LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Mitaani huwaga kuna kamsemo maarufu sana :
" Dada angu wewe:
1. Huna tako ( shape)
2. Huna sura
3. Huna kazi.
4. Hujasoma.
5.Huna biashara.
6.Huna danga.
7. Hupati psi psi mtaani.
Halafu tangazo la mganga linapita unajifanya hutaki kuchukua namba za simu..
Nimeiona hali hii kwenye comments za baadhi ya watanzania kuhusu Prophet Lovy.
Sasa ndugu yangu. Wewe 👇
1. Huna kazi.
2. Huna biashara.
3. Mauzo kwenye biashara yako yana matege.
4. Huna nyota.
5. Huna mali yoyote ya maana.
6. Huna network
7. Huna connection.
8. Alama pekee uliyo ileta duniani ni chale.
9. Utambulisho pekee unao weza kutambulishwa nao ni ule anaopewaga mtu mpaka afiwe " huyu ndio yule jamaa aliefiwa" .
10. Au utambulisho wa ugonjwa " yule jamaa mwenye pumu"
11. Au kipara " yule jamaa mwenye upara"
Kibaya zaidi huna " utakatifu" yani wewe ni mtenda dhambi kama watenda dhambi wengine.
Halafu anatokea mtu anatangazwa kwamba ana uwezo wa kukufungua kutoka kwenye vifungo ulivyo fungwa, badala ya kwenda usaidiwe, wewe unaanza tena kumponda. Alie waroga Tanzania ndo yule yule alie waroga wagalatia.
Ngoja nikufundishe kitu kimoja ndugu yangu. Ukitaka kufanikiwa kwenye mambo yako hasahasa mambo ya kiroho kumbuka kanuni hii hapa chini 👇
" FOLLOW THE LIGHT AND NOT WHO CARRY THE LIGHT".
FUATA MWANGA USIMFUATE ALIEBEBA MWANGA.
Nimekuwa Muumini wa kanuni hii kwa muda mrefu sana. Mpaka baadhi ya ndugu zangu wananishangaa kwa sababu Mimi pamoja na kutoka katika familia na ukoo wa kiislamu lakini sijajifunga kwenye kufuata tu mafunzo ya Prophet Muhammad Peace Be Upon Him. Ninasoma pia na kufuata mafundisho ya Yesu.
Pia ninajifunza habari za ,Budha, Talmud,mafundisho ya wahindu, mafundisho ya imani za kiafrika etc na kote huko ninafuata MWANGA.
Back to the Prophet Lovy.
Jamaa ana nyota Kali sana.
Kwa habari ya upako jamaa yupo vizuri sana pia wakuu.
Msiyachukulie powa Yale mafuta aliyo kuwa anayatoa jana kwenye kongamano.
Yapo very very powerful. Kwa wewe ambae una jijua una vifungo vya kichawi etc mafuta yake yangekufaa sana.
Halafu wachungaji wa kicongo msiwachukulie powa wapo vizuri sana kiroho.
Nenda South Africa pale fanya research kuhusu .makanisa yanayo hudumiwa na wachungaji wa kicongo waulize watu wanao sali kwenye makanisa hayo wakupe tathmini ya kinacho watokea kwenye maisha yao.
Ukiwa una sali kwenye kanisa la mchungaji wa kicongo wala uhitaji kwenda kwa mganga wa kienyeji. Upako wa mchungaji pekee unatosha. ( wengi wenu humu wakristu kwa waislamu huwaga mnaenda kwa waganga pia . Sasa ukienda kwenye kanisa la mchungaji mcongo huhitaji kwenda kwa mganga)
Prophet Lovy ana nyota Kali sana. Prophet Lovy ana upako mkali sana.
Ambao hamkwenda jana kwenye kongamano lake mmejipiga gani wenyewe. Mmekosa kitu kikubwa sana kwenye maisha yenu...
