UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,658
4,861
Manabii na Mitume wengi walikuwa ni watu wa Kutenda miujiza mikuu ya kudhihirisha uwepo wa MUNGU mkuu.
Mfano;
1. Musa: Alitenganisha Bahari kuwaokoa wanaisraeli.

2. Eliya: Alifufua mtu aliyekufa

3. Elisha: Alifufua mtu aliyekufa na kuponya waliugua

4. Yesu: Huyu alifanya makuu mengi sana, mnayafahamu

5. Nuhu: alitengeneza Safina kuokoa viumbe dhidi ya gharika

6. Paulo: aliponya walougua

7. Daniel: alitupwa kwenye banda la Simba wenye njaa na kutoka hai.

8. Shadrack, Meshaki, na Abednego: walitupwa kwenye tanulu la moto mkali kiasi kwamba hata walinzi walioenda kuwatupa walifariki kwa joto la moto ule, lakini cha kushangaza hao jamaa hawakuungua wala kupata jeraha la moto. Mfalme Nebukadineza akaduwaa na kuamini kweli Mungu yupo.

9. Yona: alimgomea mwenyezi Mungu baada ya kuambiwa aende akahubiri, lakini yeye akaamua kutoroka na kupanda jahazi ambalo badae lilipigwa na dhoruba ikabidi wenzake wamtupe Yona kwenye maji hili dhoruba litulie, na kweli lilitulia, Yona akamezwa na Samaki mkubwa na akaishi tumboni mwa samaki na siku kadhaa akaenda kutapikwa na samaki huyo nchi kavu. Badae akatii kwenda kuhubiri.

10: Lutu: MUNGU alitenda muujiza wa kuunguza miji ya Sodoma na Gomorrah baada ya Ushoga, mapenzi ya jinsia moja na dhambi za kila aina kukithiri katika miji hiyo, ambapo Lutu aliwapokea Malaika ambao walitumwa kwa kazi maalumu ya kuokoa familia ya lutu.

Hao ni wachache baina ya yaliyomengi yaliyotendwa au kukumbwa na watumishi wa Mungu.

Katika mapokeo ya Kiislamu, Mtume Muhammad kwa ujumla hahusiani na kufanya miujiza kama vile manabii wengine, kama vile Musa au Yesu, wanavyoelezewa katika Biblia. Badala yake, Waislamu wanaamini kwamba Quran, kitabu kitakatifu cha Uislamu, kinachukuliwa kuwa muujiza wake mkuu. Quran inaaminika kuwa neno halisi la Mwenyezi Mungu kama ilivyoteremshwa kwa Mtume Muhammad kwa kipindi cha miaka 23. Sifa zake za kiisimu na kifasihi, pamoja na mwongozo unaoutoa, huonwa kuwa wa miujiza na Waislamu.

Kuna baadhi ya matukio na matukio yaliyoripotiwa katika Hadith za Kiislamu ambayo yanachukuliwa kuwa ni miujiza, kama vile Isra na Miraj, ambayo ni Safari ya Usiku na Kupaa kwa Mtume, ambapo inasemekana alisafiri kutoka Makka kwenda Yerusalemu na. akapanda mbinguni. Hata hivyo, haya kwa kawaida hayasisitizwi kama kipengele kikuu cha utume wake kwa jinsi miujiza inavyosisitizwa katika hadithi za manabii wengine katika baadhi ya mapokeo mengine ya kidini.

Je Mohamad alifanya muujiza upi wa kuonekana au alikumbwa na muujiza hupi kuzihirisha ukuu wa MUNGU?
 
Jambo hili limeandikwa katika kitabu tukufu cha Qur'an?
Muongozo wa uislam ni Quran na Sunna, Qurran haikuja kwaajili ya kumsifu Muhammad imekuja kwaajili ya kutangaza Neema za Mungu mmoja ambae ni yeye tu anapaswa kuombwa kwa jina lake na yeye tu ndo anapaswa kuabudiwa.

Halafu kuna sunna haya ni matendo aliyotenda mtume hadharani ndo miongoni mwao utayapata hadithi zake zikisimuliwa na maswahaba juu ya maisha yake
 
Muongozo wa uislam ni Quran na Sunna, Qurran haikuja kwaajili ya kumsifu Muhammad imekuja kwaajili ya kutangaza Neema za Mungu mmoja ambae ni yeye tu anapaswa kuombwa kwa jina lake na yeye tu ndo anapaswa kuabudiwa.

Alafu kuna sunna haya ni matendo aliyotenda mtume hadharani ndo miongoni mwao utayapata hadithi zake zikisimuliwa na maswahaba juu ya maisha yake
Ndio tunataka uthibitisho kutoka kwenye Quran, haya gani zinazotaja miujiza hiyo?

Neno la Mungu lazima liende kwa evidence, na nyie uwa mnasema Quran haitakiwi kuchakachukiliwa, kwamba kila kitu kimo kama kilivyo toka mwanzo
 
Muhamad sio Mtume labda kwa jamii ya waarabu.

Muhamad huwez kumuweka kundi moja na hao mnaowaita manabii+mitume , maana huyo jamaa alikuwa na tabia chafu kama ubakaji, uuaji na kushikilia watumwa, pia huyu jamaa hawezi kuwa na sifa ya Utume labda kama alijituma yeye mwenyewe na kujipa huo utume wa mchongo, pili hakuwa na nguvu za kutenda miujiza wala maajabu yoyote.

