rwanda

Rwanda ( (listen); Kinyarwanda: u Rwanda [u.ɾɡwaː.nda] (listen)), officially the Republic of Rwanda (Kinyarwanda: Repubulika y'u Rwanda; Swahili: Jamhuri ya Rwanda; French: République du Rwanda), is a country in Central Africa and one of the smallest countries on the African mainland. Located a few degrees south of the Equator, Rwanda is bordered by Uganda, Tanzania, Burundi, and the Democratic Republic of the Congo. Rwanda is in the African Great Lakes region and is highly elevated; its geography is dominated by mountains in the west and savanna to the east, with numerous lakes throughout the country. The climate is temperate to subtropical, with two rainy seasons and two dry seasons each year.
The population is young and predominantly rural, with a density among the highest in Africa. Rwandans are drawn from just one cultural and linguistic group, the Banyarwanda, although within this group there are three subgroups: the Hutu, Tutsi and Twa. The Twa are a forest-dwelling pygmy people and are often considered descendants of Rwanda's earliest inhabitants. Scholars disagree on the origins of and differences between the Hutu and Tutsi; some believe differences are derived from former social castes within a single people, while others believe the Hutu and Tutsi arrived in the country separately, and from different locations. Christianity is the largest religion in the country; the principal language is Kinyarwanda, spoken by most Rwandans, with English and French serving as additional official languages. The sovereign state of Rwanda has a presidential system of government. The president is Paul Kagame of the Rwandan Patriotic Front (RPF), who has served continously since 2000. Today, Rwanda has low levels of corruption compared with neighbouring countries, although human rights organisations report suppression of opposition groups, intimidation and restrictions on freedom of speech. The country has been governed by a strict administrative hierarchy since precolonial times; there are five provinces delineated by borders drawn in 2006. Rwanda is one of only two countries in the world with a female majority in the national parliament, the other country being Bolivia.
Hunter-gatherers settled the territory in the stone and iron ages followed later by Bantu peoples. The population coalesced first into clans and then into kingdoms. The Kingdom of Rwanda dominated from the mid-eighteenth century, with the Tutsi kings conquering others militarily, centralising power and later enacting anti-Hutu policies. Germany colonised Rwanda in 1884 as part of German East Africa, followed by Belgium, which invaded in 1916 during World War I. Both European nations ruled through the kings and perpetuated a pro-Tutsi policy. The Hutu population revolted in 1959. They massacred numerous Tutsi and ultimately established an independent, Hutu-dominated republic in 1962. A 1973 military coup saw a change of leadership, but the pro-Hutu policy remained. The Tutsi-led Rwandan Patriotic Front launched a civil war in 1990. The presidents of Rwanda and Burundi, both Hutus, were killed when their aircraft was shot down on 6 April 1994. Social tensions erupted in the 1994 genocide that followed, in which Hutu extremists killed an estimated 500,000-1,000,000 Tutsi and moderate Hutu. The RPF ended the genocide with a military victory.
Rwanda's developing economy suffered heavily in wake of the 1994 genocide, but has since strengthened. The economy is based mostly on subsistence agriculture. Coffee and tea are the major cash crops for export. Tourism is a fast-growing sector and is now the country's leading foreign exchange earner. Rwanda is one of only two countries in which mountain gorillas can be visited safely, and visitors pay high prices for gorilla tracking permits. Music and dance are an integral part of Rwandan culture, particularly drums and the highly choreographed intore dance. Traditional arts and crafts are produced throughout the country, including imigongo, a unique cow dung art.
Rwanda has been governed as a unitary presidential system with a bicameral parliament ruled by Rwandan Patriotic Front since 1994. The country is member of the African Union, the United Nations, the Commonwealth of Nations, COMESA, OIF and the East African Community.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Walinzi wa Kenya na Rwanda watifuana kwenye mazishi ya Rais Moi

