pombe

  1. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania KERO Uholela wa NGONO, POMBE NA MUZIKI: Ndilo janga kubwa zaidi la kizazi chetu"

    Kwa wakubwa wetu waliozaliwa miaka ya 1960-1970, maarufu kama baby boomers, watakuwa na kumbukumbu nzuri ya usemi maarufu wa enzi hizo, "Sex, drugs, rock and roll" ambao kimsingi ulikuwa ni wimbo wa Ian Durry wa mwaka 1977. "Sex, drugs, rock and roll" haukuwa wimbo au usemi tu wa wakati huo...
  2. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Raha ya pombe ulewa haraka

    Wakuu naandika huu Uzi nikiwa mitungi kinoma noma. Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ya ULEVI na nimepiga nusu glass na kulewa chakariii.. Kuna bia zimetengenezwa na mkono wa jini wa jomba aminini nawaambia , alcohol ndogo ila Busta lake ni barahaaaa!!!
  3. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Unaweza kufikiri unakunywa bia kumbe unakunywa pombe

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya bia na pombe. Pombe zote zinazoitwa bia zinatengenezwa na kiwanda cha serengeti sio bia ni pombe. Pombe nyingi za TBL sio bia. Ni pombe. Isipokuwa Castle lite tu. Windhok ni bia Heinken ni bia Castle lite ni bia Hizo nyingine hazijatengenezwa kwa pure shahiri...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ulevi wa Pombe ni salama zaidi kwa mwanaume kuliko ulevi wa ngono

    Nimefanya utafiti na kupata uhakika juu ya hili. Pombe unalewa na ukiweza kuzicontrol unalewa na kwenda kulala. Japokuwa zinawazidia wengine kiasi cha kupoteza harakati za kimaisha lakini athari zake si kubwa kama ngono. Ngono imejaa madhara ya kila namna. Magonjwa kibao kiasi kwamba bora mtu...
  5. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Barua kwa John Pombe Magufuli

    JohPombe Magufuli Jiwe, Nikiri. Najua hutasoma barua hii. Najua wafuasi wako wataisoma. Naandika kwa hasira na uchungu. Yote ni kutokana na uliyotufanyia. Uliachia maumivu. Wapo wanaoumia tokana na pengo uliloacha. Pia, wapo wanaoumia kwa sababu ya ubaya ulioacha. Bwana John, ni...
  6. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa M7 kwa wanaokunywa sana pombe

  7. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Shikamoo Pombe

    Jamaa kala zake vyombo kaopoa asubuhi sasa.
  8. Scott junior

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaipenda pombe?

    Wakuu habari Naomba kufahamu kati ya unywaji wa pombe kali au bia, Issue ya ladha, relaxation na mood ile ya kuhisi vibe fulani, ndio vinawaletea munkali? Ladha gani mnayoipenda kwa bia na pombe kali. For user only🔥
  9. funaku

    JamiiForums Tanzania Raila Odinga alikuwa rafiki wa mwanaCCM John Pombe Magufuli sio Heche wala Lissu

    Tusitafute kiki bila mpangilio. Kwenye uchaguzi wa 2015 CHADEMA iliwahi kulalamika kumuona Raila Odinga anamuendorse Magufuli kwenye kuwania urais . Hii kiki ya makamu mwenyekiti wa chadema kulilia kwenda kumzika Odinga ni unafiki wa hali ya juu.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa kuanzisha biashara na kampuni ya Pombe Kali

    Wakuu miezi kadhaa iliyopita nilitoa uzi wa kuzungumzia hii biashala ya pombe kali lakini changamoto ilikuwa capital. Nikaomba kama kuna MTU anaweza tukaungana tukatengeneza kitu kikubwa lakini bado hakutokea. Leo nimewaletea sample kuwaonesha hatua niliyofikia hivyo tayari nina jina, lable...
  11. kyagata

    JamiiForums Tanzania Kiukweli sisi wanaume wenye wanawake wasiokunywa pombe tunapitia wakati mgumu sana

    Sina haja ya kuwasalimia coz mara nyingi huwa hamuitikii. Sisi wanaume wenye wake wasiokunywa pombe tunapitia wakti mgumu sana. Tunaongozana vizuri kwenda bar kuinjoy life but kufika huko bar unashangaa mtu anakunywa juice au flying fish tu. Sasa wakuu kweli tuchoshane coz ya flying fish tu?
  12. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Pombe ni kinga ya ukweli katika asili.

