Habar zenu wapendwa
Kuna kiela changu nimekipata Mahali nataka kununua ka plot Kwa ajili ya investment for my kids for their feture
Sasa kwenye mitandao naona Kuna Hawa real estate agents wengi Sana nashidwa kuelewa jinsi wanavyo fanya kazi na usahihi wao jinsi ya Kupata hati baada ya...
Bado serikali yetu jambo ambalo nafikiri linawasumbua moja ya kukosa mapato makubwa ni real estate ambazo lile wazo la majengo ya urafiki dar es salaam lingeendelezwa lingekuwa msaada mkubwa ya watu kutofikiria ugumu wa nyumba za kupanga.
Ni vizuri kuwa mliweka NHC ila yenyewe imekuwa kama...
Bagamoyo Real Estate Workshop Namba 1
Utangulizi wa programu.
Programu hii ya FURSA ZA ARDHI/MAJENGO (Real Estate Workshop) zimelenga kwenye mambo makuu matatu (3). Mambo yenyewe ni:
✓ Moja; kujenga uwezo kwa mwekezaji kutafuta taarifa, koneksheni, maarifa na uzoefu wa sehemu anapowekeza...
Introduction:
Are you ready to take control of your financial future? Real estate investing offers a path to success, but it's not without its challenges. Let's navigate the money maze and learn how to escape broke and build a fortune through smart real estate strategies.
The Power of Passive...
District Real Estate Workshop ni kozi maalumu kwa wanachama wa makundi yetu ya TZ REAL ESTATE TEAM (TRT) kwa ajili ya kuchambua taarifa na maarifa kuangazia fursa zipatikanazo katika wilaya husika.
Siri ya kukutana na bahati ya fursa kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo inatokana na uelewa wa...
Ikiwa serikali imechukua eneo lako na kulipa fidia, kuna hatua kadhaa unazoweza kuchukua kuhakikisha kuwa unapata haki yako stahiki. Hapa kuna miongozo kadhaa:
Thibitisha Malipo:Hakikisha kuwa unapokea malipo yote kama ilivyokubaliwa kwenye makubaliano ya fidia. Angalia kwa makini kiasi cha...
Tutakayojifunza:
(a) Lengo kuu la programu.
(b) Shabaha/Fokasi ya programu ya leo.
(c) Ufafanuzi wa Fokasi ya programu.
(d) Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa.
(e) Dondoo muhimu kuhusu vibanda.
Utangulizi.
Taarifa zimejazwa na Aliko Musa. Hii ni baada ya kukosekana mwanachama...
Tutakayojifunza:
(A) Sehemu Ya Kwanza; Kuhusu Taarifa Tatu (3).
✓ Lengo kuu la programu.
✓ Shabaha/Fokasi ya programu ya leo.
✓ Chanzo cha taaarifa.
✓ Ufafanuzi wa Fokasi ya programu.
✓ Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa.
(B) Sehemu Ya Pili: Kuhusu Fokasi Ya Programu
✓ Maana ya...
Utangulizi
Soko mahalia ni jumla ya shughuli za kununua na kuuza viwanja, mashamba na majengo ndani ya eneo husika. Soko mahalia la wilaya ya Mbeya mjini hutofautiana na wilaya yoyote iliyo nyanda za juu kusini.
Soko mahalia kwenye wilaya moja ni tofauti kabisa na soko mahalia kutoka wilaya...
Ni watu ambao kwa kipindi hicho walitupa hamasa na tukaona watafika mbali sana kwenye ujasiriamali lakini mambo ymekuwa ndivyo sivyo kwa wengi hasa wakivuka 30
Patrick Ngowi - Alikuwa na kampuni ya sola, aliingia madeni sijui yupo wapi kwa sasa
Jokate Mwegelo - Biashara ilianza kwenda hovyo...
1. Utangulizi
J2 Real Estate inahusika na ununuzi na uuzaji wa viwanja, tathmini na urasimishaji wa ardhi. Ofisi zake ziko Goba, DSM
2. Nafasi za kazi
Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu katika kazi za mauzo na masoko wa miradi ya viwanja kuchangamkia nafasi hizi.
Sifa
-Uwezo mzuri...
1. Utangulizi
J2 Real Estate inahusika na uuzaji wa viwanja vya makazi na biashara. Ofisi zake ziko Goba, DSM
2. Nafasi za kazi
Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu wa mauzo na masoko katika miradi ya viwanja na mashamba kuomba nafasi husika.
Sifa
-Uwezo mzuri wa kuongea na...
1. Utangulizi
J2 Real Estate inahusika na utoaji wa mafunzo ya udereva, uuzaji wa viwanja, huduma za usafi na upulizaji wa dawa. Ofisi zake ziko Goba, DSM
2. Nafasi za kazi
Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu nafasi za afisa mauzo na masoko wa miradi ya viwanja, mashamba na nyumba...
Vacancy: MANAGER FACILITY & REAL ESTATE
Ref: 2022-38
Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the leading provider of accessible specialized health services in Africa and serves as healthcare social enterprise and through development programmes in the community...
Wadau site gani kwa sasa unaweza weka matangazo real estate ukapata wateja kirahi..nilikuwa natumia sana zoom, naona wamepotea(imekuwa kupatana.com-ambayo siyo strong kama zoom)...
Noamba kwa mwenye kujua tafadhari....
Kwenye uchambuzi unaofuata nitakuwa nakushirikisha makosa matatu (3) au zaidi kila siku. Kitabu hiki hakina sura, hivyo nitakushirikisha namba za makosa hadi kufikie kosa la 75 kwenye kitabu hiki.
KOSA #01; Kutokuanza Kuwekeza Mapema Kwenye Ardhi Na Majengo.
Hili ni kosa kubwa sana ambalo...
*Fursa ya biashara kwa ubia (joint venture)
*
Abraar Bricks Nyumba kwa wote,
Kumejitojeza fursa ya kibiashara ambayo inahitaji active partners wa kuingia nao makubaliano ya kibiashara (joint ventures).
Yeyote kati ya hawa hapa chini wanaokidhi vigezo tuwasiliane;
1) Upo kwenye fani ya...
Mimi ni kijana niliyemaliza form 6 mwaka 2019 nakupata DIV 2 kwa combination ya EGM nilikuw naomba msaada wenu kuhus hii koz inahusian n nin,pia kweny kuajiria unaweza kupiga kampuni kama zipi pia kweny kujiajiri wew kam ww unaweza kupiga issue kam zipi.Nawasilisha hoja kwenu wadau n mm ndio...
Biashara ya kujenga na kupangisha Tanzania inaelekea kufa kabisa. Sasa hivi hii biashara inapumulia mashine ICU.
Kwa wakazi wa Dar es Salaam mtakuwa mashahidi, malls nyingi na majengo mengi ni matupu miaka sasa, Mkuki house sasa inaanza kujaa panya, Quality Centre and Plaza mnajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.