    Wadau wa maswala ya intelijensia hii kitu imekaaje? Hakukuwa na coordination kati yao? ========== Rwandan President Paul Kagame’s arrival at the Nyayo Stadium to attend the national prayer service for the late former President Daniel Moi was marked with chaos. A video posted by the Daily...
  2. J

    Serukamba: Serikali iige Rwanda ambako raia wote wana Bima ya afya na wale "wanyonge" wanakatiwa bima na Serikali

    Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya Huduma za jamii ameitaka serikali kwenda kujifunza Rwanda ambako raia wote wa nchi hiyo wana Bima za afya. Serukamba amedai wananchi wanyonge wa Rwanda ambao ni kama 4% ya wananchi wote wanalipiwa bima zao na serikali. Serukamba amesema hayo wakati akifunga...
  3. Miss Zomboko

    Rwanda yasema itafungua mpaka wake na Uganda pale itakapojisikia kufanya hivyo na wala sio kwa kushurutishwa na watu wala nchi yoyote

    Rais wa Rwanda Paul Kagame, alisema Jumatano kwamba serikali yake itafungua mpaka na Uganda wakati itajihisi kufanya hivyo akisisitiza kwamba hakuna mtu wala nchi yoyote itamshurutisha kufanya hivyo. Akihutubia mabalozi katika mkutano wa kila mwaka na waakilishi wa nchi za nje pamoja na...
  4. Analogia Malenga

    Rwanda yadaiwa kuwafunga na kuwatesa watoto wa mitaani

    Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limesema Rwanda inataka kuhalalisha mchakato unaoonekana kuwa wa maonevu wa kuwakamata na kuwafungia watoto wa mitaani kwa kisingizio cha kuwabadilisha tabia. Kulingana na Lewis Mudge mkurugenzi wa shirika hilo upande wa Afrika ya...
  5. F

    Rwanda yakana mpango wake wa siri wa kuigawa Congo DRC kwa kunyakua eneo la Mashariki

    Habari JF. Waziri mkuu wa zamani wa Congo Matata Mponyo na kiongozi moja wa kanisa, wamedai kwa nyakati tofauti kuwa Rais Kagame anataka kuipanua Rwanda. Mpango huo wa Kagame ni kushinikiza utawala wa majimbo nchini Congo na baadae kuliingilia jimbo moja kwa kuliomba kupiga kura ya kujitenga na...
  6. Coza Mhando

    Mwanahabari Kabendera Shinani aliyejiua kwa kujitosa ziwa Victoria, Bukoba

    Salam wanaJF. Naomba kujuzwa na mwenye taarifa za mwanahabari huyu na anashughulika na nini sasa, nawaclisha waheshimiwa.
  7. Suley2019

    Uganda, Rwanda officials meet in Kampala over border tension

    A meeting between Uganda and Rwanda that should have taken place on October 17 as a follow up to the September 16 one in Kigali to ease tension between the neighbouring countries is scheduled to take place today. “Uganda and Rwanda will tomorrow (Friday) hold a follow-up meeting at Speke Resort...
  8. N

    Sera ya Nyumba 300 Rwanda

    Wakati Tanzania tukivutana Rwanda wameamua kitekeleza Kwa Asilimia 💯 maisha ni miji na Siasa ni miji
  9. Analogia Malenga

    Rwanda yaanza kampeni ya kutoa chanjo dhidi ya Ebola

    Serikali ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo zimezindua kampeni ya pamoja ya kutoa chanjo ya homa ya Ebola. Chanjo hiyo ilianza kutolewa jana mjini Rubavu nchini Rwanda. Hayo yanajiri wakati ambapo shirika la madaktari wasio na mpaka wiki iliyopita likitangaza kuondoka kwenye jimbo la...
  10. S

    Hivi TCRA wanaweza kutupa sababu za msingi kwa nini bei ya internet Tanzania ni zaidi ya mara kumi ya bei ya internet Rwanda?

