Madhara ya unywaji wa Pombe

Madhara ya unywaji wa Pombe

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
811
Reaction score
1,753
Madhara ya unywaji wa pombe:
  • Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis)
  • Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili
  • Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
  • Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu
  • Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction)
  • Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili
  • Matatizo ya kiafya ya akili (msongo wa mawazo, wasiwasi, mfadhaiko)
  • Kuharibu uwezo wa uzazi na nguvu za kiume
  • Hatari kwa mimba (mtoto kuzaliwa na matatizo ya kimaumbile - Fetal Alcohol Syndrome)
  • Kuongeza hatari ya ajali (barabarani, kazini, nyumbani)
  • Kudhoofisha uamuzi na tabia hatarishi (ngono zisizo salama, ugomvi)
  • Uharibifu wa kongosho (pancreatitis)
  • Kupungua kwa uwezo wa mwili kupambana na maambukizi
  • Matatizo ya usingizi
  • Kuongeza uzito kupitia kalori nyingi zisizo na virutubisho
  • Migogoro ya kifamilia na kijamii kutokana na ulevi
  • Vifo vinavyotokana na overdose au sumu ya pombe (alcohol poisoning)
 
Madhara ya unywaji wa pombe:

  • Uharibifu wa ini (fatty liver, hepatitis, cirrhosis)
  • Saratani ya ini, koo, umio, matiti, na sehemu nyingine za mwili
  • Magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
  • Uharibifu wa ubongo na kupungua kwa kumbukumbu
  • Uraibu (ulevi wa kudumu / addiction)
  • Kudhoofisha mfumo wa kinga ya mwili
  • Matatizo ya kiafya ya akili (msongo wa mawazo, wasiwasi, mfadhaiko)
  • Kuharibu uwezo wa uzazi na nguvu za kiume
  • Hatari kwa mimba (mtoto kuzaliwa na matatizo ya kimaumbile - Fetal Alcohol Syndrome)
  • Kuongeza hatari ya ajali (barabarani, kazini, nyumbani)
  • Kudhoofisha uamuzi na tabia hatarishi (ngono zisizo salama, ugomvi)
  • Uharibifu wa kongosho (pancreatitis)
  • Kupungua kwa uwezo wa mwili kupambana na maambukizi
  • Matatizo ya usingizi
  • Kuongeza uzito kupitia kalori nyingi zisizo na virutubisho
  • Migogoro ya kifamilia na kijamii kutokana na ulevi
  • Vifo vinavyotokana na overdose au sumu ya pombe (alcohol poisoning)
We acha tuu mkuu!
 
Mkuu asubuhi tu unaanza kuisimanga pombe?

Una matatizo?

Ngoja nikupe nyenzo kadhaa ambazo zitakufanya uwe smart forever.

👉 Hakikisha Una kipato cha uhakika.

👉Kula vizuri,kula sana,ukiamka na hangover hakikisha unapiga supu au mchemsho wa maana.pia kabla hujaanza kunywa pombe Hakikisha umekula umeshiba.

👉Fanya mazoezi ya kukutoa jasho mara Kwa mara.

👉Epuka pombe za mashindano.

Castle lite beer forever
 
Mkuu asubuhi tu unaanza kuisimanga pombe?

Una matatizo?

Ngoja nikupe nyenzo kadhaa ambazo zitakufanya uwe smart forever.

👉 Hakikisha Una kipato cha uhakika.

👉Kula vizuri,kula sana,ukiamka na hangover hakikisha unapiga supu au mchemsho wa maana.pia kabla hujaanza kunywa pombe Hakikisha umekula umeshiba.

👉Fanya mazoezi ya kukutoa jasho mara Kwa mara.

👉Epuka pombe za mashindano.

Castle lite beer forever
Mawazo yake na Yako na Yaheshimiwe!
 
1731.png

Kumbe! Ndio maana I'm sober since forever
 
Back
Top Bottom