njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
nakisikiliza hapa ni kero aisee haijulikani nani muongozaji nani mchambuzi yaani wanapiga kelele hakuna anayetaka kumsikiliza mwenzake..utasikia Abisai sikiza ngooja ngojaaaa...hapana nisikize kwanza ,huku mweingine naye anaendelea kuongea ya kwake
vuluvuluuuuuuuuuu
vuluvuluuuuuuuuuu