Wakuu Sh 6M mwenye Crown royal saloon

Wakuu Sh 6M mwenye Crown royal saloon

Wakuu habari zenu. Nina sh 6m naulizia mwenye Toyota crown royal saloon anauza ameichoka aweke picha na namba ya simu tufanye biashara

Au kama hata mwenye Mark X aweke namba

Asante

Kwa hiyo hela, utauziwa limeshalegea linabugia wese balaaa!!!

Nenda Masasi Mtwara kuna jamaa kaipaki inatumia wese kama Yutong D15, full tank Lindi haitoboi anajaza mara mbili!!
 
Wakuu habari zenu. Nina sh 6m naulizia mwenye Toyota crown royal saloon anauza ameichoka aweke picha na namba ya simu tufanye biashara

Au kama hata mwenye Mark X aweke namba

Asante
Chukua altezza
0712 148001 WhatsApp
IMG-20250310-WA0028.jpg
IMG-20250310-WA0027.jpg
IMG-20250310-WA0029.jpg
IMG-20250310-WA0026.jpg
IMG-20250310-WA0025.jpg
IMG-20250310-WA0025.jpg
IMG-20250310-WA0024.jpg
IMG-20250310-WA0024.jpg
 
Wasikutishe kwa gari jamii unayotaka unalipata tena likiwa kwenye hali nzuri. Ila naimani ulimaanisha athlete na sio royal.
 
Back
Top Bottom