polepole

Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.

View More On Wikipedia.org
  1. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mzee Warioba amesema taarifa za uwepo wa Polepole Tanzania zinaukakasi, puuzeni

  2. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku na Warioba, Ongeeni kuhusu Polepole kudaiwa kutekwa

    Mkikaa kimya wakati kijana wenu katekwa, ina maana mmemsaliti. Na huenda nyie ndio mmetoa taarifa za uwepo wa Polepole TZ. Hasa mzee Butiku, Watanzania tunafikiri Wewe ndiye umemsaliti Polepole. Na kimya chako kinazidi kutu fanya tuendelee kuamini hivyo.
  3. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Mchungaji Fadhili Juu Ya Humphrey Polepole Watimia

  4. K

    JamiiForums Tanzania Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi!

    Polepole asingekuwa mjamaa angepata support zaidi! Ukiwa mjamaa hakuna wakukutetea maana wenyewe wanaamini chama kuliko uhai wa mtu. Polepole alipenda hizo nchi za kijamaa kama China, N Korea na Cuba sasa ubaya wa mifumo ya kijamaa ni ya mtu Mungu. Polepole sasa ni ngumu kumuombea msaada kwa...
  5. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa

    Kutokana na kauli za polepole hazina tishio kwa taifa kwani nyingi alikuwa akielimisha umma juu ya taifa lao baadhi ya kauli alizowahi kusema ni kama ifuatavyo 1.Alisema wazi ccm mtandao wamekuwa wakijitajirisha bila kujali maslahi ya umma.mfano kutaja kashifa ya uniform za jeshi la polisi...
  6. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Tafadhali Sana tunaomba mwacheni Polepole hii Nchi yetu sote

    Tafadhali tena naomba wakuu mwacheni Polepole kama ana kosa tunaomba sheria ifuate mkondo wake. Tunaomba Polepole achiwe bila masharti yoyote. Tafadhali Sana tunakoenda siko mwacheni Polepole
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku, Polepole katekwa uko kimya hahaha !! Tumekufuta katika wazee wa taifa hili

    Ndio Furaha yako ?! . Naona kale ka Asili ka 'Kizanaki' , ukigeugeu na Kujipendekeza ndiko kamekuharibia. Hautakubalika tena na Watanzania , Wala hautaheshimiwa Tena na Watanzania , TUMEKUFUTA na kukuondoa katika Orodha ya Wazee Makini wa TAIFA hili. Wewe Sasa ni Mmoja ya Wazee wahuni ...
  8. Sales man

    JamiiForums Tanzania "The power of timing " ndo imemwangusha Polepole

    Polepole Angeleta hoja zake 2014-2015 Kipindi vijana walikuwa active na siasa nahisi CCM kingekuwa ni chama cha upinzani . Ila sioni ajenda yoyote ikifanikiwa kwa generation ya sasa ambayo imekuwa Kama akili unde . Hata hiyo 29/10 sioni chochote Shida sio Watanzania Ila ni wakati unaweza...
  9. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania GE2025 Swali hili la Kiranga kwa Polepole lilipuuzwa: What is Polepole's strategy? Lilifanya Kiranga atukanwe sana

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Ukiachana na maumivu makali sana niliyo nayo lakin swali la kiranga bado linaniumiza kichwa na linanifunza mengi na linanifanya nisimuelewe kabisa polepole Nakuombea polepole MUNGU MWENYEZI akulinde sana Nakuombea Tanzania ukomboz wako...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Mama Polepole: Nirudishieni mwanangu akiwa hai au amekufa, alikuwa mtoto wa kipekee

    BBC imezungumza na mama mzazi wa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole katika mahojiano maalum. AnnaMary Polepole amesisitzakatika mahojiano hay kuwa arudishiwe mtoto wake- Humphrey Polepole akiwa hai au amekufa. Hata hivyo mapema leo, jeshi la polisi lilisema kuwa...
  11. Inside10

    JamiiForums Tanzania Wakili Kibatala afungua shauri kutaka Humphrey Polepole afikishwe Mahakamani (Habeas Corpus)

    ‼️🔥BREAKING NEWS‼️ Habeas corpus case filed to demand Humphrey Polepole to be presented in court! Asante wakili @PKibatala. Huu ndo mwendo sahihi wa kumdai ndugu yetu Polepole! Madhulmat hamjui kuwa tunawaweka kwenye record ili kimataifa tuhangaike na ninyi vizuri! @judiciarytz pokeeni na...
  12. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Accounts za Humphrey Polepole Hazijafutwa, Zimehifadhiwa