    POMBE NI KINGA YA UKWELI KATIKA ASILI. Kuna maneno mazito sana katika ulimwengu wa kale: wakati babu zetu walipo tumia kinga ya ulevi kusema Ukweli. Walijua wazi kuwa “Ukweli ni mchungu na huumiza, lakini Uongo ni mtamu lakini Huua.” karibu katika meza ya Mkushi Dr. DOGOLI KINYAMKELA ☠️💀...
  13. Tonny Kapola Gas Station

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya Asilimia 86 ya Pombe Zinazouzwa Tanzania Zimechakachuliwa. Mnaua Figo na Maini Yenu!

    TBS wameshindwa kazi. Ni kila mtu na lwake. Pombe feki zinachanganywa na mbolea. Madawa ya hospitalini. Makemikali ya viwandani. Halafu wewe unafakamia. Miaka mitano tu mbele ya safari figo na ini hoi. Maisha yanakoma. Ewe mlevi na mnywaji: chukua hatua...
  14. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Ipi sababu ya ongezeko la vijana kuvamia pombe kali za kienyeji kwa kwa wingi mnoo?

    Kuna wakati tuliona wazee ndio wanaozifata hizi pombe za kienyeji Utaita gongo, chang'aa , etc Ukata? Ulevi usio na mipaka? Trend? Msongo? What happened?
  15. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Unatumia VPN gani?

    Habar za muda huu . Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu. Na hali inayoendelea sasa JamiiForums tuambie unatumia VPN gani kuingia kwenye hili jukwaa. Mm natumia thunder VPN ipo vizuri inanisaidia X zamani twitter na hapa JamiiForums. Tuambie wewe unatumia ipi hivi ikitokea moja imezingua tuwe...
  16. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Aliyemnywesha pombe mtoto anasakwa na polisi

    Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, David Misime amesema Jeshi hilo linamtafuta mwanamke aliyeonekana katika picha mjongeo inayosambaa mitandaoni akimnywesha pombe mtoto mdogo na kumtaka atakapoona taarifa hii ajisalimishe mara moja katika kituo chochote cha Polisi. Misime amesema tukio hilo...
  17. kadiri kasimba

    JamiiForums Tanzania "Madhara ya pombe Kwa vijana-jiokoe kabla haujachelewa!

    Habari wakuu! Kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana wanaokunywa pombe kali. Wengi hudhani ni fasheni, njia ya kujiburudisha au kuondoa stress. Lakini ukweli ni kwamba pombe kali ina madhara makubwa kwa afya na maisha ya kijamii, hasa kwa vijana ambao bado wapo kwenye hatua ya kujenga maisha...
  18. Saoka

    JamiiForums Tanzania Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia

    Wakuu habari, Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia yani nipo kitandani tu hapa sielewi kichwa kina mawenge ndoto za ajabu ajabu, Wazoefu mtupe mbinu jamani nini chakufanya kurudi kwenye hali ya kawaida NATAMANI NIACHANE NAYO KABISA HII KITU NATESEKA MNO SIKU YA 3 LEO...
  19. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Vijana, Figo zinaua, jilindeni na haya Mapombe…Ushauri tu!

    Nusu saa iliyopita tumempoteza Mr Richard, ndugu wa karibu kabisa. Wakati namshauri miaka hiyo mjomba kupunguza mambo, yetu yanauWa, ilikuwa ngumu sana kuelewa. Baada ya miaka kadhaa, ndugu alianza kuumwa, baadaye wakakuta figo inashida. Ilipofikia, haikuwa habari njema kwa familia. Hatimaye...
  20. kyagata

    JamiiForums Tanzania Hivi msiokunywa pombe usingizi huwa mnaupataje?

    Ni siku ya pili sijagusa tungi kabisa. Sasa changamoto ninayoipitia ni kukosa usingizi kabisa,yani nachelewa kulala na pia nawahi kuamka. Sasa nawaza nyie msiokunywa tungi kabisa,huwa mnatumia mbinu gani kupata usingizi?
Back
Top Bottom