Usimnenee vibaya Mtumishi wa Mungu
" Dada angu wewe:
1. Huna tako ( shape)
2. Huna sura
3. Huna kazi.
4. Hujasoma.
5.Huna biashara.
6.Huna danga.
7. Hupati psi psi mtaani.
Halafu tangazo la mganga linapita unajifanya hutaki kuchukua namba za simu..
Nimeiona hali hii kwenye comments za baadhi ya watanzania kuhusu Prophet Lovy.
Sasa ndugu yangu. Wewe 👇
1. Huna kazi.
2. Huna biashara.
3. Mauzo kwenye biashara yako yana matege.
4. Huna nyota.
5. Huna mali yoyote ya maana.
6. Huna network
7. Huna connection.
8. Alama pekee uliyo ileta duniani ni chale.
9. Utambulisho pekee unao weza kutambulishwa nao ni ule anaopewaga mtu mpaka afiwe " huyu ndio yule jamaa aliefiwa" .
10. Au utambulisho wa ugonjwa " yule jamaa mwenye pumu"
11. Au kipara " yule jamaa mwenye upara"
Kibaya zaidi huna " utakatifu" yani wewe ni mtenda dhambi kama watenda dhambi wengine.
Halafu anatokea mtu anatangazwa kwamba ana uwezo wa kukufungua kutoka kwenye vifungo ulivyo fungwa, badala ya kwenda usaidiwe, wewe unaanza tena kumponda. Alie waroga Tanzania ndo yule yule alie waroga wagalatia.
Ngoja nikufundishe kitu kimoja ndugu yangu. Ukitaka kufanikiwa kwenye mambo yako hasahasa mambo ya kiroho kumbuka kanuni hii hapa chini 👇
" FOLLOW THE LIGHT AND NOT WHO CARRY THE LIGHT".
FUATA MWANGA USIMFUATE ALIEBEBA MWANGA.
Nimekuwa Muumini wa kanuni hii kwa muda mrefu sana. Mpaka baadhi ya ndugu zangu wananishangaa kwa sababu Mimi pamoja na kutoka katika familia na ukoo wa kiislamu lakini sijajifunga kwenye kufuata tu mafunzo ya Prophet Muhammad Peace Be Upon Him. Ninasoma pia na kufuata mafundisho ya Yesu.
Pia ninajifunza habari za ,Budha, Talmud,mafundisho ya wahindu, mafundisho ya imani za kiafrika etc na kote huko ninafuata MWANGA.
Back to the Prophet Lovy.
Jamaa ana nyota Kali sana.
Kwa habari ya upako jamaa yupo vizuri sana pia wakuu.
Msiyachukulie powa Yale mafuta aliyo kuwa anayatoa jana kwenye kongamano.
Yapo very very powerful. Kwa wewe ambae una jijua una vifungo vya kichawi etc mafuta yake yangekufaa sana.
Halafu wachungaji wa kicongo msiwachukulie powa wapo vizuri sana kiroho.
Nenda South Africa pale fanya research kuhusu .makanisa yanayo hudumiwa na wachungaji wa kicongo waulize watu wanao sali kwenye makanisa hayo wakupe tathmini ya kinacho watokea kwenye maisha yao.
Ukiwa una sali kwenye kanisa la mchungaji wa kicongo wala uhitaji kwenda kwa mganga wa kienyeji. Upako wa mchungaji pekee unatosha. ( wengi wenu humu wakristu kwa waislamu huwaga mnaenda kwa waganga pia . Sasa ukienda kwenye kanisa la mchungaji mcongo huhitaji kwenda kwa mganga)
Prophet Lovy ana nyota Kali sana. Prophet Lovy ana upako mkali sana.
Ambao hamkwenda jana kwenye kongamano lake mmejipiga gani wenyewe. Mmekosa kitu kikubwa sana kwenye maisha yenu...
Usimnenee vibaya Mtumishi wa Mungu