:-
Mbali na
(a). Kheri James wengine ni
(b). Jesca Musambachavangu
(c). Christopher - Mwenezi (W) Kakonko
(d). Hamphrey Polepole.
Note
Kazi ya uenezi huhitaji MTU ambaye mishipa ya aibu ilishakatika. Asiyeweza waonea haya CDM, ACT, CUF, NCCR nk
Msakila Kabende
Mchumi Mbobezi
Bukoba / Kakonko.