Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,903
- 945
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mhe. Vita Rashid Kawawa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani kwa kutekeleza Miradi katika sekta mbalimbali.
1. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi katika Sekta ya Maji yenye thamani ya jumla ya Shilingi Bilioni 2,937,464,163/=
2. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi katika Sekta ya Elimu yenye jumla ya Shilingi Bilioni 7,564,200,00/=
3. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi katika Sekta ya Afya yenye jumla ya Shilingi Bilioni 5,318,848,447/=
4. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi ya TARURA yenye jumla ya Shilingi Bilioni 2,573,370,000/=
ASANTE KWA KUENDELEA KUTEKELEZA SERA YA ELIMU BILA MALIPO
#SautiYaNamtumbo
#KaziIendelee
1. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi katika Sekta ya Maji yenye thamani ya jumla ya Shilingi Bilioni 2,937,464,163/=
2. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi katika Sekta ya Elimu yenye jumla ya Shilingi Bilioni 7,564,200,00/=
3. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi katika Sekta ya Afya yenye jumla ya Shilingi Bilioni 5,318,848,447/=
4. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa kutekeleza Miradi ya TARURA yenye jumla ya Shilingi Bilioni 2,573,370,000/=
ASANTE KWA KUENDELEA KUTEKELEZA SERA YA ELIMU BILA MALIPO
#SautiYaNamtumbo
#KaziIendelee