Unafikiri huyu binti atakuwa na mapenzi ya dhati kwa mwanaume.Hasara ni kwamba wasipokuwa wavumilifu kila mtu anaweza tafuta wa rika lake.
Lakini 46 kwa baadhi ya watu bado kijana
Bila mali msichana hawezi kukaa na huyo mwanaume ndio maana yake au
Ndio wameridhia ila hii gepu unaionaje ni kubwa kupita kiasi auSwala yupo over 18 anauamuzi muolewaji !!! Kama wameridhia poa tu
Ndo ivyo , muhimu ni kupiga na kumpa Ela.Bila mali msichana hawezi kukaa na huyo mwanaume ndio maana yake au
ok usipompa hela atatafuta kwingine
Wanawake huwa wanajifunza kupenda. Anaweza akampenda bila wasi... Kikubwa ni huyo baba kujua majukumu yake na kujua kuwa anaoa mtotounafikiri huyu binti atakuwa na mapenzi ya dhati kwa mwanaume
Hapa mbunge mteule alikuwa mbali sana yule alikuwa around 60 msichana kama 25Cc. mbunge mteule Ndugu J.Kapu..
binafsi nina 26We una mingapi kwani?
btw,Hapa mbunge mteule alikuwa mbali sana yule alikuwa around 60 msichana kama 25
Mtoto tena wakati 23 ni gubeliWanawake huwa wanajifunza kupenda. Anaweza akampenda bila wasi... Kikubwa ni huyo baba kujua majukumu yake na kujua kuwa anaoa mtoto
umri upi wa mwanume ungemfaa huyu binti aolewe naye, yani mwanaume angefaa kuwa na maximum ngap ili ikae sawabtw,
Ndoa kwa maoni yangu mimi haigusi umri la msingi wameamua wawili, na wazazi/walezi wa pande mbili wamekubaliana basi hakuna shida.
Narudi pale pale. Hakuna umri maalumu . Cha msingi ni makubaliano kati ya mume na mkeumri upi wa mwanume ungemfaa huyu binti aolewe naye, yani mwanaume angefaa kuwa na maximum ngap ili ikae sawa