Sielewi ni kwanini Rwanda nchi ndogo ichukue wakimbizi kutoka UK

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,918
31,160
Heshima sana wanajamvi,

Rwanda imeingia mkataba wa kuwachukua wakimbizi waliokimbilia UK kutafuta fursa mbali mbali za kiuchumi na wengine wakikimbia vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Rwanda ni nchi ndogo sana kwa maana ya eneo huku ikiwa na idadi kubwa sana ya watu.Rwanda ni nchi ya tano kwa msongamano wa watu duniani.

Hifadhi ya Nyerere National Park yenye ukubwa 30,000 sq ni kubwa kuliko nchi ya Rwanda yenye eneo la ukubwa 26,338 sq na idadi ya wa 12.7 million.

Utashangaa nchi ndogo tena yenye msongamano mkubwa na resource chache eti inakubali kupokea wakimbizi kutoka UK?

Raia wa Rwanda hawana sehemu ya kupumua ndio maana kila siku wanaanzisha vita na Congo DRC wakitaka kuimega hasa Kivu ya Kaskazini hapo hapo wanajitia kiherehere cha kuchukua watu waliofurushwa huko UK.

Ukijaribu kufikiri kidogo utabaini Rwanda inataka kutumia fursa zilizopo Jumuiya ya Afrika Mashariki ya (free movement of people) katika EAC kuhamishia matatizo katika nchi wanachama.Ni bahati mbaya sana secretary ya EAC ipo kimya kuhusu suala hili.

Rwanda lazima izuiwe isijifanyie mambo ya kipuuzi ambayo yanweza kuleta matatizo makubwa siku za baadae. Ikiwezekana Rwanda ifurushwe mara moja kwakuwa imekuwa nchi inayoleta matatizo ikiwemo kuvamia nchi ya Congo na kuhifadhi waasi.
 
Mkuu hii EAC naiona kama club ya kutuongezea matatizo tuliyonayo.Ebu fikiria wakimbizi wa Afrighanistan ambao wana uzoefu wa vita wakifurushwa UK wanatua Rwanda watafanya nini zaidi ya ujambazi/ujangili katika eneo lote la maziwa makuu.

Rwanda kama nchi tayari ni tatizo.
So, nani anataka awatumie pale DRC ili waendeleze zile harakati zao za kupoka na kupakia madini?
 
Mnataka kuivuruga Rwanda kama Tanganyika ilivyoivamia na kuitawala Zanzibar? Hamuwezi. Rwanda ni tofauti na Zanzibar. Zanzibar ilikuwa haina jeshi enzi zile lakini Rwanda leo wana jeshi mkijaribu upuuzi wenu watawatoboa macho.
 
Maamuzi ya dunia hii hufanywa na dola kubwa duniani, historia inatuambia :

WAKIMBIZI TOKA ULAYA WATUA TANGANYIKA

WWII Wakimbizi wa Poland wakiwa Tanzania, Historia inajirudia 1939 -1945

When the Polish were refugees in Africa
03.06.2019

48993144_101.jpg

Thousands of Europeans sought sanctuary in Africa during World War II — among them were many Polish people. A Canadian filmmaker explores the journey of his Polish forefathers in a documentary.

When Canadian Jonathan Durand traveled to Africa for the first time as a 20-year-old, he experienced a strange sense of being at home, an odd feeling for a young white man.

It took a while for Durand to understand why Africa seemed so familiar to him.

During and after World War II, his Polish grandmother Kazia Gerech had lived in a refugee camp in what is present-day Tanzania — the stories of her childhood near the foot of Mount Kilimanjaro had burned into his soul.

"When your Polish grandmother says that she has gone on safari on Africa's highest mountain, that inspires a child's imagination," he told DW.

As a history student, he was surprised about the lack of information about Poles seeking sanctuary in Africa — his professor had never heard of Polish refugee camps on the continent.

"That's when I started my research," recalls Durand.

His grandmother's testimonies about her life in the small town of Tengeru in northern Tanzania motivated the filmmaker to embark on an emotionally charged nine-year journey that took him to Eastern Europe, the Middle East, and Africa.

The resulting film, "Memory is our Homeland," won the Audience Award at the Montreal International Film Festival in 2019.

'Friendly co-existence'

48993158_102.jpg


Kazia Gerech (standing in the doorway) in front of the hut where her family lived in Tanzania in 1946.
From 1942 to 1949, Gerech lived with her siblings and parents in a simple thatched hut in Tengeru in what was then the British-administered territory of Tanganyika (now Tanzania).

During his travels to the former Polish refugee camps in South Africa, Tanzania and Zambia, Durand said that local people "had good memories of the Poles," who farmed and sent their children to school.

"It was often their first contact with whites," he told DW.

