Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 332
Kumekuwa na tabia watangazaji wa vipindi vya redio Clouds na E.fm kuchezesha kamari katika kila vipindi.
Kwa nyakati tofauti watangazaji hao wamekuwa wanawashawishi wasikilizaji wao wawe mamilionea kwa kuwaambia watume pesa kwa namba wanazozitaja huku wakitaja dau.
Mwisho wa vipindi huwapigia simu washindi baada ya kucheza droo.
Hivi leseni zao zinaruhusu kuchezesha kamari?
Kwa nyakati tofauti watangazaji hao wamekuwa wanawashawishi wasikilizaji wao wawe mamilionea kwa kuwaambia watume pesa kwa namba wanazozitaja huku wakitaja dau.
Mwisho wa vipindi huwapigia simu washindi baada ya kucheza droo.
Hivi leseni zao zinaruhusu kuchezesha kamari?