Jana wananchi wamefurahi,ubaya -ubwela wamefurahi na watanzania kwa ujumla wamefurahi -kazi iendelee...........
Hakika MAMA unalitendea haki soka la Tanzania.
HONGERA SANA MAMA.Tupo pamoja sana !
Kupitia "goli la mama" tumeona Simba na Yanga zikifika fainali za kombe la shirikisho barani...