The Polish refugees also have a positive memory of the locals, says Durand. "They were young, and these intercultural encounters have shaped their humanity."

Migration expert Julia Devlin agrees with Durand's findings. "It was a friendly existence, side by side," she told DW. Locals from Tengeru and the Poles even sometimes celebrated mass together, said Devlin, the head of the Center for Flight and Migration at Germany's Catholic University of Eichstätt-Ingolstadt.

From Poland, over Russia and Iran, to Africa

The Polish migration to Africa has its roots in an event from August 1939. That was when Adolf Hitler and Joseph Stalin signed a non-aggression pact that divided several eastern European countries, including Poland, into German and Soviet spheres of interest.

48993128_101.jpg


Although exact figures are difficult to come by, it's thought at least 19,000 Polish refugees, including many children, spent WWII in Africa.
With a few days, Germany invaded Poland, triggering World War II.

Within a few weeks, the Soviets invaded Poland from the east. Like the Nazis in the west of the country, the Soviet Union began to carry out ethnic cleansing. They deported hundreds of thousands of Poles, including many Jews, in four waves to forced labor camps in remote Russian regions such as Siberia and Kazakhstan.

In 1941, the tables were turned when Germany invaded the Soviet Union, forcing Russia to join the Allies.

It triggered an amnesty for the Poles in the USSR. Unable to return to war-torn Poland, some 116,000 Poles living in the Soviet Union were evacuated to Iran, which had been invaded by the Anglo-Soviet alliance.

But Iran proved unable to care for such large numbers of refugees, causing the British government to move Polish civilians to other British colonies.

It was by this circuitous route that the Polish deportees arrived in Tanzania, South Africa, Zimbabwe and other parts of British Africa to see out the rest of WWII.

Finding his grandmother as a young girl

After the end of WWII in September 1945, the African host countries pushed to get rid of the Polish refugees.

48993114_101.jpg


Polish cemetery in Tanzania
"African countries were on their way to independence and didn't want reminders of colonial rule," said Devlin.

But Poles were reluctant to return to their homeland, which was under staunch Soviet control. Eventually, they migrated mostly to Australia, Canada, and Great Britain.

Durand's grandmother made it to England in 1949. There she met her husband, a Pole and a survivor of the Majdanek concentration camp. Together, they immigrated to Canada.

Of all the research Durand undertook, one discovery made a great impression.

At the Polish Institute in London, he found the only existing film footage from the Tanzanian refugee camp where his grandmother had lived.

"I recognized the hospital and a group of young girls walking toward the camera. On the left, smiling and with her arms crossed — that was my grandmother," says Durand. He still gets goose bumps when he looks at the footage today.

Martina Schwikowski

Memories of WWII refugees live on in Tanzania
Memories of WWII refugees live on in Tanzania ARUSHA – On the fringes of a small Tanzanian village called Tengeru lie buried 150 Polish war refugees of more than 5,000 who made it to Tanganyika, who did their best to make a life there. The Third Reich invaded Polish territory on September 1, 1939 without declaration. It was the beginning Kwanini Tanzania hatuna majengo ya kifahari, minara, na makumbusho zinazotambulika duniani? - JamiiForums
 
NCHI ZENYE UBAVU NDIYO ZINAFANYA MAAMUZI

12.09.2019

Makaburi ya wakimbizi wa Poland nchini Tanzania



Katika eneo la Tengeru mkoani Arusha kuna eneo la kitalii ambalo limetunza historia na kumbukumbu ya maisha ya raia wa Poland waliokwenda katika eneo hilo kama wakimbizi wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.

Mwandishi wetu wa Arusha, Veronica Natalis amelitembelea eneo hilo na ametuandalia video hii fupi. Kurunzi 12.09.2019
Source : DW Swahili
 
Mkuu hii EAC naiona kama club ya kutuongezea matatizo tuliyonayo.Ebu fikiria wakimbizi wa Afrighanistan ambao wana uzoefu wa vita wakifurushwa UK wanatua Rwanda watafanya nini zaidi ya ujambazi/ujangili katika eneo lote la maziwa makuu.

Rwanda kama nchi tayari ni tatizo.
Aisee hii kweli
Mtu anatoka taliban alaf rwanda mzungu ana jambo lake miaka kadhaa mbele uko
 
Maamuzi ya dunia hii hufanywa na dola kubwa duniani, historia inatuambia :

WAKIMBIZI TOKA ULAYA WATUA TANGANYIKA

WWII Wakimbizi wa Poland wakiwa Tanzania, Historia inajirudia 1939 -1945

When the Polish were refugees in Africa
03.06.2019
48993144_101.jpg


Thousands of Europeans sought sanctuary in Africa during World War II — among them were many Polish people. A Canadian filmmaker explores the journey of his Polish forefathers in a documentary.
When Canadian Jonathan Durand traveled to Africa for the first time as a 20-year-old, he experienced a strange sense of being at home, an odd feeling for a young white man.

