Wabunge wa ODM na Kenya Kwanza wakabaki wanaulizana huyo Mwamba wa nchi jirani ni nani?
Ila Raila Nadhani alishamjua kama ambavyo Sisi wengine tumemjua
Ahsanteni sana
Mtanikumbuka 🙏😄
Unaambiwa baada tu ya mechi kuisha, Wachezaji wamekula mgao wa milioni 21 kabla hata jasho halijakauka..
Na akaahidi mzigo mwingine kama huo endapo watashinda kila mchezo ulio mbele yao.
Ni muhimu Rais wetu akashauriwa kuwa anapotoa ahadi, awe anatoa ahadi ambazo zipo too specific.
Ukiahidi...
Rais William Ruto amepinga wito unaozidi kumtaka ajiuzulu kupitia nyimbo zinazoongezeka za ‘Ruto Must Go’ katika maandamano ya mitaani na mitandao ya kijamii.
Katika hotuba yake katika Soko la Hisa la Nairobi (NSE) Jumatano, Ruto alihoji sababu za wito wa kuondoka kwake mapema, akisema viongozi...
Wajir Woman Rep Fatuma Abdi: "Sisi Wabunge Wa North Eastern Tunasema Tutam For President Ruto, Hata Kama Hatutakuwa Na Kura, Tutamwibia!"
Source: Kenya.gossip.club & buzzroomkenya
Miongoni mwa masuala yaliyofanikisha kuchaguliwa kwa Rais William Ruto ni ahadi nyingi alizotowa kwa raia wa Kenya.
Moja ya ahadi hizo ilikuwa ni ajira kwa vijana.
Limekuwa tatizo kubwa nchini humo, lakini Rais Ruto anasema tatizo hili halijaanza na yeye.
Source: TRT AFRIKA
Rais wa Kenya William Ruto, akiwa katika hafla ya uzinduzi wa makazi ya polisi eneo la Kilimani, Nairobi, tarehe 9 Julai 2025, alitoa agizo kwa polisi kuwakabili watu wanaohusika na uharibifu wa mali wakati wa maandamano.
Katika hafla hiyo Rais Ruto alisikika akisema
“Wale wanaochoma mali ya...
Boda Boda amegongwa na gari ya msafara wa rais huko Kenya na walikufa papo hapo na gari ikaingia huko kwenye maporomoko
Magari hayo yalikuwa yakimsindikiza Rais William Ruto na Gavana Cecily Mbarire baada ya kuhudhuria ibada ya kanisa katika Chuo cha Kigari.
Makamu wa Rais Mstaafu Rigathi Gachagua ametoa tuhuma nzito dhidi ya Rais William Ruto, akidai kuwa anaendesha mpango wa kutesa jamii ya Mlima Kenya kwa makusudi. Akizungumza tarehe 5 Juni 2025 katika mazishi ya shangazi yake marehemu Gladys Gathoni Kahua huko Kaunti ya Nyeri, Gachagua alisema...
Rais wa Kenya, William Ruto amesema hatomuomba msamaha yoyote kwa kitendo cha yeye kujenga Kanisa Ikulu ambapo amewashangaa wanaoanza kuleta manenomaneno kwasababu amejenga Kanisa hilo huku akisisitiza kwamba hajaanzisha Kanisa jipya bali anajenga Kanisa bora zaidi na la kisasa baada ya kukuta...
"Rais Ruto aliniuliza kuhusu Kikosi Maalum cha Mauaji (Special Service Unit) mara tu baada ya kuapishwa, na mimi nilikuwa naisikia kwa mara ya kwanza. Waziri wa Mambo ya Ndani hafahamu kila operesheni ya polisi." – Dkt. Fred Matiang'i
=============
"President Ruto asked me about the killer...
Rais wa Jamhuri ya Kenya na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Mheshimiwa Dkt. William Samoei Ruto, amemteua Meja Jenerali David Kipkemboi Ketter kuwa Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu (Kenya Army), baada ya kumpandisha cheo hadi kuwa Luteni Jenerali (Lieutenant General).
Uteuzi huu umetangazwa...
Mahakama Kuu imekataa kushughulikia ombi la mdomo lililotaka Rais na maafisa wengine wa serikali watangazwe kuwa wameidharau mahakama kutokana na uteuzi wa wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), licha ya amri za awali za mahakama kusitisha mchakato huo.
Katika uamuzi uliotolewa...
“Alitudanganya!” Mama yake Kennedy Onyango, kijana aliyepigwa risasi na polisi wakati wa maandamano ya Gen Z huko Rongai, amemtuhumu Rais William Ruto kwa kutoa ahadi za uongo kuhusu haki ya mwanawe.
=================
He lied to us!" Mother of Kennedy Onyango, teen killed by police in Rongai Gen...
Rais wa Kenya, William Ruto, amezungumza kwa msisitizo kuhusu siasa za upinzani, akisema kuwa serikali haiwezi kuachia madaraka kwa watu ambao mpango wao pekee wa kisiasa ni kauli ya “Ruto must go.” Rais Ruto alisema haya katika hotuba yake ya hivi karibuni, akielezea kuwa taifa linahitaji...
Rais William Ruto ameteua rasmi Erastus Edung Ethekon kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC). Uteuzi huu umefanyika kupitia Tangazo la Serikali (Gazette Notice No. 7724) lililotolewa tarehe 10 Juni 2025, na umefuatiana na uteuzi wa maafisa sita wa IEBC kupitia Tangazo la...
Rais wa Kenya, William Ruto, ametaka hatua za haraka na za pamoja kutoka kwa jumuiya ya kimataifa ili kusitisha vita vinavyoendelea nchini Sudan, akionya kuwa mapigano hayo yamefikia kiwango cha mauaji ya halaiki na maafa ya kibinadamu.
Akizungumza katika Ikulu ya Nairobi siku ya Jumamosi, Rais...
Ombi limewasilishwa katika Mahakama ya Milimani likilenga kumzuia Rais wa Kenya kuteua washauri wapya.
Wakili Vincent Lempaa Suyianka ndiye aliyepeleka ombi hilo mahakamani, akitaka pia serikali isimamishe ulipaji wa mishahara kwa washauri 21 waliopo kazini kwa sasa.
Kwa mujibu wa Suyianka...
Familia moja katika eneo la Narok, Kenya, imepigwa na butwaa kufuatia kauli ya Rais William Ruto aliyodai katika mkutano wa hadhara kuwa alizungumza na baba yao na kufikia makubaliano kuhusu ununuzi wa ardhi yenye ukubwa wa ekari 5,800 — ilhali mtu huyo alifariki dunia miaka saba iliyopita...
Mtu mmoja amemrushia kiatu Rais wa Kenya William Ruto wakati akizungumza na wananchi wa Kehancha, Kitongoji cha Migori ambapo leo alikuwa anazindua mradi wa nyumba 298 zenye nafuu kwa wananchi.
Kiatu hicho kilimkosa Rais Ruto ambaye aliendelea kuzungumza na wananchi wa eneo hilo bila kujali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.