    Bei za internet ya wastani kwa Tanzania na baadhi ya nchi zinazotuzunguka ni kama ifuatavyo: Source: Worldwide mobile data pricing: The cost of 1GB of mobile data in 230 countries Reference: Worldwide Mobile Data Pricing League | Cost of 1GB in 230 countries - Cable.co.uk Hivi TCRA wanaweza...
  11. beth

    Mzozo wa mpakani kati ya Rwanda na Uganda wazidi kufukuta

    Wananchi wa Rwanda kwenye mpaka wa Gatuna wanasema kwamba mikakati hiyo ni pamoja na kuwapiga risasi wanaojaribu kuvuka na kujihusisha na biashara haramu (LUKE DRAY) Uhusiano baina ya Rwanda na Uganda unaendelea kuwa mbaya huku upande wa Rwanda katika maeneo ya mpakani na Uganda mikakati ya...
  12. K

    Wanyama Waliopelekwa Burigi Chato Wahamia Akagera National Park Rwanda

    Wanyama waliohamishwa kutoka mbuga mbalimbali za wanyama, ikiwemo serengeti, mikumi, ruaha, Ngorongoro ambao walibebwa na magari makubwa hapo juu na kupelekwa hifadhi mpya ya Burigi Chato wamehama hifadhi hiyo na kuhamia hifadhi ya Akagera National Park ya Rwanda.
  13. Nyendo

    Kiongozi wa upinzani azuiwa kuondoka Rwanda

    Kiongozi wa Upinzani nchini Rwanda Victoire Ingabire amezuiwa kutoka nchini Rwanda kupokea tuzo ya haki za binadamu. Bi Victoire Ingabire kiongozi wa upinzani nchini Rwanda alitunukiwa tuzo ya mtetezi wa haki za binadamu iliyotolewa na Shirika la haki za binadamu la Uhispania, lakini hakupewa...
  14. FRANC THE GREAT

    DRC: Jeshi latangaza kulitimua kundi la waasi kutoka Rwanda

    Jeshi la DRC latangaza kulitimua kundi la waasi kutoka Rwanda Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza kulitimua kundi wa waasi wa Kihutu kutoka Rwanda kutoka katika ngome yake mashariki mwa nchi, wiki chache baada ya kumuuwa kiongozi wake. Msemaji wa jeshi hilo Dieudonne...
  15. FRANC THE GREAT

    Uganda na Rwanda zinaongoza Afrika Mashariki katika Teknolojia ya Magari ya Umeme

    Habari! Uganda na Rwanda ziko mbioni zaidi ya mataifa mengine ya Afrika Mashariki katika mabadiliko ya kiteknolojia kuelekea magari yatumiayo nishati ya umeme ingawa mapungufu ya miundombinu yanazuia uwekezaji katika sekta hiyo inayoibukia. Mataifa hayo mawili tayari yamezindua viwanda maalumu...
  16. Zitto

    Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

    Nasubiri Bandari Kubwa ya Lamu izuie Bandari Ndogo za Dar na Mombasa: Namna Maarifa Madogo Yanavyoiua Bandari ya Bagamoyo na Kuifaidisha Kenya Kumekuwa na mijadala mikali kuhusu Mradi wa Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo. Mjadala huo wenye malumbano ya kurushiana shutuma umekuwa mjadala mbovu sana...
  17. mng'ato

    Louis Baziga, Rwandan businessman gunned down in Mozambique

    Louis Baziga, who has been the head of the Rwandan community in Mozambique was murdered Monday morning by a group of unidentified gunmen. Baziga was reportedly killed in his car at around 11 am in Matola area in the Mozambican capital Maputo. Matola is the largest suburb of Maputo and it is...
  18. Habibu B. Anga

    Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

    Historia ya Kweli ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda KILIO CHA MIFEREJI YA DAMU IENDAYO ETHIOPIA Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
  19. KING COBRA

    Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

    Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!! Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa...
Back
Top Bottom