    Kuweni na amani 🙌🏽 Tuneweka akaunti za Humphrey Polepole salama ili wahuni wasiweze kuzifikia! 😀 Hakuna aliyezifuta zimehifadhiwa until Polepole arudi uraianj! Tunashukuru kampuni za mitandao zime react fasta! Mwambieni Mafwele sasa wamwachie hawapati kitu hapo! #FreePolepole Nimefurahi kiasi.
  13. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Polepole alikuwa anafanya vitu kijinga sana sijui alikuwa anaficha ficha nini kuongea kwa code

    Yaani alikuwa kila siku anaongea kwa kuficha ficha anaacha kumwaga Kila kitu hadharani sijui alikuwa anaficha ficha nini mwisho wa siku wamemnyakua kabla hata mengine hajaongea Kapata alichokuwa anakitafuta. Kama umeamua kumwaga mambo Yao wewe nyooka tu kama Kapteni Tesha sio unaongea kwa...
  14. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania HumphreyHumphrey Polepole amefikisha saa 27 tangu adaiwe kutekwa ndo tunamsahau taratibu kama Mdude, why?

    Ndg watanzania, mtanzania mwenzetu ambaye alitekwa jana ameshaafikisha takriban masaa 27 tangu tulipopata taarifa hapo jana saa 3 asubuhi sawa na dakika 1,620, sekunde 97,200, mamalaka zipo kimya ndo umeshaakuwa utaratibu wa kawaida sasa watu kupotea ipi solution kama sio IGP Wambura kujiuzulu...
  15. Replica

    JamiiForums Tanzania Akaunti ya Instagram ya Humprey Polepole yafutwa?

    Akauti ya Instagram aliyokuwa anatumia Humphrey Polepole imefutwa ikiwa ni siku moja baada kusemekana ametekwa na watu wasiojulikana.
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Zitto Kabwe: Polepole si yupo nje ya nchi Canada sasa ametekwaje Tanzania?

    "Polepole si yupo nje ya nchi Canada sasa ametekwaje Tanzania?" Ni kweli kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa zamani na mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe?
  17. L

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi limkamate pia mwenye nyumba inayodaiwa alikuwa anaishi Humphrey Polepole ili aeleze ni lini alimpokea na amekaa kwa muda gani?

    Ndugu zangu Watanzania, Nafikiri polisi wangemkamata pia mwenye nyumba inayodaiwa alikuwa akiishi Humphrey Polepole ili aweze kulisaidia jeshi la polisi katika uchunguzi wake. Aeleze ni lini alimpokea na mkataba wake ulianza lini na amekaa kwa muda gani na walionana lini na kama walikuwa na...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamtafuta Augustino Polepole kutoa ushahidi juu ya shutuma za kutekwa Humphrey Polepole

    Jeshi la Polisi kama lilivyotoa taarifa yake jana Oktoba 6,2025 kwamba, limeanza uchunguzi wa tuhuma zilizo tolewa na Augustino Polepole kuwa, ndugu yao Humphrey Polepole ametekwa, jalada la uchunguzi lilifunguliwa jana hiyo hiyo. Pamoja na kukusanya taarifa mbalimbali, Jeshi la Polisi...
  19. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole pamoja na kutekwa ninaamini watekaji hawatomfanya kitu. Ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama na CCM (ukitoa Polisi) ana kishindo kikubwa

    Vyombo vya habari tangu jana vimeripoti aliyekuwa balozi nchini CUBA hampfrey polepole kutekwa na kupelekwa. kusipojulikana na shuhuda mmoja ambaye alijitambulisha kwa jina la augustino polepole alimtaja waziwazi mhusika mkuu wa utekaji kuwa ni mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la MAFWELE hata hivo...
  20. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa hili la Polepole wameshinda bila shaka, vipi wataweza kuikabili jamii ambayo sasa imeamka?

    Ni swali ninalo jiuliza kwa kiasi cha kutosha haja jamii imeamka na imefahamu ukweli na lipi ni lipi na na wakina nani wanahusika. Tumeseme wameweza kuwanyamazisha wote wanaoweza kuongea, vipi jamii ambayo imekua na ufahamu wakutosha watawambia nini wakiwa kwenye majukwa yao?
Back
Top Bottom