posta

Czech Post (Czech: Česká pošta) is the state owned postal company of the Czech Republic. With its headquarters in Prague, the corporation has around 31,000 employees. Czech Post primarily serves the Czech Republic but also delivers to other countries.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    JamiiForums Tanzania Malipo ya parcel posta kutoka nje ya wizi ni hizi mtupu

    Nimekuwa nikinunua bidhaa ndogo ndogo kupitia mtandao wa AliExpress lakini kimbembe ni malipo ya Posta. Yani inaonekana ni km wanakadiria hawapimi uzito wa parcel wala hawatoi Control number ya malipo wala risiti. Wewe ukifika unaambiwa kulipia pesa na mara nyingi ni kuanzia elf 3 hata km hiyo...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mnara wa Askari Posta, Dar es Salaam. Je, ilikuaje ikaitwa Bismini? Nini chimbuko la jina hilo? Maana yake ni nini?

    Hivi Gen Z mnajua kweli historia ya huu mnara? Kitu kilichonipa ushawishi wa kutaka kukua zaidi ni hili neno 'Bismini'. Maana yake ni nini? Na chimbuko lake ni nini? Nimejaribu kutafuta lakini hakuna walikoeleza maana ya Bismini ==== Hekaya fupi ya Mnara wa Askari Jijini Dar es Salaam Mnara...
  3. radhiya

    JamiiForums Tanzania Apartment For Sale at Posta City Center opposite Golden Jubilee tower

    Apartment For Sale - Posta City Center, DSM It's opposite Golden Jubilee tower. It has three bedrooms, one bedroom ensuite. It's on 2nd floor. The building is fairly used. No lift, garage and parking available. Title Deed available. No pictures available. Selling Price: TZS 200M negotiable...
  4. DexterLab

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna ya kutuma maombi ya kazi kwa njia ya Posta

    Habari, kama heading inavyosema haina haja ya kujaza seva za jamiiforums. procedures zikoje A to Z, gharama, bahasha ni yoyote tu, au wanataratibu zao.
  5. bush crazy

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa posta hii ina maana gani!

    Habari za Leo wanajamii forum. Nimetuma mzigo kwa njia ya posta siku kadhaa zilizo pita kwa EMS. Sasa niliyemtumia anadai hajaupata lakini nikiutrack napata notification hii kwenye picha hapo chini. Je mzigo umefika au Bado.
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania DAWASA yarekebisha eneo la Posta kulipokuwa na changamoto ya majitaka kutiririka barabarani

    UTIRIRISHAJI MAJITAKA POSTA WADHIBITIWA Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imedhibiti utiririshaji wa majitaka kwa uondoaji wa majitaka na taka ngumu zilizokuwa zimepelekea chemba kuziba katika eneo la Posta. Mamlaka inasisitiza matumizi sahihi ya miundombinu ya...
  7. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Chemba zilizokuwa zikitiririsha majitaka barabarani maeneo ya Posta (Dar) zimerekebishwa

    Juzi niliandika hapa JF taarifa kuhusu maji taka yaliyokuwa yakitiririka eneo la Posta barabara inayotokea Kanisa la KKKT kuelekea Karimjee ambayo yalikuwa yanatoka katika chemba zilizokuwa zimefumuka. Inadaiwa kuna maafisa wa Mamlaka ya Serikali wamefika na kutengeneza miundombinu iliyokuwa...
  8. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Posta ya Dar kuna chemba zinatiririsha maji taka barabarani, Mamlaka hazijaona, mbona zipo kimya?

    Eneo la Posta barabara inayotokea kwenye Kanisa la KKKT kuelekea Karemjee kuna chemba zimepasuka zinatiririsha maji taka, hali ni mbaya hasa kwa watembea kwa miguu. Tunaomba mamlaka zitafute suluhu ya hii changamoto, njia nzima imejaa maji taka hali ambayo inaleta kero na hofu ya Watu kupata...
  9. DexterLab

    JamiiForums Tanzania Kama sina sanduku la posta, nifanyaje?

