Katika kujenga nchi ki uchumi na kijamii na hasa nidhamu katika utumishi wa umma, tulipokuwa tumefika, hakukuwa na namna nyingine ya kufanya mbali na kutanguliza buldoza. Na ndivyo inavyokuwa katika kujenga miundombinu kama barabara n.k. Buldoza kwanza, halafu mitambo mingine kama grader...