It took a while for Durand to understand why Africa seemed so familiar to him.

During and after World War II, his Polish grandmother Kazia Gerech had lived in a refugee camp in what is present-day Tanzania — the stories of her childhood near the foot of Mount Kilimanjaro had burned into his soul.

"When your Polish grandmother says that she has gone on safari on Africa's highest mountain, that inspires a child's imagination," he told DW.

As a history student, he was surprised about the lack of information about Poles seeking sanctuary in Africa — his professor had never heard of Polish refugee camps on the continent.

"That's when I started my research," recalls Durand.

His grandmother's testimonies about her life in the small town of Tengeru in northern Tanzania motivated the filmmaker to embark on an emotionally charged nine-year journey that took him to Eastern Europe, the Middle East, and Africa.

The resulting film, "Memory is our Homeland," won the Audience Award at the Montreal International Film Festival in 2019.

'Friendly co-existence'

48993158_102.jpg


Kazia Gerech (standing in the doorway) in front of the hut where her family lived in Tanzania in 1946.
From 1942 to 1949, Gerech lived with her siblings and parents in a simple thatched hut in Tengeru in what was then the British-administered territory of Tanganyika (now Tanzania).

During his travels to the former Polish refugee camps in South Africa, Tanzania and Zambia, Durand said that local people "had good memories of the Poles," who farmed and sent their children to school.

"It was often their first contact with whites," he told DW.

The Polish refugees also have a positive memory of the locals, says Durand. "They were young, and these intercultural encounters have shaped their humanity."

Migration expert Julia Devlin agrees with Durand's findings. "It was a friendly existence, side by side," she told DW. Locals from Tengeru and the Poles even sometimes celebrated mass together, said Devlin, the head of the Center for Flight and Migration at Germany's Catholic University of Eichstätt-Ingolstadt.

From Poland, over Russia and Iran, to Africa

The Polish migration to Africa has its roots in an event from August 1939. That was when Adolf Hitler and Joseph Stalin signed a non-aggression pact that divided several eastern European countries, including Poland, into German and Soviet spheres of interest.

48993128_101.jpg


Although exact figures are difficult to come by, it's thought at least 19,000 Polish refugees, including many children, spent WWII in Africa.
With a few days, Germany invaded Poland, triggering World War II.

Within a few weeks, the Soviets invaded Poland from the east. Like the Nazis in the west of the country, the Soviet Union began to carry out ethnic cleansing. They deported hundreds of thousands of Poles, including many Jews, in four waves to forced labor camps in remote Russian regions such as Siberia and Kazakhstan.

In 1941, the tables were turned when Germany invaded the Soviet Union, forcing Russia to join the Allies.

It triggered an amnesty for the Poles in the USSR. Unable to return to war-torn Poland, some 116,000 Poles living in the Soviet Union were evacuated to Iran, which had been invaded by the Anglo-Soviet alliance.

But Iran proved unable to care for such large numbers of refugees, causing the British government to move Polish civilians to other British colonies.

It was by this circuitous route that the Polish deportees arrived in Tanzania, South Africa, Zimbabwe and other parts of British Africa to see out the rest of WWII.

Finding his grandmother as a young girl

After the end of WWII in September 1945, the African host countries pushed to get rid of the Polish refugees.

48993114_101.jpg


Polish cemetery in Tanzania
"African countries were on their way to independence and didn't want reminders of colonial rule," said Devlin.

But Poles were reluctant to return to their homeland, which was under staunch Soviet control. Eventually, they migrated mostly to Australia, Canada, and Great Britain.

Durand's grandmother made it to England in 1949. There she met her husband, a Pole and a survivor of the Majdanek concentration camp. Together, they immigrated to Canada.

Of all the research Durand undertook, one discovery made a great impression.

At the Polish Institute in London, he found the only existing film footage from the Tanzanian refugee camp where his grandmother had lived.

"I recognized the hospital and a group of young girls walking toward the camera. On the left, smiling and with her arms crossed — that was my grandmother," says Durand. He still gets goose bumps when he looks at the footage today.

Martina Schwikowski

Memories of WWII refugees live on in Tanzania
Memories of WWII refugees live on in Tanzania ARUSHA – On the fringes of a small Tanzanian village called Tengeru lie buried 150 Polish war refugees of more than 5,000 who made it to Tanganyika, who did their best to make a life there. The Third Reich invaded Polish territory on September 1, 1939 without declaration. It was the beginning Kwanini Tanzania hatuna majengo ya kifahari, minara, na makumbusho zinazotambulika duniani? - JamiiForums

 
Siku ukienda UK kijingajinga ndio utajua Ni kwa nini wakimbizi wa uk huletwa Rwanda. Nikuibie tu, Rwanda Kuna gereza ambalo ukilifananisha na ukonga, ukonga itaonekana Kama ikulu.
 
