rais ruto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    Msafara wa Rais Ruto wagonga Bodaboda 🤔

    Boda Boda amegongwa na gari ya msafara wa rais huko Kenya na walikufa papo hapo na gari ikaingia huko kwenye maporomoko Magari hayo yalikuwa yakimsindikiza Rais William Ruto na Gavana Cecily Mbarire baada ya kuhudhuria ibada ya kanisa katika Chuo cha Kigari.
  2. R

    Gachagua ametoa shutuma nzito dhidi Rais Ruto kukandamiza jamii ya Mt Kenya

    Makamu wa Rais Mstaafu Rigathi Gachagua ametoa tuhuma nzito dhidi ya Rais William Ruto, akidai kuwa anaendesha mpango wa kutesa jamii ya Mlima Kenya kwa makusudi. Akizungumza tarehe 5 Juni 2025 katika mazishi ya shangazi yake marehemu Gladys Gathoni Kahua huko Kaunti ya Nyeri, Gachagua alisema...
  3. DuaZaMama

    Rais Ruto: Sitoomba msamaha Kwa kujenga Kanisa Ikulu

    Rais wa Kenya, William Ruto amesema hatomuomba msamaha yoyote kwa kitendo cha yeye kujenga Kanisa Ikulu ambapo amewashangaa wanaoanza kuleta manenomaneno kwasababu amejenga Kanisa hilo huku akisisitiza kwamba hajaanzisha Kanisa jipya bali anajenga Kanisa bora zaidi na la kisasa baada ya kukuta...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Dr Fred Matiang'i: Rais Ruto aliniuliza kuhusu Kikosi Maalum cha Mauaji (Special Service Unit) mara tu baada ya kuapishwa

    "Rais Ruto aliniuliza kuhusu Kikosi Maalum cha Mauaji (Special Service Unit) mara tu baada ya kuapishwa, na mimi nilikuwa naisikia kwa mara ya kwanza. Waziri wa Mambo ya Ndani hafahamu kila operesheni ya polisi." – Dkt. Fred Matiang'i ============= "President Ruto asked me about the killer...
  5. DuaZaMama

    Rais Ruto amteua Meja Jenerali David Ketter kuwa Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu

    Rais wa Jamhuri ya Kenya na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto, amemteua Meja Jenerali David Kipkemboi Ketter kuwa Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu (Kenya Army), baada ya kumpandisha cheo hadi kuwa Luteni Jenerali (Lieutenant General). Uteuzi huu umetangazwa...
  6. W

    Mahakama Kuu yakataa kumshikilia Rais Ruto na maafisa wengine wa serikali kwa kudharau mahakama kuhusiana na uteuzi wa wajumbe wa IEBC

    Mahakama Kuu imekataa kushughulikia ombi la mdomo lililotaka Rais na maafisa wengine wa serikali watangazwe kuwa wameidharau mahakama kutokana na uteuzi wa wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), licha ya amri za awali za mahakama kusitisha mchakato huo. Katika uamuzi uliotolewa...
  7. Mkalukungone Mwamba

    Mama wa Kennedy Onyango Amshutumu Rais Ruto kwa Ahadi za Uongo kuhusu Haki ya Mwanawe

    “Alitudanganya!” Mama yake Kennedy Onyango, kijana aliyepigwa risasi na polisi wakati wa maandamano ya Gen Z huko Rongai, amemtuhumu Rais William Ruto kwa kutoa ahadi za uongo kuhusu haki ya mwanawe. ================= He lied to us!" Mother of Kennedy Onyango, teen killed by police in Rongai Gen...
  8. DuaZaMama

    Rais Ruto: Hatuwezi kuwapa madaraka kwa wale wanaopigia kelele tu ‘Ruto must go'

    Rais wa Kenya, William Ruto, amezungumza kwa msisitizo kuhusu siasa za upinzani, akisema kuwa serikali haiwezi kuachia madaraka kwa watu ambao mpango wao pekee wa kisiasa ni kauli ya “Ruto must go.” Rais Ruto alisema haya katika hotuba yake ya hivi karibuni, akielezea kuwa taifa linahitaji...
  9. Mkalukungone Mwamba

    Rais Ruto ateua Mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC) pamoja na Kamishina wapya