    Salamu, hivi kwenye kuomba kibarua sehemu then wananihitaji Mimi kuwaandikia barua, upande wa sender's address, SLP inakuwaje?
  10. N

    JamiiForums Tanzania Bahati Nasibu ya Taifa yashirikiana na Shirika la Posta Tanzania

    Bahati Nasibu ya Taifa inayo furaha kutangaza ushirikiano wa kimkakati na Shirika la Posta Tanzania, wenye lengo la kuongeza upatikanaji wa michezo ya kubahatisha kote nchini. Kupitia ushirikiano huu, majukwaa ya Bahati Nasibu ya Taifa yatapatikana katika ofisi 207 za Posta, hatua...
  11. PSL god

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekutana na secretary mzuri balaa Posta kidogo nichanganyikiwe wakuu

    Wakuu za usiku, Asee tembea uone leo niliwasili kwenye ofisi fulani posta kwa ajili ya shughuli zangu binafsi za kiofisi sasa kama mnavyojua utaratibu huwa ni lazima ukutane na secretary ndo uende sehemu zingine za ofisi Wakuu mimi ni mtu ambae huwa sishtushwi na wanawake wazuri hovyo hovyo...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Shirika la Posta ladaiwa TSh. Bilioni 54.7, lashindwa kujiendeleza na kukopesheka

    Mbunge wa Jimbo la Mbagala, Abdallah Chaurembo amesema Shirika la Posta kwasasa linadaiwa TSh. Bilioni 54.7 hivyo kushindwa kujiendeleza na pia shirika limeshindwa kukopesheka, tuimbe sana serikali kama ripoti yetu ilivyoeleza tunaomba serikali ilichukue deni hili ili shirika hili la posta sasa...
  13. Mayala B

    JamiiForums Tanzania Usije Dar Es Salaam niagize hasa hasa soko Posta na Kariakoo, kwa uaminifu mkubwa sana

    Natanguliza shukran zangu kwenu Kama una kitu unataka kununua kutoka dar na kukisafitisha bas niagize usiogope , tutafanya kazi hiyo kwa uaminifu mkubwa sana Kikubwa tu tupendane Nashughulikia kila aina ya jambo na kila aina ya bidhaa, hasa hasa soko la posta na kariakoo Pia na kwa wale...
  14. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Jana nimekwenda Posta Kuu jijini London kupeleka sanamu ya Kanisani, nimefukuzwa kwa ajili ya tabia yangu mbaya

    Nimeambiwa unafokafoka hapa, unadhani we nani, ondoka hapa. Nimekwenda pale jana ikapimwa uziti Ile sanamu nikaambiwa nilipe Sh.100,000( laki moja). Sina laki moja, nikaanza kuondoka. Nikaambiwa nenda counter ya mbele, itakuwa cheaper but it will take two weeks to arrive in London. Ikapimwa...
  15. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Askari wa pale Posta mjini achoka kusimama baada ya miaka mingi, aamua kukaa 2025

    Chanzo Global Tv Online 🤣🤣🤣🤣
  16. ukwaju_wa_ kitambo

    JamiiForums Tanzania Posta posta city centre

    SONEL - POSTA. Chorus.. Posta posta city centre Posta posta city centre Posta posta Dar hii bwana kila mtu ukimuuliza anakwenda posta / Say.. Verse.1.. hi ndio posta Dar town city centre / vijana kwa wazee bila kazi wanapeta/ posta barabara kabeti mighorofo ilivyo jiseti/ utadhani ulaya...
  17. Retards Finder

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kodi baada ya kupokea mzigo Posta ukoje?

    Wakuu, wiki kadhaa zilizopita nilinunua kifaa kutoka nje ya nchi, nimetumiwa mzigo wangu kwa njia ya POSTA. jana nimetumiwa sms kuwa kifaa changu kimefika, nimenunua kifaa kwa bei ya shilingi, aaah dola 100. Sasa kabla sijaenda kuchukua kifaa changu nimefanya mawasiliano na mtoa huduma wa POSTA...
  18. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Machimbo ya sehemu za kuchill pale posta, Vyakula na Vinywaji ni vya bei nafuu

    Nina jambo langu hapo Posta mpya naomba mtu mwenye kuyajua machimbo anipe area code. Asanteni
  19. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Katika Hali isiyo ya kawaida FFU waanza shamra shamra huku mjini posta wanazunguka zunguka kabla ya tarehe 23 yenyewe

    Aman iwe nanyi wana wa MUNGU Katika Hali isiyo ya kawaida kabisa huku mjini posta FFU wanatembea kama kumbi kumbi na magari yao Kilichonishangaza zaidi ni silaha walizobeba, silaha hizi nazionaga kabeba myahudi kwa ajili ya kuwaulia magaid wa hamasi nimeshangaa sana FFU wakiwa wanalinda...
  20. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Job description ya Posta Masta inafananaje?

    Hiki cheo kimevuma hivi karibuni. Mwenye kujua huwa anajishughulisha na nini huyu POSTAMASTA MKUU atujuze.
Back
Top Bottom