Ukijaribu kufikiri kidogo utabaini Rwanda inataka kutumia fursa zilizopo Jumuiya ya Afrika Mashariki ya (free movement of people) katika EAC kuhamishia matatizo katika nchi wanachama.Ni bahati mbaya sana secretary ya EAC ipo kimya kuhusu suala hili.
Kumbe jibu unalo hapa mkuu, 'Ngongo'!

Kabla ya kusoma hilo jibu, mimi nilitaka kukuambia kuwa ni "biashara". Rwanda inafanya biashara ya wakimbizi.

Ukisikia enzi za utumwa, biashara ilikuwa ni ya kuuza binaadam, usidhani biashara hiyo hiyo itafanyika kwa njia zile zile za kizamani.

Lakini pia ni muhimu uondoe hilo wazo la kuiona Rwanda kuwa nchi ndogo.Rwanda katika akili zao ni nchi kubwa sana yenye eneo linaloingia Congo (DRC, Uganda na Tanzania. Kuna siku Rwanda atadai, kama Mrusi anavyodai na kuchukua hatua huko Ukraine, kuwaunganisha watu wake.

Usidhani hizi ni ndoto, hasa unaposikia na kuona Banyamlenge wanavyoisumbua DRC wakisimamiwa na Rwanda

Akilini mwa viongozi wa Rwanda, ni kuiona nchi yao kwa mfano wa Israel. Wanachofanya sasa hivi ni kupitia njia zilezile ilizopitia Israel na kufikia hapo ilipofikia leo kwa msaada wa wafanya biashara ya binaadam (mataifa hayo makubwa).
 
Kumbe jibu unalo hapa mkuu, 'Ngongo'!

Kabla ya kusoma hilo jibu, mimi nilitaka kukuambia kuwa ni "biashara". Rwanda inafanya biashara ya wakimbizi...
Ulichoandika hakieleweki labda urudie tena
 
Mnataka kuivuruga Rwanda kama Tanganyika ilivyoivamia na kuitawala Zanzibar? Hamuwezi. Rwanda ni tofauti na Zanzibar. Zanzibar ilikuwa haina jeshi enzi zile lakini Rwanda leo wana jeshi mkijaribu upuuzi wenu watawatoboa macho.
Ni wewe tutakayekuweka mbele utobolewe macho kwanza kabla yetu.
 
Hapo kageme lazima atapiga cha juu, then baadae wakimbizi wake wanaanza kusambaa kwenye nchi ambazo hazimo kwenye makubaliano. Kweli anataka kutufanyia biashara.

Hali yenyewe ya usalama huko Rwanda haijulikani itakuwaje baada ya kagame!

Kabla ya kusoma hilo jibu, mimi nilitaka kukuambia kuwa ni "biashara". Rwanda inafanya biashara ya wakimbizi.
 
Ulichoandika hakieleweki labda urudie tena
Nirudie lipi, la "Rwanda kufanya biashara ya wakimbizi"?

Hujui kuwa makubaliano ni kulipa $120 milioni kwa kundi hilo litakaloingia?

Au pengine hukuelewa hayo mengine niliyoandika hapo kwa maksudi tu ya kutotaka kuelewa. Mbona kila kitu kiko wazi!
 
As for JF for some of us it’s about oops you’re blocked for these reason’s.
Cha msingi uwezi kunitisha kwa sababu ya serikali ya jamuhuri ya muungano.

If you are gonna hack and whatever nonsense you see sio za mimi kunyofelewa kucha.

If anything wanaulizia naenda I am that good.

Tukipaka ni upuuzi wa kudhani kwa kuingilia nawasiliano yetu; you are going to impress anyone.

Si nimewapa na picha yangu, wanajua sina chama; you can never hurt
🖕🖕🖕🖕🖕🖕

Block this too I just wanted you to know; issue yangu ni kuingiliwa kwa mawasiliano na watu ambao najua hawana uwezo wa kutafsiri whatever they see.

https://jamii.app/JFUserGuide JF mods kuruhusu huo upuuzi.
 
NCHI ZENYE UBAVU NDIYO ZINAFANYA MAAMUZI...
Da , Bagamoyo nimekukubali!

Wewe ni mwanahistoria mkali sana, napenda sana historia , na kwa hapa, ndio wakati mwingine unaona umuhimu wa historia,.

Hongera sana, Huns blabla nyingi ni vitendo tu,
 
Back
Top Bottom