Tatu, dini yake na huyo Mungu wake Allah ni mbaguzi hawezi kuwa Mungu wa jamii zote dunian kama analazimisha lugha moja tu ya kiarabu ndio iwe lugha ya imani na kitabu chake cha dini, pia huyo muhamad kama kweli ni mtume basi atabaki kuwa mtume wa waarabu pekee maana ktk jamii za afrika na ulaya hatambuliki kwakuwa hakuna jamii zilizomjua wala utume wake kufika huko isipokuwa kwa mauaji na injili ya vita na kueneza biashara haramu za utumwa wa binadamu.

Muhamad ni jambazi
 
Sijawahi kusoma Quran zaidi ya kuangalia mifumo ya maisha ya waislamu nilio karibu nao.
Nikiangalia wao wana aya na maelekezo kwa kila kitu kuanzia kuingia chooni hadi kupumzika

Pia wana visomo au dua effective sana ndio maana utaskia watu wakitibu kwa kutumia Quran

Hivyo, hata kama mtume asingefanya ishara yoyote kama Yesu alivyotutahadharisha kutokuwa obessesed na ishara, bado naamini kuna ufunuo na nguvu ya kiroho kubwa aliyojaaliwa nayo 🙏🏽
Ebu tupe muujiza hata mmoja wewe uliouona uliofanywa na kutumia Quran kwa kisomo au dua na ukatokea?

Alafu pia rudi kwenye mada, mimi siongelei mtindo wa maisha kama kuingia chooni na kulala.... Naongelea unitaji miujiza iliyotengwa na Mtume Mohamad kwa ushahidi wa haya kutoka kwenye Quran
 
Soma Surat Al-Qamar utaona muujiza wa kugawanyika kwa mwezi
Ofisaa... Hata Dunia ina bonde la ufa, kwa hiyo nayo iligawanywa?

Alafu unanipa evidence ya kitu tusichoweza kukifikia kujua kama ni kweli... Unaweza kusema pia aligawamya sayari ya mara na tusibishe kwa sababu hatujawai kufika huko, na kwa picha sayari ya mara kuna sehemu kama ilikwanguliwa.
 
Faiza kitabu hakiwezi kuwa muujiza... Muujiza ni Tukio linaloshuhudiwa na wengi na lisilo la kawaida. Mfano Musa alivyogawa Bahari...

Nataka tukio lililoshuhudiwa na watu likitendewa na Mtume Mohamad (SAW)
Qur'an wewe huishuhudii leo hii?

MIUJIZA YA QURAN​


Karne kumi na nne zilizopita, Mungu aliteremsha Qur'ani kwa wanadamu kama kitabu cha mwongozo. Aliwataka watu waongozwe kwenye ukweli kwa kufuata kitabu hiki. Kutoka siku ya ufunuo wake hadi siku ya hukumu, kitabu hiki cha mwisho cha Mungu kitabaki kuwa mwongozo pekee kwa wanadamu.

Hekima ya Qur'an na Qur'an ni ushahidi wa wazi kwamba ni neno la Mwenyezi Mungu. Kwa kuongezea, Qur'an ina sifa nyingi za miujiza zinazothibitisha kwamba ni ufunuo kutoka kwa Mungu. Moja ya sifa hizi ni ukweli kwamba ukweli kadhaa wa kisayansi ambao tumeweza kuufunua kwa teknolojia ya karne ya 20 ulielezwa katika Qur'an miaka 1,400 iliyopita.


-
 
Ebu tupe muujiza hata mmoja wewe uliouona uliofanywa na kutumia Quran kwa kisomo au dua na ukatokea?

Alafu pia rudi kwenye mada, mimi siongelei mtindo wa maisha kama kuingia chooni na kulala.... Naongelea unitaji miujiza iliyotengwa na Mtume Mohamad kwa ushahidi wa haya kutoka kwenye Quran

Ndio maana nilisema sijawahi kusoma Quran hivyo, sijui muujiza wa mtume husika

Ila kuona visomo vikifanya maajabu kawaida sana unless hujawahi ishi uswazi kwenye waislamu wengi ndio utaona ni vitu vya kusadikika.

Kuna watu wamepooza au wamepigwa shirki, huwa wanasomewa visomo na wanakaa sawa, japo hii haipo common sana kwa sababu kwa ndugu zetu, watu wenye uwezo wa kufanya haya ni kama masheikh walio vizuri, Ila kwa makanisa ya kiroho, mtu akishakuwa deep kiimani, anaweza kufanya vitu vingi mwenyewe tu
 
Qur'an wewe huishuhudii leo hii?

MIUJIZA YA QURAN​


Karne kumi na nne zilizopita, Mungu aliteremsha Qur'ani kwa wanadamu kama kitabu cha mwongozo. Aliwataka watu waongozwe kwenye ukweli kwa kufuata kitabu hiki. Kutoka siku ya ufunuo wake hadi siku ya hukumu, kitabu hiki cha mwisho cha Mungu kitabaki kuwa mwongozo pekee kwa wanadamu.

Hekima ya Qur'an na Qur'an ni ushahidi wa wazi kwamba ni neno la Mwenyezi Mungu. Kwa kuongezea, Qur'an ina sifa nyingi za miujiza zinazothibitisha kwamba ni ufunuo kutoka kwa Mungu. Moja ya sifa hizi ni ukweli kwamba ukweli kadhaa wa kisayansi ambao tumeweza kuufunua kwa teknolojia ya karne ya 20 ulielezwa katika Qur'an miaka 1,400 iliyopita.


-
Sasa kama Quran ililetwa toka juu, mbona maandiko yake mengi kama Injili, Zaburi, Torati, Ufunuo yapo kwenye Biblia na kihistoria biblia ilikuwepo hata kabla ya uislamu kuanzishwa.

Pili, Faiza mimi nimetaka unipe miujiza aliyoifanya Muhammad kudhihirisha ukuu wa Mungu mbele ya umati,
 
Back
Top Bottom