Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,586
- 3,935
Inaonekana watangazaji wengine wa radio wanaokotezwa tu hawana hata ethics za hizo kazi za utangazaji.Unakuta wapo watu wapo kwenye kipindi wanabishana kama wapo kwenye kilabu cha mataputapu hawawekeani hata utaratibu wa kuongea,watu wanabishana mpaka msikilizaji unaona kero unabadilisha Station. Dida ni mmoja wa watangazaji wenye kelele sana