    Rais William Ruto ameteua rasmi Erastus Edung Ethekon kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC). Uteuzi huu umefanyika kupitia Tangazo la Serikali (Gazette Notice No. 7724) lililotolewa tarehe 10 Juni 2025, na umefuatiana na uteuzi wa maafisa sita wa IEBC kupitia Tangazo la...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Rais Ruto: Vita vya Sudan vinaelekea kuwa mauaji ya halaiki na tayari vimeingia katika uwanja wa maafa ya kibinadamu

    Rais wa Kenya, William Ruto, ametaka hatua za haraka na za pamoja kutoka kwa jumuiya ya kimataifa ili kusitisha vita vinavyoendelea nchini Sudan, akionya kuwa mapigano hayo yamefikia kiwango cha mauaji ya halaiki na maafa ya kibinadamu. Akizungumza katika Ikulu ya Nairobi siku ya Jumamosi, Rais...
  11. M

    Wakili awasilisha ombi Mahakamani kuzuia Rais Ruto kuteua washauri zaidi

    Ombi limewasilishwa katika Mahakama ya Milimani likilenga kumzuia Rais wa Kenya kuteua washauri wapya. Wakili Vincent Lempaa Suyianka ndiye aliyepeleka ombi hilo mahakamani, akitaka pia serikali isimamishe ulipaji wa mishahara kwa washauri 21 waliopo kazini kwa sasa. Kwa mujibu wa Suyianka...
  12. Mkalukungone Mwamba

    Familia yashangazwa baada ya Rais Ruto kudai kuwa alifanya makubaliano ya ardhi na baba yao aliyeaga dunia miaka 7 iliyopita

    Familia moja katika eneo la Narok, Kenya, imepigwa na butwaa kufuatia kauli ya Rais William Ruto aliyodai katika mkutano wa hadhara kuwa alizungumza na baba yao na kufikia makubaliano kuhusu ununuzi wa ardhi yenye ukubwa wa ekari 5,800 — ilhali mtu huyo alifariki dunia miaka saba iliyopita...
  13. Waufukweni

    VIDEO: Rais Ruto apigwa na kiatu akihutubia Wananchi wa Kehancha

    Mtu mmoja amemrushia kiatu Rais wa Kenya William Ruto wakati akizungumza na wananchi wa Kehancha, Kitongoji cha Migori ambapo leo alikuwa anazindua mradi wa nyumba 298 zenye nafuu kwa wananchi. Kiatu hicho kilimkosa Rais Ruto ambaye aliendelea kuzungumza na wananchi wa eneo hilo bila kujali...
  14. Yoda

    Rais Ruto wa Kenya alalamika ni vigumu sana kusifiwa na raia wa Wakenya!

    It is very rare to get compliments from Kenyans - President Ruto
  15. Masai wa Town

    Video: Rais Ruto avunja kamati ya Utekaji

    Rais Ruto amekiri uwepo wa genge la Utekaji nchini kwake na kulivunja Leo rasmi. Tazama video
  16. Just Pray

    Raila Odinga ashangazwa na wanaotaka Rais Ruto aondoke madarakani, asema aondoke aende wapi

    Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amewajibu wakosoaji wa Serikali ya Rais William Ruto wanaotaka aondoke madarakani huku akisema wanataka atoke aende wapi. Kauli ya Odinga inakuja zikiwa zimepita siku chache tangu asaini makubaliano ya kufanya kazi na Rais Ruto nchini Kenya...
  17. JanguKamaJangu

    Rais Ruto: Mtaniua kwa majina, kutoka Zakayo hadi Kasongo

    Rais wa Kenya, William Ruto: “Mtaniua na majina. Mlianza na hustler, mkaenda Zakayo alafu kasongo,” President Ruto jokes days after Kenyans gave him a new nickname, El Chapo
  18. U

    Mke wa Rais wa Kenya bi Rachel Ruto akutana na kufanya mazungumzo na mke wa Naibu wa Rais Dkt. Joyce Kithure

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: First Lady Rachel Ruto held a meeting with Dr. Joyce Kithure, spouse of the DP which focused on promoting sustainable school feeding in Kenya through food production on school grounds
  19. Mkalukungone Mwamba

    Rais Ruto awasili Dar kuhudhuria Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya za EAC na SADC

    Rais wa Jamhuri ya Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) William Samoei Ruto amewasili Nchini Tanzania na kupokelewa na Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso. Rais Ruto amewasili kuhudhuria Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya za EAC na SADC utakaofanyika...
Back
Top Bottom