Leo Ronaldo ataishangaza dunia

Leo Ronaldo ataishangaza dunia

ukiangalia uwezo wake wa kufunga, lolote linaweza kutokea akipata nafasi.
Unadhani atafunga kwa vichwa, penati, au mashuti ya mbali?
Je, utabiri wako ni mabao mangapi hasa yatapenya wavuni leo?
Ikitokea amefunga basi goli moja
 
Ikitokea amefunga basi goli moja
mzee wangu inatakiwa kueleweka kuwa kila goli analofunga sasa hivi linazidi kurefusha rekodi yake kama mfungaji bora wa muda wote wa soka la kimataifa. Hata likiwa goli moja la "tap-in" au penati, ili mradi mpira umeingia wavuni na timu imeshinda, mashabiki wa CR7 watasherehekea sana leo Hapo mjini Houston
 
Leo Ronaldo atafunga mabao 5 peke yake
IMG_0648.jpeg
 
"Nchi kama Uzbekistan ambazo zina uwezo mdogo kisoka ndizo zilizomuinua Ronaldo kwenye anga la kimataifa" (timu ya taifa).

Eusobio de Silva Fereirra wa Ureno aliwahi kusema hayo mbele ya waandishi wa habari akilinganishwa na Ronaldo.

Eusobio ndiyo aliifikisha Ureno tatu bora kwenye fainali za Kombe la Dunia mwaka 1966, Ndiye aliyeitwaa golden boot ya mwaka huo kwa goli zake 9 alizofunga.
Na yeye ndiye Legend mwenye rekodi kubwa kwenye taifa hilo.

Anasema wakati wa uchezaji wake hakukuwa na timu kama Moldova, Belarus, Bosnia Herzegovina nk ambazo zina uwezo wa chini kisoka.
Ameendelea kusema, kungekwa na timu kama hizo wakati wa uchezaji wake angefunga magoli hata 2000.
 
mzee wangu inatakiwa kueleweka kuwa kila goli analofunga sasa hivi linazidi kurefusha rekodi yake kama mfungaji bora wa muda wote wa soka la kimataifa. Hata likiwa goli moja la "tap-in" au penati, ili mradi mpira umeingia wavuni na timu imeshinda, mashabiki wa CR7 watasherehekea sana leo Hapo mjini Houston
Umenena mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom