1. Mtoto wa Raisi
Kuna tofauti kubwa sana ya kuoa mtoto wa Rais na mtoto ambaye mzazi wake amekuja kuwa Rais mbeleni (ni watu 2 tofauti)
2. Nchi tofauti.
Tofauti za kitamaduni,kimazingira na kimalezi.
Ni ngumu sana "Wazee wa kimila" kukupitisha kwenye "chujio la jadi" lakini jamaa amepenya.
3.Bilioni 7 Kwa mahali tu,vipi kuhusu matumizi ya kila siku ?
NB
Jamaa kutoka familia isiyo na mizizi ya kisiasa Tz nasema ameliwakilisha vyema TAIFA LA TANZANIA maana wanafiki hawakosekanagi 😂😁🤣 !!!
Kuna tofauti kubwa sana ya kuoa mtoto wa Rais na mtoto ambaye mzazi wake amekuja kuwa Rais mbeleni (ni watu 2 tofauti)
2. Nchi tofauti.
Tofauti za kitamaduni,kimazingira na kimalezi.
Ni ngumu sana "Wazee wa kimila" kukupitisha kwenye "chujio la jadi" lakini jamaa amepenya.
3.Bilioni 7 Kwa mahali tu,vipi kuhusu matumizi ya kila siku ?
NB
Jamaa kutoka familia isiyo na mizizi ya kisiasa Tz nasema ameliwakilisha vyema TAIFA LA TANZANIA maana wanafiki hawakosekanagi 😂😁🤣 !!!